Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

NEC taasisi nyeti imefikia hatua ya kugushi?Kwani shida nini,tuliaaambia hivo viti wawape polisi
Eti NEC waghushi, wajumbe wa kamati kuu waarifiwe, waende Dodoma, wakubali kuapishwa kuwa wabunge! Inaingia akilini kabisaaa? Kweli nyumbu ni nyumbu tu!
 
Fukuza hao COVID-19!
6789012.jpg
 
Akina Halima na Matiko watakuwa wamepiga pesa ndefu sana za maccm ila hata kama ningekuwa mimi ningekubali maana kama wanachama wanaambiwa waandamane barabarani wao wanaandamana mtandaoni wakiongozwa na jasusi fake Yericko Nyerere
 
Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukiwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.

Press itaanza saa tatu kamili usiku
Pressure kwa mambo itoke wapi wakati mambo yote yalipangwa😁😁

NEC taasisi nyeti imefikia hatua ya kugushi?Kwani shida nini,tuliaaambia hivo viti wawape polisi

Mkuu OKW BOBAN SUNZU hivi inawezekana leo mke wako awe kati ya wale19 halafu uje utuambie huhusiki?

Hakuna kitu kinaitwa kughushi hapo, hiyo ni mipango tuu
 
Back
Top Bottom