Waliblock simu yake, alipopga cm mtandaoni wakamjibu wamepewa maelekezo na TCRA ya kublock mawasiliano kwenye cm zake.
Waliblock ya nan??hv hawa ndezi wamefika pabaya sana jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliblock ya nan??hv hawa ndezi wamefika pabaya sana jaman
Waliblock simu yake, alipopga cm mtandaoni wakamjibu wamepewa maelekezo na TCRA ya kublock mawasiliano kwenye cm zake.
Hamna lolote nyie ndio msiojulikana ,Kwanini hamkufuata utaratibu wakati wa kumkamata ?kujitambulisha kwa mwenyekiti wa mtaa ,Kwanini simu zake zote zilifungwa ?Nyinyi ndio msiojulikana hamna hata aibu .Kamanda Mambosasa anasema:
Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi
Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi
Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii
Baada ya kukamatwa tumesikia watu mbalimbali wakidai ametekwa. Niseme hajatekwa lakini kwa jeuri akawa amekaidi kutii wito.
Aliitwa kuhusiana na Utata wa Uraia wake. Kwa kushirikiana na Uhamiaji, tunafuatilia uhakika wa uraia wake pale atakapotoa vielelezo mbalimbali kuthibitisha uraia wake. Sasa tunaye, taratibu nyingine za kiupelelezi zinaendelea.
Hajatekwa, amekamatwa na tunaye Central Police.
Upelelezi unaendelea, tukikamilisha upelelezi matokeo ya upelelezi ni kupelekwa mahakamani
Kwakuwa alikaidi wito, hatukuwa na namna zaidi ya kumkamata na kumshikilia
madhara ya uraia amuulize Jeneral Ulimwengu na Marehemu Cisco Mtiro alitiwa kashikashi kisha akapewa ubalozi ilhali alionekana sio raia hii shida ndo wanadhani kama ndio fimbo yao ya kuwanyanyasia watu.
Hivi akiambiwa mtanzania atoke leo atatoka nani na hasa kwa watu wa mipakani? ukienda tanga wameingiliana sana na watu wa Mombasa, nenda Arusha wameingiliana sana na watu wa nairobi, sikwambii watu wa mikoa ya kigoma, mtwara,mbeya na mingineyo ifike sehemu muwe na akili japo za kuvukia barabara na wala sio za kujitambua na kujitathmini
Ina mana siku hizi hakuna maafisa wa uhamiaji mpaka akaja kushikwa na mapolisi tena ambao hawana hata vitambulisho? Kukaa kwingi ni kuonamengi Bwana Yesu rudi utuokoe watumishi wako tunadhalilika ndani ya ardhi yetu
Majina kama mfano kina Mungai, wapo Kenya, wapo Tanzania.Hawa wana asili ya Rwanda japo na bukoba wapo kiasili ni huko
Kuthibitisha mawazo yako ni sahihi ndivyo itakavyokua....na sio hicho hata kuhoji maswali sahihi pia hawatothubutuYani waandiahi wa habari watakua ni vilaza kama wasipoomba kuoneshwa copy ya barua ya wito huo...watakua ni vilaza wa mwaka...
Inaweza kutengenezwa sasa hivi, swali kwanza kwa maneno yake mambo leo alisema hana taarifa za kukamatwa kwake, na pia anafanya uchunguzi, ghafla yuko polisi kwa mahojiano.Yani waandiahi wa habari watakua ni vilaza kama wasipoomba kuoneshwa copy ya barua ya wito huo...watakua ni vilaza wa mwaka...
ViduduHuyu kamanda mambosasa ana elimu level gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani hawa jamaa, we ngoja watu wajiandae wakateke mama zao nao watoe sababu kuwa ni majizi mtaani, economist ni waUK sasa tuwasikie na wao watasema nini, ila serikali yetu nayo imezidi sana aisee, mtu kakataa kwenda ndio mnaenda kumkamata kama operation ya Osama kule pakistan
Tunahitaji watu hata wachache tu wajitoe woga na akulianzisha kindakindaki ikiwa wameonewa.Majitu yamefungwa sana midomo..watu wamegeuka kuwa na hofu tu..kwakwel mie navyojijua mfano ndo mume wangu anakamatwa kiwehu wehu hvyo...hahaa ntauza gazeti zao..!
Tunahitaji watu hata wachache tu wajitoe woga na akulianzisha kindakindaki ikiwa wameonewa.
Huu utamaduni wa hewala hewala na funika kombe mwanaharamu apite unatuzidishia umasikini.
Kufa tutakufa wote siku moja, bora kufa ukisimamia haki yako kuliko kuishi kama mtumwa.Siku zote...wakijitokeza km 2 hiv lazima wengine wataunga tu..mie hawajanipata bado kwenye target yangu..wataniua tu..
Kufa tutakufa wote siku moja, bora kufa ukisimamia haki yako kuliko kuishi kama mtumwa.
Yani kwa sasa hii issue ya uraia inavyotumiwa kisiasa, hata siku kama kuna issue ya uraia kweli watu wakifikiri ni siasa zao tu, siwezi kuwalaumu.Thts true..huyu mambosasa huyu!
Full comedy, onamaana ni lazima kwamba matokeo ya upelelezi yakikamilika yainyeshe kuwa si raia?Kamanda Mambosasa anasema:
Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi
Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi
Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii
Baada ya kukamatwa tumesikia watu mbalimbali wakidai ametekwa. Niseme hajatekwa lakini kwa jeuri akawa amekaidi kutii wito.
Aliitwa kuhusiana na Utata wa Uraia wake. Kwa kushirikiana na Uhamiaji, tunafuatilia uhakika wa uraia wake pale atakapotoa vielelezo mbalimbali kuthibitisha uraia wake. Sasa tunaye, taratibu nyingine za kiupelelezi zinaendelea.
Hajatekwa, amekamatwa na tunaye Central Police.
Upelelezi unaendelea, tukikamilisha upelelezi matokeo ya upelelezi ni kupelekwa mahakamani
Kwakuwa alikaidi wito, hatukuwa na namna zaidi ya kumkamata na kumshikilia
Kamanda Mambosasa anasema:
Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi
Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi
Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii
Baada ya kukamatwa tumesikia watu mbalimbali wakidai ametekwa. Niseme hajatekwa lakini kwa jeuri akawa amekaidi kutii wito.
Aliitwa kuhusiana na Utata wa Uraia wake. Kwa kushirikiana na Uhamiaji, tunafuatilia uhakika wa uraia wake pale atakapotoa vielelezo mbalimbali kuthibitisha uraia wake. Sasa tunaye, taratibu nyingine za kiupelelezi zinaendelea.
Hajatekwa, amekamatwa na tunaye Central Police.
Upelelezi unaendelea, tukikamilisha upelelezi matokeo ya upelelezi ni kupelekwa mahakamani
Kwakuwa alikaidi wito, hatukuwa na namna zaidi ya kumkamata na kumshikilia