Kamanda wa IRGC anayesimamia Ulinzi wa Maeneo ya Nyuklia, Israel inaendelea kuitishia Iran, tutafikiria kujenga silaha za atomiki'

Kamanda wa IRGC anayesimamia Ulinzi wa Maeneo ya Nyuklia, Israel inaendelea kuitishia Iran, tutafikiria kujenga silaha za atomiki'

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Afisa mkuu wa Iran ameonya kuwa Iran inaweza "kupitia upya" mafundisho yake ya nyuklia iwapo itashambuliwa na Israel.

Israel inaendelea kuitishia Iran, tutafikiria kujenga silaha za atomiki'

- Kamanda wa IRGC anayesimamia Ulinzi wa Maeneo ya Nyuklia

"Mapitio ya mafundisho yetu ya nyuklia na siasa, pamoja na mazingatio yaliyowasilishwa hapo awali, inawezekana kabisa," Ahmad Haghtalab, kamanda wa IRGC anayehusika na usalama wa nyuklia, siku ya Alhamisi.

"Iwapo utawala wa Kizayuni utachukua hatua dhidi ya vituo na suhula zetu za nyuklia, bila shaka tutalipiza kisasi kwa kina kwa makombora ya hali ya juu dhidi ya maeneo yao ya nyuklia," Haghtalab aliongeza.


UP DATE
========================

View: https://x.com/marionawfal/status/1781135246366294450?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.
 
Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.
Kwahiyo unataka serikali ambayo inaruhusu wewe mtoto wa kiume kupumuliwa na mwanaume mwenzako?

Najua hiyo neutral unayomaanisha hapa ni ya freedom, ambayo imesababisha nchi nyingi ziingie kwenye mfumo wa ushoga kwa kisingizio cha uhuru wa mtu.
 
Kwahiyo unataka serikali ambayo inaruhusu wewe mtoto wa kiume kupumuliwa na mwanaume mwenzako?

Najua hiyo neutral unayomaanisha hapa ni ya freedom, ambayo imesababisha nchi nyingi ziingie kwenye mfumo wa ushoga kwa kisingizio cha uhuru wa mtu.
Kimsingi, yule Mungu wa Kweli (siyo Allah) alituumba wanadamu tumtumikie kwa kuamua kwa akili zetu timamu huku tukisukumwa na upendo wetu kwake. Mpaka pale atakapo leta Ufalme wake, anajua kuwa Serikali zinazoongozwa na Binadamu zinamapungufu na unafiki na ndiyo maana hakubaliani serikali hizi zijinasibu kuwa zinayaongoza maisha ya wananchi wao kwa misingi ya Mungu. Wasimamie sheria zisizo na mrengo wowote wa dini na kuacha maamuzi ya kiimani kuwa suala la kibinafsi.
Saudia wameisha gundua hilo
 
Kimsingi, yule Mungu wa Kweli (siyo Allah) alituumba wanadamu tumtumikie kwa kuamua kwa akili zetu timamu huku tukisukumwa na upendo wetu kwake. Mpaka pale atakapo leta Ufalme wake, anajua kuwa Serikali zinazoongozwa na Binadamu zinamapungufu na unafiki na ndiyo maana hakubaliani serikali hizi zijinasibu kuwa zinayaongoza maisha ya wananchi wao kwa misingi ya Mungu. Wasimamie sheria zisizo na mrengo wowote wa dini na kuacha maamuzi ya kiimani kuwa suala la kibinafsi.
Saudia wameisha gundua hilo
Huyo mungu wako unaesema hapa mbona tayari ashachagua nchi moja kuwa ndio taifa lake teule? Je huo uhuru au demokrasia anataka ifanywe na binadam huku yeye akiwa ashachagua kabisa watu wake (nyie mnadai wayahudi) na taifa lake (nyie mnadai Israel)

Sasa kama mungu wenu mwenyewe ashaanza kubagua watu kwa ukabila kwamba hilo kabila la kiyahudi ndio bora kuliko wewe mpogoro unaemtetea hapa, na nchi yao ndio nchi bora kuliko huko kwenu vijijini.

Sasa hapo hiyo sifa ya mungu mwenye upendo kwa watu wote mbona haipo?
 
