Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Hebu acheni usanii basi, mnataka kutuambia kuwa Hao ngo'mbe wakitaka kunya na kukojoa wa naenda mtoni? Hicho kinyesi hakiozi? Maprofesa wa Tanzania njaa zinawamalizaMusoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asili....
Pale Dakawa njia kuu ya Moro Dom kuna ka bwawa miaka na miaka sasa,...wamasai wananywesha ng'ombe, wanakunya humour na kukojoa na zaidi watu wanafanya shughuli zao humour kama kuoga na kufua na maji hayo yametwama.Hii ni ripoti au ni utopolo!! Yaani wanataka kutuambia hao ng'ombe muda wote walikuwa wako mtoni wanakunya hizo kg 25??! Mimi ni mfugaji nijuavyo ng'ombe anakunya zaidi usiku akiwa amepumzika pia kinyesi chake akiwezi kuwa sumu ya kuua samaki pia mto mara unatiririsha maji muda wote hivyo si rahisi kinyesi kikakaa sehemu moja kwa miezi 8 kama ripoti inavyotaja. Ni aibu kubwa kwa Prof. kutoa ripoti yenye walakini kiasi hiki hata hao wafugaji na wakulima wa maeneo wangefanya utafiti wao wangeleta taarifa ya maana kuliko hii.
Yaani walipiga desa "kopiraiti"Hizo data wamezichukua hapa: Cow In and Out
ila cha ajabu, je hao ng'ombe walikuwa wanashinda humo mtoni, kulala humo humo? na Je mto ulikuwa umetuama? Hawa Mapro- pesa ndio maana wanadhalauliwa na darasa la saba kama Msukuma na Kibajaji...
duu hao ng'ombe ni wa aina gani? na je wanashinda ndani ya mtoo 24hrs kiasi cha kwamba huwalazimu kila wakitaka kujisaidi wajisaidie ndani ya maji au kila wakiona maji choo huwabana. prof anataka tuanze kukagua vyeti vyake? ndiyo maana mbunge Msukuma anawazihakigi hawa wasomi."Ng'ombe mmoja ana toa kilo 25 za kinyesi kwa siku moja na mkojo lita 21
Pale Dakawa njia kuu ya Moro Dom kuna ka bwawa miaka na miaka sasa,...wamasai wananywesha ng'ombe, wanakunya humour na kukojoa na zaidi watu wanafanya shughuli zao humour kama kuoga na kufua na maji hayo yametwama.
Sijawahi sikia Kambale pale wamekufa
kazi kweli kweliMtu na pesa zake eeh
Anaweza kuhamisha mito milima na mabonde
Lakini akumbuke Mungu hapokei rushwa
Tuanze na KG 25 zakinyesi hao ni ng'ombe au Tembo?Tuangalie na tulinde maisha ya watu wetu bila mizahaaMusoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu...
Professorior rubbish in Lisu voice hata wale wa makinikia walituambia tunadai Mihela kibao tukaishia kudanganywa.Maprofessa wapumbavu Kama Hawa Ndo wanaishushia hadhi elimu yetu
ShangaaChemistry ya wapi hiyo!!ina Maana urea ya ng'ombe na ammonia ya mavi yake itakua sumu KWA samaki anae excrete ammonia kali ZAIDI tena sumu kuliko ya ng'ombe ndipo samaki afe!!???Waache kutudanganya waseme heavy metals zote zinazotokana na uchafu zimeua samaki WETU hapo mara!!Waache usanii !!!
Hao ng'ombe wa Mara ni kibogo. Kama Tembo vileNg'mbe mmoja kinyesi 25kg kwa siku + 21 Lita za mkojo???????????? Sijawahi kufuga lakini hapa....Ngumu kumeza
ApiaTaarifa labda imewagusa moderator...π
Mi mwenyewe nilishawahi tenda dhambi mpaka shetani akasema "WOW IT'S AMAIZING!"..π