Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
![]()
Mwandishi wa habari Tanzania achukuliwa kwa nguvu nyumbani
Mwandishi wa habari za uchunguzi nchini Tanzania, Erick Kabendera anadaiwa kuchukuliwa kwa nguvu na watu wanaodaiwa kuwa ni polisi nyumbani kwake nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam eneo la Mbweni.mobile.mwananchi.co.tz
Asubuhi wanakana kuwa na mtu jioni wanakiri kuwa wao ndio wanae!!!
Mungu atuepushe na kikombe hiki laa si hivyo basi mapenzi yake na yatimie...
Mie nilivyo na chuki nao..ningeenda na petrol kituon..yaan unaamua kufa tu..shebzy zao