Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
unavyowachukia hata papuchi sidhani kama unaweza kutunuku kwa polisi
Kwan nna biashra hyo mimi...labda ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavyowachukia hata papuchi sidhani kama unaweza kutunuku kwa polisi
Ok nini wewe mgerasi. Changia kiundani wewe acha porojo
Matusi hayasaidii kitu Kubwa! Ongea kwa kawaid tu kama una point utaelewekaDogo unaliwa nanii na hao polisi Nini?? acha kuongea pumba nyambaf.
Kwanza karibu JF, naona umeingia juzi tu. Sijajitoa akili. Hawa watu tunao mitaani na kuna athari zake. Mwaka jana alikufa jirani yangu tulikua tunamjua ni Muha, wakaja ndugu zake wakachukua maiti kwenda Rwanda kuzika.Acha kujitoa akili, leo kwake kesho kwako hata kwa ndugu yako. Tutumie vichwa kufikiria kwa makini.
Mbona hueleweki unachoandika mkuu?Ndugu zake musiba na waitara wao ndo usema watapotezwa, wapotezwe,mnamalizana gizani Kwa ushahidi wa sauti na video YouTube
Ukitaka kuwa salama in this fifth phase government especially for politicians and journalists, epuka kumkosoa malaika mtakatifu wa Chato, or else you'll go missing.Nimejiuliza, mpaka mtu ashukiwe "uraia" kuna vigezo gani vinaangaliwa? Maana wengine tusiojua breki ya mdomo tunaweza kuunganishwa humo kama hakuna misingi ya kueleweka.
Nina shaka sana kama waandishi wa kibongo wameuliza hili.
Ingawa hata wao wamo katika hatari ya kushukiwa "uraia" siku yoyote.
90% waliomo humu hawajui kiingereza, ni vyema ukacomment kwa lugha yako i mean "swahili language" every body atakuelewa,,,english waachie wenye lugha yao.
Pia alikiri kupitia mafunzo Jkt huko Mafinga mwaka 2006 na kujitolea kwa mujibu wa sheria katika kambi hiyo.
nyaniNani
Majitu kama haya kuweza kupata utawala ni dalili kwamba Mungu hayupo.Ukitaka kuwa salama in this fifth phase government especially for politicians and journalists, epuka kumkosoa malaika mtakatifu wa Chato, or else you'll go missing.
Sema tu huamini uwepo wa Mungu, ungekuwa unaamini uwepo wake, hili jitu katili lilitabiriwa kuitawala Tanzania, kabla ya 2015.
kumbe ndo mzee wa economist😉Nimefuatilia sana Suala la Kabendera, nimegundua yale magazeti yanayosomwa sana na Pascal Mayalla yanayoitwa The Economist ambayo huchafua sna hali ya hewa, huandikwa na Kabendera kwa stori za Tanzania