Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

Mambo baadae bana.
Anayeikosoa sirikali ndio wakushukiwa uraia wake?
Wanajifanya hawajui kuwa kwenye yard za wadosi na wasomali wamejaa immigrant kibao
 
Wewe mmojawapo wa wasiojulikana?

Tehtehteh...Jamani acheni ku-exaggerate mammbo...Huyo ameitwa polisi kuhojiwa...Ni amri halali ya Jeshi la Polisi...Analisaidia Jeshi la Polisi kwa mambo muhimu...Tuwaache polisi wafanye kazi zao...Bila shaka watamrudisha kwake au kumpeleka mahakamani ...
 
Asubuhi wanakana kuwa na mtu jioni wanakiri kuwa wao ndio wanae!!!
Mungu atuepushe na kikombe hiki laa si hivyo basi mapenzi yake na yatimie...
Huyu bahati yake majirani walitoka mapema na wakapiga picha. Otherwise angepkotwa ufukweni kama kawaida. Sijui utawala huu umeingiliwa na nini
 
ohoooooooo....... aisee huyu asipokubali ukimbizi anapotezwa..... KWA NINI ALIANDIKA HIVI HUYU JAMAA??? au anadhani watu hawajui kiingereza???
 
Dogo unaliwa nanii na hao polisi Nini?? acha kuongea pumba nyambaf.
Kama angekua raia halali angetii wito tu. Ni either raia mkorofi au uraia wake una walakini au sio raia kabisa
 
Police siku hizi ndo wanahoji uraia wa watu.
 
Ukifuatilia utakuta hata Mambokale ni raia mwenye asili ya jehanamu sasa na yeye tukitaka kum deport sijui atakubali.
 
Aisee ni kituko baada ya kituko..yaani ni kama naisikia sauti ya yule dada isemayo....Kituo kinachofuata ni Urafiki.
 
Kweli kabisa hili ndo chimbuko la tatizo lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…