"..... alikua anawajali sana wamama......" Fafanua mkuu!!!Kamanda msela msela yule,
niko darasa la tano nakutana nae kila siku asubuhi nikienda shule akifanya joging peke yake bila ya bodyguard ,tulikua tunaishi same neighbourhood,alikuwa anawajali sana wamama.
rip
Hata haya ya IBRA CONNECTION inasemekanaAlikuwa KAMANDA mashuhuri wa polisi mkoa wa Kilimanjaro.. Alikuwa nmoja wa wanahisa wa chinjachinja Buffalo mabasi
Inasemekana alikua sehemu ya mtandao hatari wa majambaziHuyo kamanda atakumbukwa kwa lipi hasa?
Poleni wafiwa wote.
Usilazimishe apumzike unavyotaka.Kamanda huyo alikuwa kilimanjaro - apumzike kwa amani!!
hata kama dhambi zako unaenda nazo piaWewe sio Mwenyenzi Mungu
tunasubiri wafeKumbe mnakuwa na habari za kutosha kuwahusu wakubwa halafu mnakaa kimya
Wameacha watotomm sina shida ya kukufahamu ww au Huyo aliye kufa kwasbabu najua kizazi cha ccm hivyo ndivyo mnazidi kupukutika.
aiseerAisee aliwala ukuenda pale kizembe anakugeuze geuza km samaki
na hao watoto hawawezi wakawa na akili za ccm. na wakiwa na akili za ccm basi ujue hawana akili.Wameacha watoto
Kaanikwa juani?marehemu kaanikwa
Madili? Mbona mkiambiwa madili yamezibwa mnapiga kelele kumbe mnafahamu kwamba kulikuwa na madili.Ukiona umehamishwa toka mkoani (RPC) umerudishwa makao makuu hiyo ni adhabu,mikoani kuna madili ya hela mengi sana na hakuna kufuatiliana,makao makuu utabaki kusoma magazeti tu
"Inasemekana" aliwamaliza majambazi waliokuwa wakimpelekea bahasha baada ya kazi mmoja baada ya mwingine, baada ya Said Kuingia na vuguvugu la kusafisha jeshi la polisi.Chico alikuwa kiungo muhimu wa Mahita katika mambo flani