moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Taarifa.
Mwili utachukuliwa Muhimbili Mortuary siku ya Alhamis 17 September 2020 na kupelekwa kilwa Road kwa ajili ya kuagwa.
Baada ya utapekekwa kwa Dr. Musika Mbweni na kulala uko.
Siku ya Ijumaa wataanza safari kuelekea Ikizu Bunda watafika Dodoma majira ya Mchana saa Saba na utafikia nyumbani kwake watakaa kwa Nusu saa yaani saa 7:30 Mchana wataondoka nyumbani kwake Dodoma Ipagala kuelekea Kanisani Dodoma Kati watafika saa 8:00 Mchana. Kanisani kutakuwa na Chakula kwa Wageni na waombolezaji ; itafanyika Ibada fupi; Salamu za Kijeshi na kuaga mwili watu Wote.
Saa Kumi na Moja Jioni wataanza safari kutoka Dodoma Baada ya mapumziko kwenda Kijijini Ikizu mission . Wanatarajia kufika Bunda Asubuhi na watashinda Kwa Mama yake pale CCM Bunda Mjini na Jioni siku hiyo ya Jumamosi wataondoka na kwenda Ikizu Mission kwa Mzee Samwel Musika Waryoba Kaka yake na Marehemu Baba yake aliye mlea Shana.
Asubuhi Jumapili mwili utaondoka kwa Mzee Samwel kwenda kwa Kaka yake Shana Bukama Ikizu Mission ( Ikizu Secondary).
MAZISHI YA MPENDWA WETU SHANA NI JUMAPILI
Mwili utachukuliwa Muhimbili Mortuary siku ya Alhamis 17 September 2020 na kupelekwa kilwa Road kwa ajili ya kuagwa.
Baada ya utapekekwa kwa Dr. Musika Mbweni na kulala uko.
Siku ya Ijumaa wataanza safari kuelekea Ikizu Bunda watafika Dodoma majira ya Mchana saa Saba na utafikia nyumbani kwake watakaa kwa Nusu saa yaani saa 7:30 Mchana wataondoka nyumbani kwake Dodoma Ipagala kuelekea Kanisani Dodoma Kati watafika saa 8:00 Mchana. Kanisani kutakuwa na Chakula kwa Wageni na waombolezaji ; itafanyika Ibada fupi; Salamu za Kijeshi na kuaga mwili watu Wote.
Saa Kumi na Moja Jioni wataanza safari kutoka Dodoma Baada ya mapumziko kwenda Kijijini Ikizu mission . Wanatarajia kufika Bunda Asubuhi na watashinda Kwa Mama yake pale CCM Bunda Mjini na Jioni siku hiyo ya Jumamosi wataondoka na kwenda Ikizu Mission kwa Mzee Samwel Musika Waryoba Kaka yake na Marehemu Baba yake aliye mlea Shana.
Asubuhi Jumapili mwili utaondoka kwa Mzee Samwel kwenda kwa Kaka yake Shana Bukama Ikizu Mission ( Ikizu Secondary).
MAZISHI YA MPENDWA WETU SHANA NI JUMAPILI