Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Polisi wetu na viongozi wa siasa, kiujumla, huwa wanaongea kama vile hawajui sheria wala katiba.Full comedy, onamaana ni lazima kwamba matokeo ya upelelezi yakikamilika yainyeshe kuwa si raia?
Kama upelelezi utakuwa huru kwanini wang'anganie kuwa watampeleka mahakamani?
Mara nyingine hata kutumia neno "mtuhumiwa" tu (katiba inasema kila mtu anachukuliwa kama hana hatia mpaka mahakama impate na hatia, kiingereza "presumption of innocence") wanashindwa, wanavyo mu address mtuhumiwa ni kama washamuhukumu tayari, mahakamani anaenda kumalizia procedure tu!