Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwenye uthubutu huoAgenda? Wafute uchaguzi wao wote wa ndani. Waliothibitika wafungiwe kugombea kwa muda kama kanuni za Chama chao zinavyotaka.
Kwahiyo huyo babaako kumbe alikuwa kibaka!kwa hiyo kama baba yako akiwa kibaka wewe kwa upande wako kurithi fani hilo halikupishi shida siyo !!
Hatuna haraka naye, atapigika kwa style zile za PoreporeBashiru ni kiboko,hawana hamu
jibuni hoja za Mh. Bushiru acheni kuchachawa.Kwahiyo huyo babaako kumbe alikuwa kibaka!
Bashiru mpuuzi alifikiri yeye na yule bwana'ake wangeishi milele sasa baada ya mwandani wake kuondoka na covid basi amechanganyikiwa kabisa.jibuni hoja za Mh. Bushiru acheni kuchachawa.
unapita zako tu mtaani ghafla mtu akushike tako🤭 utajisikiaje mkuu!Hivi mwilini huwa kuna sehemu mbaya?Curiosity!
Hii ya kufanyia vikao ikulu nadhani imeanza na mwenda zake. Niko tayari kukosolewa.
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha🤣🤣🤣
Ntamkata makofi na kumuambia asithubutu kushika sehemu muhimu/sensitive!unapita zako tu mtaani ghafla mtu akushike tako🤭 utajisikiaje mkuu!
View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
Mimi ni mgeni, mkuu nifungulie hii code ya subwoofer used, ndiyo nani?hadi sasa nasikia subwoofer used iko mahali imejichimbia na tu-spika zake ndogondogo
Anaweza kufanya jambo lolote analotaka lakini Wakati huu Mungu mwenyewe anasimama na Tanzania na anataka kufanya jambo ambalo hatuwezi kuamini tu🤐🤐🤐🤐The can do any thing the want but this Time God Him self stand with Tanzania and He want to do some thing we could never believe just🤐🤐🤐🤐
Hata mzee wa ndoto kesha Ota hilo na habari za chini ya kapeti ni kuwa kikao kinajadili hiyo ndoto [emoji1787]hadi sasa nasikia subwoofer used iko mahali imejichimbia na tu-spika zake ndogondogo
Jaribu kujikumbusha mtindo huu ulianzia wapi hasa.Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
"Kujiuzulu", wapi Tanzania?Sijui kama anao ujasiri wa kutangaza kujiuzulu...naota tu!
Wewe unaipa tafsiri tofauti (literal meaning).Hivi mwilini huwa kuna sehemu mbaya?Curiosity!
Hiyo maana sijaipenda.Sehemu mbaya?"Hau"!Iitwe sehemu "fulani" /itajwe jina.Wewe unaipa tafsiri tofauti (literal meaning).
Ukiguswa jichoni (mboni ya jicho) si sawa na kuguswa sikioni, na si sawa na kuguswa kule chini kwingineko!
Wacha uongo.Hiyo
Hii ilikuwepo hata enzi za Nyerere hivyo umuandame Mheshimiwa Samia eti kwakuwa tu humpendi.