Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Huyu ana moyo sana mm ningeenda zangu kustaafu nikalime alizeti.
 
Fimbo ya "uraia" naona inatumika tena kwa wanaokosoa serikali
Nimejiuliza, mpaka mtu ashukiwe "uraia" kuna vigezo gani vinaangaliwa? Maana wengine tusiojua breki ya mdomo tunaweza kuunganishwa humo kama hakuna misingi ya kueleweka.

Nina shaka sana kama waandishi wa kibongo wameuliza hili.

Ingawa hata wao wamo katika hatari ya kushukiwa "uraia" siku yoyote.
 
Hii inadhihirisha kuwa watanzania ni vilaza,mtu akiwa anaandika habari za uchunguzi lazima wahoji uraia wake maana watanzania kazi yao ni kuandika habari za mara zari sijui Tanasha sijui Diamond. Hongera Eric wewe ni kipanga si mchezo kuandika nakala kwenye gazeti la The Economist.
 
Nimejiuliza, mpaka mtu ashukiwe "uraia" kuna vigezo gani vinaangaliwa? Maana wengine tusiojua breki ya mdomo tunaweza kuunganishwa humo kama hakuna misingi ya kueleweka.

Nina shaka sana kama waandishi wa kibongo wameuliza hili.

Ingawa hata wao wamo katika hatari ya kushukiwa "uraia" siku yoyote.

NI fimbo ya hovyo sana hiyo, Chiluba alijaribu kuitumia hadi kwa raisi mstaafu wa nchi hiyo Mzee Kaunda kwa kumuita eti ni Mmalawi, lakini kilichomtokea yeye mwenyewe Chiluba baada ya kutoka madarakani ni somo kwa viongozi wote wa Afrika
 
yaani hawa jamaa, we ngoja watu wajiandae wakateke mama zao nao watoe sababu kuwa ni majizi mtaani, economist ni waUK sasa tuwasikie na wao watasema nini, ila serikali yetu nayo imezidi sana aisee, mtu kakataa kwenda ndio mnaenda kumkamata kama operation ya Osama kule pakistan
 
Back
Top Bottom