Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi...
Kama Taifa tumefeli kila eneo. Hatuna pakushikilia.Ukitaka kujua uwezo wao uwapime kwa kuwaangalia propesa Lipumba, Mruma na Ossoro...
Mwafrika hata asome vipi huwezi mtofautisha na mshenzi.
Na je ng'ombe huyo hula kg ngapi za nyasi ili kutengeneza hicho kinyesi cha kg 25?
Kuna wadau wanasema hatupaswi kupinga utafiti pasipo kufanya utafiti! Ila, kwa taarifa hii, maswali ni mengi kuliko majibu...
Eeee bhana eeeee !!!Ukitaka kujua uwezo wao uwapime kwa kuwaangalia propesa Lipumba, Mruma na Ossoro...
Mwafrika hata asome vipi huwezi mtofautisha na mshenzi.
Musoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asili..
Mkuu huu ni udhalilishaji kwetu WaafrikaUkitaka kujua uwezo wao uwapime kwa kuwaangalia propesa Lipumba, Mruma na Ossoro...
Mwafrika hata asome vipi huwezi mtofautisha na mshenzi.
Hapo kwenye kilo 25 za kinyesi cha ng'ombe nadhani angeweka tembo ingefit zaidi, na sijui walipimaje hizo kilo na tani za mkojo.Ngombe hawa hawa wa mara mmoja anakunya kinyesi cha kg 25 na mkojo lita 21...
Na vikapimwa uzito na ujazoKwamba mkojo na vinyesi vilizama. Vimeibuliwa na mvua.
Waziri anasema kafarijika siyo kemikali.
Kazi kweli kweli.