Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Wanevunja sheria gani?

Hujajibu swali.
 
IGP simama nafasi yako, hayo ya ugaidi yasiyothibitika ni hatari tunawafundisha Watanzania chuki na kuanza rasmi kwa mambo hayo hatari kwa amani ya taifa letu.
 
First things firts, fix your sentence.

Second, what has that got to do with the price of pork in China?

Or do you just feel the need to ride my dilsnick?
Argumentum ad hominem...
 
Acha uboya, Mawakala walitolewa kwenye vituo na Pol
 
Watakao amini hiyo taarifa ya Policcm ni Wale Tu, walioamua kuishi Kwa kumwaga Damu za watu
 
Ukishajua nini maana ya Demokrasia hutaongea ,wale wanapigania Maslahi yao.

Demokrasia sio lazima Wapinzani washinde elewa hivyo ,Democracy is
a system of government by the whole population or all the eligible members of a state, typically through elected representatives.

Kama ni serikali iliyowekwa na watu kwa njia ya kufanya uchaguzi basi ni halali ,ila ingetokea kujiweka bila sanduku la kura ingekuwa ni ya kidikteta sasa tumepiga kura kashinda hata kama kuna kasoro sawa hizo huwa zipo Tume inaweza kuahidi kuzitatua na mchezo ukaisha.Demokrasia sio Mbowe kwenda bungeni na kwa taarifa tu mgombea wao alieshinda kule Nkasi Kaskazini kakubali kuingia bungeni sasa hiyo ndio Demokrasia sio akina Lissu wanayotuambia ya kuandamana bila kibali cha polisi.
 
Pengine hujui kitu katika enoe hili. Hata hivyo unaruhusiwa kuedeleza ushabiki wako kwa watawala
 
Argumentum ad hominem...
Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.

Wewe ulikuwa hujui ulianza hili mwenyewe?

Nakupeleka ignore list. Sitaona utakachoandika.

Maana hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.
 
Kwanini hutaki kutenda Haki ili kuzuia vurungu??
 
pole ndugu
 
Eti vijana wavuta bangi! Imenikumbusha Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Kanali alikuwa sahihi
 
Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.

Wewe ulikuwa hujui ulianza hili mwenyewe?

Nakupeleka ignore list. Sitaona utakachoandika.

Maana hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.
Sawa...

Ila sijakutukana...wewe umenitusi hata kabla ya mjadala kuiva..
Huko nyuma tushawahi kujadiliana kwa muda mrefu tu ukaishia matusi na dhihaka....

Wazazi wako walipokuwa ni Watumishi pale Ikulu,humu Wala hukuwahi kutukumbusha Kuwa walisimamia POLICE STATE...
 
Wanevunja sheria gani?

Hujajibu swali.
Sheria ya jeshi la polisi ya mwaka 1961 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 1995 inaelekeza ni namna gani unaweza kuandamana kwa amani ,uwe na kibali cha polisi ulichotolea taarifa siku 48 kabla ya maandamano yako.

Kinachotaka kufanyika sasa ni kwamba hawana kibali cha polisi shida ipo hapo tu.
 
Maandamano yakipangwa jeshi linatumwa kufanya usafi barabarani. Sasa hata maandamano yenyewe hayajanyika. Next time tuheshimu jeshi letu. Siyo kuwapeleka wanajeshi barabarani kusafisha kisa mkwara wa akina mange kimambi au tundu lisu.
 
Kwa hiyo wamefungwa kwa kosa ambalo walikuwa hawajalifanya bado?
 
Vita ndogo sana,kikubwa serikali hii inachoweza kuwafanyia wapinzani ni kuwaweka jera kwa muda,hawawezi kuwapiga risasi na kuwaua,
Mandela,alifungwa na makaburu,wangeweza kumuua huko gerezani,akatoka akawa raisi wa nchi.
Mijitu Kama Ghadafi,Hussein mubarak,Omar albashir,Mugabe,kamuzu banda,Bagbo,hawakutegemea Kama Kuna siku watatoka Madarakani,yapo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…