Huyo mungu wako unaesema hapa mbona tayari ashachagua nchi moja kuwa ndio taifa lake teule? Je huo uhuru au demokrasia anataka ifanywe na binadam huku yeye akiwa ashachagua kabisa watu wake (nyie mnadai wayahudi) na taifa lake (nyie mnadai Israel)

Sasa kama mungu wenu mwenyewe ashaanza kubagua watu kwa ukabila kwamba hilo kabila la kiyahudi ndio bora kuliko wewe mpogoro unaemtetea hapa, na nchi yao ndio nchi bora kuliko huko kwenu vijijini.

Sasa hapo hiyo sifa ya mungu mwenye upendo kwa watu wote mbona haipo?
Utulie usome vizuri biblia, ndiyo utajua kwa nini hatimaye yule Mungu wa Kweli (na siyo yule Allah ambaye ni shetani) alimtuma mwanaye mpedwa aje Duniani. Tofauti kati ya Mayahudi na Waislam na ambayo inafanya Mungu wa Kweli awatofautishe ni kuwa

1. Mayahudi waliamini na wanaamini mpaka sasa kuwa Mungu atamtuma Masihi wake; ila hawakuamini kuwa Yesu ndiye yeye. Hata hivyo hawajawahi kutunga uongo dhidi ya Yesu; kama ule uongo mkubwa wa waislam kuwa Yesu hakusulubiwa

2. Waislam wametunga uongo dhidi ya yesu: siyo mwana wa Mungu na wala hakusulubiwa afe kwa ajili ya dhambi za wanadamu wote. Pia wakadhihaki kuwa kwa kusema damu ya yesu inakomboa inamaana yule Mungu wa kweli ni Vampire, yaani mnywa damu

3. Mungu wa kweli akiwaachia Waislam washinde kwenye vita hiyo, ambapo waislamu Agenda yao ni kuwaangamiza wayahudi na wakristo duniani, ushindi wao utahatarisha ukombozi wa wanadamu kwa ujumla
 
Pumbavu hili
Huyo mungu wako unaesema hapa mbona tayari ashachagua nchi moja kuwa ndio taifa lake teule? Je huo uhuru au demokrasia anataka ifanywe na binadam huku yeye akiwa ashachagua kabisa watu wake (nyie mnadai wayahudi) na taifa lake (nyie mnadai Israel)

Sasa kama mungu wenu mwenyewe ashaanza kubagua watu kwa ukabila kwamba hilo kabila la kiyahudi ndio bora kuliko wewe mpogoro unaemtetea hapa, na nchi yao ndio nchi bora kuliko huko kwenu vijijini.

Sasa hapo hiyo sifa ya mungu mwenye upendo kwa watu wote mbona haipo?
Kwahiyo unataka serikali ambayo inaruhusu wewe mtoto wa kiume kupumuliwa na mwanaume mwenzako?

Najua hiyo neutral unayomaanisha hapa ni ya freedom, ambayo imesababisha nchi nyingi ziingie kwenye mfumo wa ushoga kwa kisingizio cha uhuru wa mtu.
Kiijumla Allah ni Shetani, angalu wayahudi japokuwa wamemkataa yesu kuwa siyo mashi wake, wanamtaja mungu wa kweli kuwa ni YAHWE
Layika Quran 19:83 Allah anasema anatuma mashetani ili wawapoteze wanadamu wasiokuwa waislam. Je huyo Allah atakuwa nani kama siyo The Head Shetani? Ndiyo maana nasisitiza tena na tena ALLAH= SHETAN
IMG_3409.jpeg
 
Bila kushambulia hivyo vinu vya nyuklia baada ya miaka 5 mbele Iran itakuwa na nyuklia bomba. Miaka ya 1945 USA waliweka Mbinyo kubwa Rusia asiweze kumiliki nuclear walishtuka kitu kinatestiwa kwa ufanisi wa hali ya juu, North Korea hivo hivi, hata Iran hakuna wa kumzuia, Rusia, North Korea, China wanaweza kutoa wataalamu na kila kitu kwa Iran na bomu kukamilika.
 
