Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Hili swala la uraia kutumika ni rahisi kulimaliza. Ha ha ha ha

Ruhusuni uraia pacha. Mkiambiwa nyie mnaolia lia leo kuwa kuwe na uraia pacha mnabaki kusema usalama wa taifa na wanataka kula huku na kule. Ona sasa.
 
Hii inadhihirisha kuwa watanzania ni vilaza,mtu akiwa anaandika habari za uchunguzi lazima wahoji uraia wake maana watanzania kazi yao ni kuandika habari za mara zari sijui Tanasha sijui Diamond. Hongera Eric wewe ni kipanga si mchezo kuandika nakala kwenye gazeti la The Economist.
Aliposema wanaulizia uraia wake tu nikachoka kabisa. Mada ikaishia hapo hapo.
 
Thats it, ndio nilikua nataka kusema hivyo hivyo, wanadhani bado waTanzania ni wale wale wa kupelekeshwa, sasa hivi ukihoji na kutetea haki unaambiwa sio mtanzania. Pumba.vu sana.
Hii inadhihirisha kuwa watanzania ni vilaza,mtu akiwa anaandika habari za uchunguzi lazima wahoji uraia wake maana watanzania kazi yao ni kuandika habari za mara zari sijui Tanasha sijui Diamond. Hongera Eric wewe ni kipanga si mchezo kuandika nakala kwenye gazeti la The Economist.
 
Hii inadhihirisha kuwa watanzania ni vilaza,mtu akiwa anaandika habari za uchunguzi lazima wahoji uraia wake maana watanzania kazi yao ni kuandika habari za mara zari sijui Tanasha sijui Diamond. Hongera Eric wewe ni kipanga si mchezo kuandika nakala kwenye gazeti la The Economist.
Aliposema wanaulizia uraia wake tu nikachoka kabisa. Mada ikaishia hapo hapo.
 
Usituone VIAZI we mzee. Alienda kukamatwa na watu waliovaa kiraia na gari ambalo lina namba binafsi sio gari la polisi. Tuambie kwanini? hakukuwa na gari la polisi????

oneni aibu basi
 
NI fimbo ya hovyo sana hiyo, Chiluba alijaribu kuitumia hadi kwa raisi mstaafu wa nchi hiyo Mzee Kaunda kwa kumuita eti ni Mmalawi, lakini kilichomtokea yeye mwenyewe Chiluba baada ya kutoka madarakani ni somo kwa viongozi wote wa Afrika
Alikuwa mngoni nini?
 

Asubuhi wanakana kuwa na mtu jioni wanakiri kuwa wao ndio wanae!!!
Mungu atuepushe na kikombe hiki laa si hivyo basi mapenzi yake na yatimie...
 
Nimejiuliza, mpaka mtu ashukiwe "uraia" kuna vigezo gani vinaangaliwa? Maana wengine tusiojua breki ya mdomo tunaweza kuunganishwa humo kama hakuna misingi ya kueleweka.

Nina shaka sana kama waandishi wa kibongo wameuliza hili.

Ingawa hata wao wamo katika hatari ya kushukiwa "uraia" siku yoyote.


Majitu yamefungwa sana midomo..watu wamegeuka kuwa na hofu tu..kwakwel mie navyojijua mfano ndo mume wangu anakamatwa kiwehu wehu hvyo...hahaa ntauza gazeti zao..!
 
Back
Top Bottom