Kamati Kuu ya CCM yakutana Ikulu kwa dharula chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia

Kamati Kuu ya CCM yakutana Ikulu kwa dharula chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia

Bashiru ni sawa na yule memba wa jf aliyekosa ubunge wa isti Africa, amejilipua,
 
jibuni hoja za Mh. Bushiru acheni kuchachawa.
Bashiru mpuuzi alifikiri yeye na yule bwana'ake wangeishi milele sasa baada ya mwandani wake kuondoka na covid basi amechanganyikiwa kabisa.
 
Hii ya kufanyia vikao ikulu nadhani imeanza na mwenda zake. Niko tayari kukosolewa.

NYERERE:
images (27).jpeg


KIKWETE:
IMG_20220926_230017.jpg


-Kaveli-
 
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha🤣🤣🤣

Kabisa. Kama miradi yote yenye pesa tunawapa wageni kwakuwa wana uwezo, kwanini uongozi tusiwape kabisa wafanye kwa uwezo bora?
 
The can do any thing the want but this Time God Him self stand with Tanzania and He want to do some thing we could never believe just🤐🤐🤐🤐
Anaweza kufanya jambo lolote analotaka lakini Wakati huu Mungu mwenyewe anasimama na Tanzania na anataka kufanya jambo ambalo hatuwezi kuamini tu🤐🤐🤐🤐
 
Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Jaribu kujikumbusha mtindo huu ulianzia wapi hasa.
Sina kumbukumbu zinazoonyesha Mwalimu Nyerere kufanya vikao hivi vya chama Ikulu. Sidhani, hata Mzee Rksa au Mkapa kufanya hivyo.

Sasa siku hizi limekuwa ni jambo la kawaida sana, na hakuna anayeuliza kitu.
 
Sijui kama anao ujasiri wa kutangaza kujiuzulu...naota tu!
"Kujiuzulu", wapi Tanzania?

Hilo neno halina maana tena katika misamiati ya nchi hii.

Labda useme "ashinikizwe kuachia...," lakini na yenyewe haiwezekani, kwa sababu wote ni walamba asali wanaomtegemea yeye.
 
Wewe unaipa tafsiri tofauti (literal meaning).

Ukiguswa jichoni (mboni ya jicho) si sawa na kuguswa sikioni, na si sawa na kuguswa kule chini kwingineko!
Hiyo maana sijaipenda.Sehemu mbaya?"Hau"!Iitwe sehemu "fulani" /itajwe jina.
 
Back
Top Bottom