Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
Ni-heri mimi nauza pilipili kwa matumizi ya hiali kwako na wengine wenye mapenzi nazo(kwa walaji) lakini sisi yeye mwenye kuhatarisha Amani kwa Taifa kwa kutumia ofisi yake vibaya,kwa matumizi ya kisiasa.KWani wewe umefanya nini zaidi ya kuuza pilipili?
Aliyeleta habari kaeleza kila kitu, wewe umekurupukaje bila kusoma au huelewi?ALIKUWA MKOA GANI MARA YA MWISHO KABLA YA MAUTI?
Unamaanisha nini unaposema alikuwa ndio boss? Au ni cheo kipya polisi?Alikua ndio boss pale chuo cha polisi Moshi
Utu wa ccm sioAlikua tofauti kabisa aisee ndo mana umeona katolewa Arusha, alikua ana utu sana
Tujifunze mawili kutoka kwa maisha ya Kamanda Shana:
Alihamishwa baada ya kujitoa ufahamu kupita kiasi na kuzuia PCCB kufanya kazi yao naona hakuweza kuukubali ukweli wa demotionAlikua tofauti kabisa aisee ndo mana umeona katolewa Arusha, alikua ana utu sana
wewe ndiyo umekurupuka kujibu hoja yangu mleta mada kasema aliwahi kuwa mkuu wa police arusha mimi nimesema alikuwa mkoa gani kabal ya umauti? kama umeamka na bange za asubuhi bla kula usiwe unajibu wanaumeAliyeleta habari kaeleza kila kitu, wewe umekurupukaje bila kusoma au huelewi?
Na jamma naye atapita pia?R. I. P kamanda Shanna
Kweli hii Dunia wote tunapita tu
Ova
Ndio huyu huyu kada wa CcmHuyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?
Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.
Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu
Au siyo yeye ?
Kada mwenzio tujifunze kuwa cheo ni dhamana tusiwatendee wenzetu yale yasiyo sitahiliRip kamanda!
Wengine wanasaka ubunge.
Wewe utabaki milele hapa duniani kwa matendo yako memaAende anakostahili kutokana na matendo yake
Mkuu hayo ni madaraka ambayo muhusika anapaswa kuwa ameanziaPolisi mliopo humu tuelimisheni hiki cheo ni cha madaraka au cha muundo?? kapicha ka hichi cheo kakiwa atachedi itakuwa poa