Utulie usome vizuri biblia, ndiyo utajua kwa nini hatimaye yule Mungu wa Kweli (na siyo yule Allah ambaye ni shetani) alimtuma mwanaye mpedwa aje Duniani. Tofauti kati ya Mayahudi na Waislam na ambayo inafanya Mungu wa Kweli awatofautishe ni kuwa
1. Mayahudi waliamini na wanaamini mpaka sasa kuwa Mungu atamtuma Masihi wake; ila hawakuamini kuwa Yesu ndiye yeye. Hata hivyo hawajawahi kutunga uongo dhidi ya Yesu; kama ule uongo mkubwa wa waislam kuwa Yesu hakusulubiwa
2. Waislam wametunga uongo dhidi ya yesu: siyo mwana wa Mungu na wala hakusulubiwa afe kwa ajili ya dhambi za wanadamu wote. Pia wakadhihaki kuwa kwa kusema damu ya yesu inakomboa inamaana yule Mungu wa kweli ni Vampire, yaani mnywa damu
3. Mungu wa kweli akiwaachia Waislam washinde kwenye vita hiyo, ambapo waislamu Agenda yao ni kuwaangamiza wayahudi na wakristo duniani, ushindi wao utahatarisha ukombozi wa wanadamu kwa ujumla
Wewe kweli mtu wa vichakani, hata hiyo sim unayotumia sasa hivi sijui umeipata wapi na nani amekufunza kuitumia. Hili uliloandika hapa halina uthibitisho wowote maana wewe haukuwepo wakati huyo mungu anamtuma huyo yesu sasa utakimbilia kuamini vipi?

Mbona waisrael wenyewe ambao walikuwepo kabla na baada ya kuandikwa hicho kitabu chenu hawajaamini uongo ulioandikwa katika kitabu chenu.

Wewe na hao waisrael nani ambae anatakiwa aamini kilichoandikwa?

Kama wao waisral wenye Israel yao hawajahi kumuona huo yesu mlioambiwa na wajanja wachache wewe ni nani mpaka ukubali kuwa alikuwepo wakati pia hukuwahi kumuona? Kama ulidanganywa na wakoloni je?

Mbona waafrika mnakuwa wepesi kudanganywa na kufanywa wajinga kila siku? Mmerogwa na nani? Mbona China walikataa huu ujinga wa kukubali kulishwa matango pori na leo hii nchi yao imepiga hatua kubwa kinaendelea?

Mtu alie wauwa babu zako na wengine kuwafanya watumwa huko kwao, atakuwa na wema gani kwako mpaka mpaka akuletee habari za kipuuzi na wewe mtu mweusi kukimbilia kuzikubali?

Waisrael wenye kujua habari za yesu washapinga kwamba huyo yesu wenu wa kwenye biblia ni wa uongo. Sasa wewe mpogoro unalazimisha kwamba ni wa kweli, wakati hukuwahi kumuona 😂😂😂

Halafu aliekwambia kuwa kila anaeipenda Iran, au anaeiponda Israel ni muislam ni nani? Mbona Afrika kusini asilimia 99 ni wakristo lakini wanaichukia Israel vibaya mno, mbona mwl Nyerere, Mandela na Dosmond Tutu ni wakristo lakini waliichukia Israel hadi siku za kufa kwao.

Hebu soma maneno ya raisi wa China uone jinsi watu wenye akili wanawaongeleaje waafrika wapumbavu wenye kufia dini zisizokuwa za kwao.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 6
Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.
Hahaa nitunze uharo wa mlokole.
 
Wewe kweli mtu wa vichakani, hata hiyo sim unayotumia sasa hivi sijui umeipata wapi na nani amekufunza kuitumia. Hili uliloandika hapa halina uthibitisho wowote maana wewe haukuwepo wakati huyo mungu anamtuma huyo yesu sasa utakimbilia kuamini vipi?

Mbona waisrael wenyewe ambao walikuwepo kabla na baada ya kuandikwa hicho kitabu chenu hawajaamini uongo ulioandikwa katika kitabu chenu.

Wewe na hao waisrael nani ambae anatakiwa aamini kilichoandikwa?

Kama wao waisral wenye Israel yao hawajahi kumuona huo yesu mlioambiwa na wajanja wachache wewe ni nani mpaka ukubali kuwa alikuwepo wakati pia hukuwahi kumuona? Kama ulidanganywa na wakoloni je?

