Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Nimekuwa nikisikia sana jina hili Kabendera hawa ni wenyeji wa mkoa gani na ni kabila gani.
 
Kuna mmoja alikuwepo mtangazaji wa Rwanda aliitwa Kabendera Shinani. Nadhani hilo jina limemletea kizaazaa!
Yule ni baba yake nasikia. Nimegoogle. Huyo baba alijirusha lake Victoria baada ya kuambiwa sio raia. Alipiga kura uchaguzi 2000.Alishitakiwa akaishia kujiua.
20190730_140358.jpg
 
Alitumiwa wito akapuuza....

Sababu ya kumkamata ni kuhusiana na uraia wake.....

Kamanda mambosasa

Ova
 
Wanaboa kwakweli, yaan raia wamekuwa kama mazuzu vile, inatakiwa wawe wanapigiwa yowe wananchi wajitokeze, wawashambulie hata kwa mawe.
Majitu yamefungwa sana midomo..watu wamegeuka kuwa na hofu tu..kwakwel mie navyojijua mfano ndo mume wangu anakamatwa kiwehu wehu hvyo...hahaa ntauza gazeti zao..!
 
Ngoja waje wwnyeji ....coz kuna mwandishi mmoja HV itv nadhani anaripoti kutok tabora jina samuel kabenderaa wa itviiii
 
Nimefuatilia sana Suala la Kabendera, nimegundua yale magazeti yanayosomwa sana na Pascal Mayalla yanayoitwa The Economist ambayo huchafua sna hali ya hewa, huandikwa na Kabendera kwa stori za Tanzania
NINGEELEWA ukisemacho a hali ya hewa inayochafuliwa na Bwana Musiba ingekuwa handled the same way....
 
Kuna mmoja alikuwepo mtangazaji wa Rwanda aliitwa Kabendera Shinani. Nadhani hilo jina limemletea kizaazaa!
Rweikiza, rwekaza, tibaigana, ntibaile, etc
Haya majina yanatumika Rwanda burundi pia

Ova
 
Wanyarwanda hawa. Ila ni wenzetu pia. Hii mipaka iliwekwa na wakoloni.
 
Nchi hii hata ukiwa na uraia pacha hata kama uliwahi kuwa ngazi ya juu siku ukisigana nao UTAHOJIWA URAIA TU!!!
Wakaazi wa Ujiji ambapo watu na mababu wa babu zao walizaliwa na kuzikwa hapo WANALIJUA VEMA HILO MAANA WALIPELEKWA KONGO WASIKOKUJUA WALA KUTAMBULIKA KWA NGUVU... KISA KUCHAGUA KISICHO CHAMA CHAO!!!
MWISHO WA SIKU WALIREJESHWA KIMYAKIMYA!!!
TUNAJENGA NCHI TUKIIMARISHA UPENDO NA AMANI!

Kungekuwa na uraia pacha wangesema ndiyo mimi ni mcongoman na pia ni mtanzania.
 
madhara ya uraia amuulize Jeneral Ulimwengu na Marehemu Cisco Mtiro alitiwa kashikashi kisha akapewa ubalozi ilhali alionekana sio raia hii shida ndo wanadhani kama ndio fimbo yao ya kuwanyanyasia watu.

Hivi akiambiwa mtanzania atoke leo atatoka nani na hasa kwa watu wa mipakani? ukienda tanga wameingiliana sana na watu wa Mombasa, nenda Arusha wameingiliana sana na watu wa nairobi, sikwambii watu wa mikoa ya kigoma, mtwara,mbeya na mingineyo ifike sehemu muwe na akili japo za kuvukia barabara na wala sio za kujitambua na kujitathmini


Ina mana siku hizi hakuna maafisa wa uhamiaji mpaka akaja kushikwa na mapolisi tena ambao hawana hata vitambulisho? Kukaa kwingi ni kuonamengi Bwana Yesu rudi utuokoe watumishi wako tunadhalilika ndani ya ardhi yetu
 
Back
Top Bottom