Naamini Mungu amempa nafasi nyingine ili asirudie hata matusiKutekateka watu eti kwasababu wanakosoa huo ni ushamba tu na uoga.
Wanaofanya hayo matukio na wanaowatuma wajue tu wamelaaniwa wao na uzao wao, madhara wanaweza wasiyaone kwao lakini watoto wao wanaowapenda na kuwasomesha kwa gharama na vipato vinavyotokana na huo ujinga wao watakuja kuishi maisha magumu ajabu pamoja na Mali wanazowaachia.
Kwa upande mwingine Sativa alikuwa ni mtu wa mitusi mikubwa ya nguoni. Tujifunze tu
View attachment 3027717
Wapo wanasubiri kazi tu wakipewa wanatekeleza.Watu wasiojulikana wamerud
Maisha ya karne ya 16 haya ndugu.Udikteta ni kitu kibaya Sana duniani kote.
Lengo lilikuwa ni kwamba aliwe na Wanyama wakali kijana ana Mungu aisee!!.Kwa hiyo walitaka aliwe na wanyama wakali
Labda lengo lao lilikuwa ni Tarangire Ngorongoro au Serengeti.WHY ARUSHA KISHA MSITUNI KATAVI? hiyo ilikuwa kupelekwa kwa bana Kuba akatoe adhabu kisha kutupwa mbali Katavi ili kupoteza ushahidi.
Ila Mungu aliye hai anaona kila kitu
Nikweli maana machapisho yote kuhusu Sakata la Sukari na Mpina, hayaruki hewani humuHuko X wakosoaji wengi wako hatarini, humu kwenyewe watu wawe makini hamko safe km mnavyofikiria.
Hata hili nalo ni somo tosha naamini hatorudia tena.Sheria zipo, angefuatiliwa akamatwe aburuzwe mahakamani ushahidi uwekwe mezani apigwe miaka yake jela.
Inawezekana upande wa taya au niseme shavu."alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni "
Hii statement ni tata sana Maana kama kilitokea mdomoni kiliingilia WAPI??
Huyu jamaa sura yake inasema kila kitu.Mtekaji huyu hapa
You foolish, Idiot what are you cheering about!Hata hili nalo ni somo tosha naamini hatorudia tena.
Kabla Twitter haijawa (X) hate speech ilikuwa inakataliwa. Ukitoa hate speech na ukawa reported walikuwa wana ku "ban".
Ila alipokuja Elon Musk watu wanajiachia tu kila kitu mpaka picha za ngono.
Unaonyesha unajua scenario nzima ?Bashite ndiye bosi wa kundi la wasiojulikana hivyo walienda Arusha kumuonyeha kuwa kazi uliyotutuma hii hapa naye akatoa maelekezo wamuue kisha wakamtupe katavi aliwe na wanyama kupoteza ushahidi.
Kama alikua anatukana namna hio mtandaoni hapo kajifunza ,,Sativa alikuwa anatukana utadhani hakuzaliwa na mwanamke
View attachment 3027721
Huyu ukute katekwa na watu wake wa bettingNaamini Mungu amempa nafasi nyingine ili asirudie hata matusi
View attachment 3027722
Na alifanya hivyo kwa Ben Saanane ndiyo maana hadi leo mwili wake haujulikani ulipo.Unaonyesha unajua scenario nzima ?
Imbecile what are you insinuating? Sativa got paid for what he was after!! Insults are not tolerable same as violenceYou foolish, Idiot what are you cheering about!