Wanevunja sheria gani?Hivi kwa mfano, ukawa umedhamiria kufanya kitu ambacho wakati mwingine (na si wakati wote), kinachukuliwa kuwa ni kinyume cha sheria, ikitokea ukashindwa kukitekeleza kwa sababu tu ya kuwekewa mazingira pingamizi, kisheria unakuwa huna hatia? Mfano ulidhamiria kwenda kuiba nyumbani kwa A, bahati mbaya ukakuta mazingira hayaruhusu, ukashidwa kuiba, je unakuwa huna hatia katika mazingira hayo, assuming umejulikana?..
Balozi wa kiranja wa Dunia kesha sema waachiwe tena haraka bisheni muoneGaudi si kama hao wamezuiwa na kamanda mambosasa au wewe gaidi unajua kama ni monster au ni dubwasha kubwa?
Argumentum ad hominem...First things firts, fix your sentence.
Second, what has that got to do with the price of pork in China?
Or do you just feel the need to ride my dilsnick?
Acha uboya, Mawakala walitolewa kwenye vituo na PolNa utakuwa mpumbavu wa kiwango cha lami kwenda kuandamana wakati ulitimiza wajibu wako.
Mawakala wenu mnawachagua kisha kura zikiibwa wananchi waandamane! Kwanini wasianze mawakala na viongozi wa VYAMA vilivyoibiwa kura!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukishajua nini maana ya Demokrasia hutaongea ,wale wanapigania Maslahi yao.Sasa ni officially tumeingia kweny udikteta rasmi.... tusilalamike tena, nawashauri wapinzani wanyamaze wasiendelee tena kupambania Demokrasia. Acha wote tuje kuongea lugha moa mbeleni. Nyerere alisema siku watanzania mkifikia kusem 'maweeeee' hapo ndipo tutajua kuwa tunaumia.... im done
Pengine hujui kitu katika enoe hili. Hata hivyo unaruhusiwa kuedeleza ushabiki wako kwa watawalaMpendwa za kuambiwa changanya na za kwako nadhani huwajui hao watazamaji wakujitegemea ni kina nani wanaitwa Tanzania El watch(TEW) ni hao hao wanavuruga tweeter ni Maria na kundi la kama huyo anaejita Kigogo ni Propaganda ambazo CDM imekuwa inafanya badala ya kuunda taasisi na Harakati.
Kama ni kweli basi wasingechoma ushahidi ,pia kama ulienda kupiga kura nadhani uliona kadi waliandika wapi kama hawakuridhika wangeiomba tume wahesabu kitabu na idadi ya kura(walio piga) ili kujua walipata ngapi lakini hawakufanya hivyo wakachoma ushahidi.
Karatasi ya kura ilichanwa kilichobaki pale ndio ushahidi kuwa ulipiga kura kweli na huo ndio ushahidi wa kura halali kwa hiyo halima hakujua hivyo.
Mawakala katika vituo 80 na zaidi kweli unaamini Mbowe aliwalipa Mawakala wote hao utakuta hata hawakufika elfu 20 na kama waliweka wote basi hata chakula hawakula watakuwaje na integrity.
Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.Argumentum ad hominem...
Kwanini hutaki kutenda Haki ili kuzuia vurungu??Jeshi la polisi au investigator yoyote ataitreat habari yoyote kama kweli mpaka atakapojiridhisha pasipo shaka kuwa habari ile si kweli.
Mimi nikisema nimemuona mtu mwenye shati jekundu akiambatana na mtoto wako alipokuwa akitoka shuleni na kitendo kile kilinipa wasiwasi maana si kawaida yake... Wewe kama mzazi utasema ni habari za kuambiwa!?
Kwani kuchoma kituo kunahitaji nini!? Na unajua ni vituo vingapi viko huko nje!? Unajua watachoma kipi!?
Ikiwa wakiachwa kisha wakachoma kweli!? Hata kwa kufuata mkumbo tu.. maana maandamano yaleta watu wa kila namna na often kuyaitisha unakuwa na mpango ila yakishaanza huwezi kuyaongoza tena... Special interest zinaanza kujitokeza....
Kila mahali hata waongozaji wa maandamano wamekiri sehemu kubwa ya vurugu haikuwa mipango yao...sema ikishatokea hawawezi kuizima na ndio inakuwa vurugu tayari. Sasa kama tumeona matokeo yake kote kwanini tujaribu !?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
pole nduguKwani ukipewa mshahara au malipo yako, anayenufaika ni nani, aliyekupa au wewe? Una uhakika kura yako wewe moja imeibiwa au ilimuwezesha mgombea wako kushinda?
Tatizo lililopo kulazimisha tuamini kuwa adui yako ni adui yangu. Na hata hao kina Zito wanajua hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Hadi sasa wameshindwa kunionyesha namna kura yangu ilivyoibiwa.
Kanali alikuwa sahihiEti vijana wavuta bangi! Imenikumbusha Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Sawa...Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Wewe ulikuwa hujui ulianza hili mwenyewe?
Nakupeleka ignore list. Sitaona utakachoandika.
Maana hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.
EWT wewe unadhani ni akina nani?Pengine hujui kitu katika enoe hili. Hata hivyo unaruhusiwa kuedeleza ushabiki wako kwa watawala
Ha haaaa eti moraliMambosasa yupo live ITV usiku huu akisema amewakamata Mbowe, Lema na Jacob kwa kuhamasisha maandamano.
Hii haitarudisha nyuma morali wa waandamanaji.
----
Sheria ya jeshi la polisi ya mwaka 1961 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 1995 inaelekeza ni namna gani unaweza kuandamana kwa amani ,uwe na kibali cha polisi ulichotolea taarifa siku 48 kabla ya maandamano yako.Wanevunja sheria gani?
Hujajibu swali.
Kwa hiyo wamefungwa kwa kosa ambalo walikuwa hawajalifanya bado?Sheria ya jeshi la polisi ya mwaka 1961 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 1995 inaelekeza ni namna gani unaweza kuandamana kwa amani ,uwe na kibali cha polisi ulichotolea taarifa siku 48 kabla ya maandamano yako.
Kinachotaka kufanyika sasa ni kwamba hawana kibali cha polisi shida ipo hapo tu.