Mbona waafrika mnakuwa wepesi kudanganywa na kufanywa wajinga kila siku? Mmerogwa na nani? Mbona China walikataa huu ujinga wa kukubali kulishwa matango pori na leo hii nchi yao imepiga hatua kubwa kinaendelea?

Mtu alie wauwa babu zako na wengine kuwafanya watumwa huko kwao, atakuwa na wema gani kwako mpaka mpaka akuletee habari za kipuuzi na wewe mtu mweusi kukimbilia kuzikubali?

Waisrael wenye kujua habari za yesu washapinga kwamba huyo yesu wenu wa kwenye biblia ni wa uongo. Sasa wewe mpogoro unalazimisha kwamba ni wa kweli, wakati hukuwahi kumuona 😂😂😂

Halafu aliekwambia kuwa kila anaeipenda Iran, au anaeiponda Israel ni muislam ni nani? Mbona Afrika kusini asilimia 99 ni wakristo lakini wanaichukia Israel vibaya mno, mbona mwl Nyerere, Mandela na Dosmond Tutu ni wakristo lakini waliichukia Israel hadi siku za kufa kwao.

Hebu soma maneno ya raisi wa China uone jinsi watu wenye akili wanawaongeleaje waafrika wapumbavu wenye kufia dini zisizokuwa za kwao.
Ninayo kuambia ni ya kweli na muongo huu wa miaka ya 2020-2030 kuna utimizo mwingi sana. Wewe Mkomunisti, usipo amini Biblia utaangamia; keep my word. Ukitaka jua kuwa uwepo wa Yesu unatambuliwa pia na Historia soma Luka 3:1 na 25 halafu google uone huyo mfalme anavyoelezewa kwenye historia
 
Ninayo kuambia ni ya kweli na muongo huu wa miaka ya 2020-2030 kuna utimizo mwingi sana. Wewe Mkomunisti, usipo amini Biblia utaangamia; keep my word. Ukitaka jua kuwa uwepo wa Yesu unatambuliwa pia na Historia soma Luka 3:1 na 25 halafu google uone huyo mfalme anavyoelezewa kwenye historia
Nisome luka iliyoandikwa na binadam kama wewe, tena nisiemjua!

Ni nani aliekufa akarudi na story ulizoandika hapa. Huu ni mfumo wa watu walioamua kuupanga ili tuuishi na naweza kusema labda umesaidia kwa namna fulan kupunguza vitendo vibaya ambavyo leo hii vingekuwepo.

Lakini swala la kwenda mbinguni kula matunda, sijui nchi gani ni taifa pekee la Mungu, sijui wayahudi ni bora kuliko wewe mmatumbi, ni uongo mtupu. Jamaa wamejipa promo ambayo leo hii inawavua nguo mchana kweupe.
 
Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.
Kwenda zako, utawala wa kizayuni ndio unaanguka saivi na Israel inatambua fika ndio maana anauwa watoto kila mtu hajui ashike wapi akiangalia kila siku anashushiwa kipigo hakutegemea kabisa sasa 6 months alifikiri Hamas ni kukundi cha wavuta bangi tu, sasaivi ni none stop
 
Utulie usome vizuri biblia, ndiyo utajua kwa nini hatimaye yule Mungu wa Kweli (na siyo yule Allah ambaye ni shetani) alimtuma mwanaye mpedwa aje Duniani. Tofauti kati ya Mayahudi na Waislam na ambayo inafanya Mungu wa Kweli awatofautishe ni kuwa
1. Mayahudi waliamini na wanaamini mpaka sasa kuwa Mungu atamtuma Masihi wake; ila hawakuamini kuwa Yesu ndiye yeye. Hata hivyo hawajawahi kutunga uongo dhidi ya Yesu; kama ule uongo mkubwa wa waislam kuwa Yesu hakusulubiwa
2. Waislam wametunga uongo dhidi ya yesu: siyo mwana wa Mungu na wala hakusulubiwa afe kwa ajili ya dhambi za wanadamu wote. Pia wakadhihaki kuwa kwa kusema damu ya yesu inakomboa inamaana yule Mungu wa kweli ni Vampire, yaani mnywa damu
3. Mungu wa kweli akiwaachia Waislam washinde kwenye vita hiyo, ambapo waislamu Agenda yao ni kuwaangamiza wayahudi na wakristo duniani, ushindi wao utahatarisha ukombozi wa wanadamu kwa ujumla
Mkuu mayahudi unataka wamtukane Yesu kwa kiwango kipi tena zaidi ya waliposema Yesu ni mwana wa haramu? Mayahudi (Judaysim) hawaamini kwenye Yesu na ndio maana leo mayahudi wanawatemea mate wakiristo, on top of that hii vita inayoendelea muda huu wakiristo kibao tayari wameshauliwa vijiji mbali mbali kule Palastine ni hao Israel.

