Najua umetunza, na uzuri si muda mrefu hayo yanatimiaHahaa nitunze uharo wa mlokole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua umetunza, na uzuri si muda mrefu hayo yanatimiaHahaa nitunze uharo wa mlokole.
Wewe endelea kuamini ujinga mkuu.Basi so Quran, iliyoja ngono tupu
Commander of the Iranian Ground Forces on Israel attack: We were able to confront very small drones.Bila kushambulia hivyo vinu vya nyuklia baada ya miaka 5 mbele Iran itakuwa na nyuklia bomba. Miaka ya 1945 USA waliweka Mbinyo kubwa Rusia asiweze kumiliki nuclear walishtuka kitu kinatestiwa kwa ufanisi wa hali ya juu, North Korea hivo hivi, hata Iran hakuna wa kumzuia, Rusia, North Korea, China wanaweza kutoa wataalamu na kila kitu kwa Iran na bomu kukamilika.
Hapo kwenye bold umeonesha upendeleo wa wazi. Ukweli na haki ni kwamba WAYAHUDI wanauchukia zaidi Ukristo kuliko Uislamu na wanawachukia zaidi wakristo kuliko Waislamu. Ndo wametunga hadi Sheria ya kupiga marufuku kuhubiri Ukristo mitaani wakati Uislamu ukihubiriwa bila shida.Mkuu mayahudi unataka wamtukane Yesu kwa kiwango kipi tena zaidi ya waliposema Yesu ni mwana wa haramu? Mayahudi (Judaysim) hawaamini kwenye Yesu na ndio maana leo mayahudi wanawatemea mate wakiristo, on top of that hii vita inayoendelea muda huu wakiristo kibao tayari wameshauliwa vijiji mbali mbali kule Palastine ni hao Israel.
Kama wewe ni mikiristo sijui unapata wapi nguvu ya kuutukana uislamu na kuukashifu hapa mtandaoni na kuwatukuza Mayahudi ambao hata wewe dini yako wanaitemea mate. Israel walipopewa uhuru wa bandia ni Magharibi na US 1948 wazungu walieneza propaganda ulimwengu mzima kuwambia wakiristo kwamba Mayahudi ni wenzao wanafuata na kuamini ukiristo wakawa wanawasomea mistari ya kwenye bibilia kwamba Israel ni taifa la mungu ambapo mpaka leo baadhi ya wakiristo wanaamini hivyo lakini ukweli ni kwamba Mayahudi wana dini yao mbali initwa Juudaism tofauti na ukiristo.
Sio vyema kuja hapa na kutukana uislamu., Pata muda upitie History ya hili taifa jipya liloanzishwa na wazungu (Israel) na ufahamu kwanini lilianzishwa hili taifa usije hapa na matusi, Mayahudi wanauchukia zaidi Ukiristo kama wanavyouchukia uislamu.
Nimesema Mayahudi chuki walizonazo dhidi ya Wislamu ni sawa sawa na chuki walizonazo kwa Wakiristo,Hapo kwenye bold umeonesha upendeleo wa wazi. Ukweli na haki ni kwamba WAYAHUDI wanauchukia zaidi Ukristo kuliko Uislamu na wanawachukia zaidi wakristo kuliko Waislamu. Ndo wametunga hadi Sheria ya kupiga marufuku kuhubiri Ukristo mitaani wakati Uislamu ukihubiriwa bila shida.
Mkuu umekula kweli wewe??? Naona unapayuka tu...Maadam Serikalu ya Iran ni ya Kitheocracy ( yaani ambapo katiba yake na sheria ni Quran) serikali hiyo lazima itaanguka, ili kupisha serikali ambayo ni neutral, iwe ni kuangushwa na Israel au wananchi wa Iran. Tunza maneno yangu.