Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Nyani bana kazi ya Polisi hufahamu, sasa utasemaje waachwe waandamane? Maandamano ndio wamesema lakini Polisi wameshabaini kuna mambo ya kulipua vituo vya mafuta nk. usifikiri Polisi ni wajinga ki-hivyo.Unataka niiwekeje hiyo kazi ya polisi?