Kama wewe ni mikiristo sijui unapata wapi nguvu ya kuutukana uislamu na kuukashifu hapa mtandaoni na kuwatukuza Mayahudi ambao hata wewe dini yako wanaitemea mate. Israel walipopewa uhuru wa bandia ni Magharibi na US 1948 wazungu walieneza propaganda ulimwengu mzima kuwambia wakiristo kwamba Mayahudi ni wenzao wanafuata na kuamini ukiristo wakawa wanawasomea mistari ya kwenye bibilia kwamba Israel ni taifa la mungu ambapo mpaka leo baadhi ya wakiristo wanaamini hivyo lakini ukweli ni kwamba Mayahudi wana dini yao mbali initwa Juudaism tofauti na ukiristo.

Sio vyema kuja hapa na kutukana uislamu., Pata muda upitie History ya hili taifa jipya liloanzishwa na wazungu (Israel) na ufahamu kwanini lilianzishwa hili taifa usije hapa na matusi, Mayahudi wanauchukia zaidi Ukiristo kama wanavyouchukia uislamu.
 
Mkuu mayahudi unataka wamtukane Yesu kwa kiwango kipi tena zaidi ya waliposema Yesu ni mwana wa haramu? Mayahudi (Judaysim) hawaamini kwenye Yesu na ndio maana leo mayahudi wanawatemea mate wakiristo, on top of that hii vita inayoendelea muda huu wakiristo kibao tayari wameshauliwa vijiji mbali mbali kule Palastine ni hao Israel.

Kama wewe ni mikiristo sijui unapata wapi nguvu ya kuutukana uislamu na kuukashifu hapa mtandaoni na kuwatukuza Mayahudi ambao hata wewe dini yako wanaitemea mate. Israel walipopewa uhuru wa bandia ni Magharibi na US 1948 wazungu walieneza propaganda ulimwengu mzima kuwambia wakiristo kwamba Mayahudi ni wenzao wanafuata na kuamini ukiristo wakawa wanawasomea mistari ya kwenye bibilia kwamba Israel ni taifa la mungu ambapo mpaka leo baadhi ya wakiristo wanaamini hivyo lakini ukweli ni kwamba Mayahudi wana dini yao mbali initwa Juudaism tofauti na ukiristo.

Sio vyema kuja hapa na kutukana uislamu., Pata muda upitie History ya hili taifa jipya liloanzishwa na wazungu (Israel) na ufahamu kwanini lilianzishwa hili taifa usije hapa na matusi, Mayahudi wanauchukia zaidi Ukiristo kama wanavyouchukia uislamu.
Acha uongo
 
Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.
Hakika, inabidi kuwa hivyo tu.
 
Kwenda zako, utawala wa kizayuni ndio unaanguka saivi na Israel inatambua fika ndio maana anauwa watoto kila mtu hajui ashike wapi akiangalia kila siku anashushiwa kipigo hakutegemea kabisa sasa 6 months alifikiri Hamas ni kukundi cha wavuta bangi tu, sasaivi ni none stop
Subiri utashangazwa hivi karibu na utanitafuta
 
Nisome luka iliyoandikwa na binadam kama wewe, tena nisiemjua!

Ni nani aliekufa akarudi na story ulizoandika hapa. Huu ni mfumo wa watu walioamua kuupanga ili tuuishi na naweza kusema labda umesaidia kwa namna fulan kupunguza vitendo vibaya ambavyo leo hii vingekuwepo.

Lakini swala la kwenda mbinguni kula matunda, sijui nchi gani ni taifa pekee la Mungu, sijui wayahudi ni bora kuliko wewe mmatumbi, ni uongo mtupu. Jamaa wamejipa promo ambayo leo hii inawavua nguo mchana kweupe.
Basi so Quran, iliyoja ngono tupu
 
Back
Top Bottom