Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Mbowe na Lema ni Watanzania na wana haki ya kufanya chochote kile kilicho halali ndani ya mipaka ya Tanzania.

Hizo habari za vurugu ni kisingizio tu cha polisi katika kutaka kuhalalisha udhalimu wao.
Inakuwaje kisingizio wakati walitangaza hadharani?
 
Mipango gani?

Watu wamesema wanataka kuandamana.

Kuandamana ni marufuku Tanzania hii?

CHADEMA siyo maghaidi. Ni chama halali cha kisiasa.

Sidhani kabisa kama wanaweza kupanga njama za kuleta uharibifu wa mali na amani ilhali wanachama wao na mashabiki wao ni Watanzania pia.
Tanzania is a police state.
 
Walitangaza hadharani nini? Kuwa Jumatatu watachoma moto vituo vya mafuta?
Hizo ni intel. Sasa unataka iwe kama Marekani likaa tu mpaka walipoanza kuvamia supermarkets na kuua ndiyo wakatoka Wanajeshi kutuliza hiyo ilikuwa too late.
 
Ni kweli, wamekamatwa kabla ya maandamano yaliyopangwa kufanywa bila kibali...

Mkuu unadhani, njia bora ya kudhibiti tatizo ni ipi kati ya hizi..
Katika muktadha wa maandamano, unawaacha watu waandamane.

Lakini pia, unaweka ulinzi wa hali ya juu sehemu zote zenye maandamano.

Unaweza hata kuwapangia waandamanaji sehemu za kupita. Unaweza hata kuwapangia masharti kwamba baadhi ya sehemu ni marufuku kwenda. Unaweza kuwapangia hata na muda wa kuandamana.

Halafu unawaacha wanaandamana. Unawa monitor.

Wa kwanza atayeanzisha vurugu, unakamata, weka kwenye karandiga, peleka jela. Halafu unavunja maandamano. Unawatawanya.

Na si kinyume cha hapo.
 
Hapo ndo wanachochea mafuta kwenye Moto. CCM mmechokwa mkubali jamani
 
Tanzania is a police state.
It’s hard to argue that it’s not a police state.

As a matter of fact, I have argued it is a police state.

Take a trip down memory lane.

 
Katika muktadha wa maandamano, unawaacha watu waandamane.

Lakini pia, unaweka ulinzi wa hali ya juu sehemu zote zenye maandamano...
Hao wanaoandamana kama hawajaomba kibali cha kuandamana utawalinda vipi?
 
Ila kusema neno la mungu yaan CCM hawana utu kuiba kura waibe pia kuruhusu hata maandamano yaliyo ya aman kwa watu wasio na silaha wanawakataza it is not fair
 
It’s hard to argue it’s not a police state.

As a matter of fact, I have argued it is a police state.

Take a trip down memory lane.

The worst thing is, by being this paranoid, the state is actually undermining itself.

It is shooting itself in the foot.

I don't see how allowing peaceful demonstratiom would harm anyone. This is a constitutional freedom. Why are people denied their constitutional rights?

The government is undermining its own good image - what little of it is left- by this Draconin stance that is straight from the Hammurabi Code.

I see this as the government panicking.

CCM not only stole the election, but it is now not even allowing people to demonstrate.

It's like someone stepping on your toes, and when you want to let him and the world know that he stepped on your toes, he is silencing you so you can't even talk!
 
Tufanye nakubaliana na wewe...

Pia tukubaline moja ya athari za maandamano yeyote ni kutengeneza unsettlement... Kuna watu hawatofanya shughul za uchumi kupisha maandamano...

Na hapo Mkuu unazangumzia maandamano ya bila kikomo...

Indirectly unaishauri serikali itenge bajeti ya kumonitor maandamo ya bila kikomo?
Ndo maana nikasema kuwa, wanaweza kupangiwa eneo au maeneo ya kuandamania ili wasilete kero au usumbufu kwa wengine.

Wanaweza hata kupangiwa siku na muda wa kuandamana.

Wanaweza hata kupangiwa ukomo wa maandamano yao.
 
Kama hawajaomba kibali, waombe.

Wafuate taratibu zilizopo.

As simple as that.
Sikiliza clip ya pili kabla ya maandamano unatakiwa uombe kibali masaa 48. Wao wametangaza maandamano within 38hrs wanataka waingie barabarani. Wao walikuwa Wabunge ndio wanafahamu hizi sheria sasa inakuwaje wao ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.
 
Back
Top Bottom