Kamati kuu ya CCM yakutana Mwanza: Yampongeza Rais Magufuli, Walio hama vyama vya Upinzani waongeza Ruzuku ya chama hadi Bil 13

Kamati kuu ya CCM yakutana Mwanza: Yampongeza Rais Magufuli, Walio hama vyama vya Upinzani waongeza Ruzuku ya chama hadi Bil 13

Kadhalika Dr Magufuli amewapongeza wanaccm kwa kuwapokea wabunge na madiwani waliotokea upinzani kwani ujio wao umeiongezea ruzuku CCM kutoka sh bilioni 12 mwaka 2015/16 hadi zaidi ya sh bilioni 13 mwaka 2018/19
Ueni kabisa vyama vya upinzani ruzuku yote ije kwenu.
 
Mzee Pinda amesema japo katiba hairuhusu lakini kutokana na utendaji uliotukuka wa Rais Magufuli anamuomba Rais Magufuli atawale walau kwa miaka 15 badala ya ile 10 ya kikatiba.......japo anaamini kuwa Dr Magufuli hawezi kukubali.
Khaa Pinda naye anashikwa na ugonjwa gani? Sasa utmuombaje mtu afanye kitu ambacho hakiruhusiwi na katiba na si hivyo tu pia una amini unaemuomba hawezi kukubali
 
Mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli amewashukuru wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hichi kwa maamuzi mbalimbali waliyoyachukua katika kuleta mabadiliko.

Kwa mfano kamati ya kufuatilia mali za chama iliyoongozwa na Dr Bashiru iligundua ufisadi mkubwa kwenye mali za chama.

Baada ya kamati ya Dr Bashiru kumaliza kazi yake tumefanikiwa kurejesha mali nyingi mikononi mwa chama na kurekebisha baadhi ya mikataba ikiwemo ya Vodacom na jengo la HQ ya UVCCM.

Pia kituo cha habari cha Channel ten kimerejeshwa chamani.

Kwa sasa mapato ya CCM ni zaidi ya sh bilioni 59 kwa mwaka na thamani ya mali zake ni zaidi ya sh bilioni 900

Kadhalika Dr Magufuli amewapongeza wanaccm kwa kuwapokea wabunge na madiwani waliotokea upinzani kwani ujio wao umeiongezea ruzuku CCM kutoka sh bilioni 12 mwaka 2015/16 hadi zaidi ya sh bilioni 13 mwaka 2018/19

Dr. Magufuli anaihutubia NEC ya CCM jijini Mwanza muda huu na tukio liko mubashara Channel ten.

Mzee Pinda amesema japo katiba hairuhusu lakini kutokana na utendaji uliotukuka wa Rais Magufuli anamuomba Rais Magufuli atawale walau kwa miaka 15 badala ya ile 10 ya kikatiba.......japo anaamini kuwa Dr Magufuli hawezi kukubali.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama
Hakika mzee pinda aliyoyasema anafaa kupingezwa!raisi wetu tunaomba ukubali tukuingezee mda ukamilishe miradi yako sisi hatuna shida na wewe katiba ni yetu wqnanchi tunaweza kubadilisha mda wowote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia watuambie,pamoja na ruzuku kuongezeka,wametumia shilingi ngapi kununua viongozi wa kutoka vyama vya upinzani ?
 
Mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli amewashukuru wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hichi kwa maamuzi mbalimbali waliyoyachukua katika kuleta mabadiliko.

Kwa mfano kamati ya kufuatilia mali za chama iliyoongozwa na Dr Bashiru iligundua ufisadi mkubwa kwenye mali za chama.

Baada ya kamati ya Dr Bashiru kumaliza kazi yake tumefanikiwa kurejesha mali nyingi mikononi mwa chama na kurekebisha baadhi ya mikataba ikiwemo ya Vodacom na jengo la HQ ya UVCCM.

Pia kituo cha habari cha Channel ten kimerejeshwa chamani.

Kwa sasa mapato ya CCM ni zaidi ya sh bilioni 59 kwa mwaka na thamani ya mali zake ni zaidi ya sh bilioni 900

Kadhalika Dr Magufuli amewapongeza wanaccm kwa kuwapokea wabunge na madiwani waliotokea upinzani kwani ujio wao umeiongezea ruzuku CCM kutoka sh bilioni 12 mwaka 2015/16 hadi zaidi ya sh bilioni 13 mwaka 2018/19

Dr. Magufuli anaihutubia NEC ya CCM jijini Mwanza muda huu na tukio liko mubashara Channel ten.

Mzee Pinda amesema japo katiba hairuhusu lakini kutokana na utendaji uliotukuka wa Rais Magufuli anamuomba Rais Magufuli atawale walau kwa miaka 15 badala ya ile 10 ya kikatiba.......japo anaamini kuwa Dr Magufuli hawezi kukubali.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama

Wamewaondoa mafisadi wa zamani wameingia wao mafisadi wapya

Hakuna jipya hapo
 
Mambo ya aibu sana haya;
Mapato ya Chama kwa Mwaka tshs bilioni 50
Mali za Chama tsh bilioni 900
Chama kipo huru kufanya mikutano bila ya bugudha,
Polisi wameagizwa kutii na kufuata maelekezo ya Chama
Serikali ni ya Chama,
Bunge la Chama,
Spika wa Chama,,
Tume ya Chama

Lakini Chama hicho hicho kinaogopa kushiriki Uchaguzi wa haki unaotoa ushindani sawa.
Hizi ni akili au mafanikio ya Sayari ipi na kwa manufaa ya nani?
 
Mzee pinda umenena sawa Rais mwenye uchungu na Nchi aongezewe muda
Nadhani angetakiwa awataje baadhi ya marais ambao hawakuwa na uchungu na nchi
Hii ingetusaidia kuwalinganisha na rais huyu mwenye uchungu kweli kweli na inchi hii
 
Lazima kumpongeza na ni lazima kumshukuru.
,Rais dokta muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.” TEAM KUABUDU/KUSUJUDIA
Huu ni ukichaaa
Kuweni na hofu hata na Shetani kama Mungu hamumuoni
 
Back
Top Bottom