Umesoma na kuelewa kuhusu kiapo kilikuwa kinaongelewa ?Mkuu mleta mada
1. Nusrat hakuapishwa saa moja usiku kama ulivyomnukuu Mbowe kila mmoja aliona tukio hilo ilukwa ni mchana kweupe;
2. Mh Freeman Mbowe kudai taratibu na kanuni za kudumu za bunge zimekiukwa na kwamba mbunge anaapishwa ndani ya bunge pekee wakati akijua anasema uongo wa wazi kabisa maana yeye pamoja na wabunge wengine walishiriki kubadilisha kanuni Agosti 2020 (Rejea TANGAZO LA SERIKALI NA. 626 la tarehe 7/8/2020) na mabadiliko ni haya:
(2) Bila ya kujali masharti ya fasili ya
(1), endapo Mbunge atachaguliwa au kuteuliwa baada ya Uchaguzi Mkuu, Spika atamwapisha katika: (a) kikao chochote cha Bunge iwapo kuna Mkutano wa Bunge; au (b) eneo litakalopangwa na Spika iwapo hakuna Mkutano wa Bunge unaoendelea na baadaye Spika atatoa taarifa Bungeni kwenye Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Bunge unaofuata.
(3) Wakati wa kuapa, Mbunge anayeamini kuwa kuna Mungu, atalazimika kushika Biblia au Kuran au kitabu kingine kitakatifu kinachotambuliwa na imani ya dini yake.
(4) Iwapo Mbunge haamini kuwa kuna Mungu, hatashika Biblia au Kuran au kitabu chochote kitakatifu au kutamka maneno, βEwe Mwenyezi Mungu nisaidie,β bali atalazimika kuinua mkono wake wa kuume juu.
(5) Kiapo cha uaminifu cha Mbunge kitakuwa na maneno yafuatayo: βMimi, β¦β¦β¦..., naapa kwamba, nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria iliyowekwa. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.β
πππππππππ€£π€£π€£ππWape moyoSi kweli Kama wamevuliwa uanachama bali Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama. Hivyo hilo ni bado azimio, halijapitishwa. Kiswahili lugha yetu tuielewe. Kwa maana hiyo ya Kamati Kuu, Halima Mdee navwenzake bado wanachama wa Chadema, bado wabunge mpaka hapo azimio la kuwavua uanachama litakapopitishwa! Maneno yana maana, tutambue maana, tusitafsiri hisia zetu.
Bwana wee,hao ni wabunge wameshaapa tayari na hairudi hata mia,Mbona hamuelewi jamani ?sasa atarudishaje mil 600 alizowekewa benki ?
Wamefutwa uanachama mkuu kilichobaki ni kukata rufaa tu kwa ajili ya fair justice. Otherwise ndio imetoka hiyo
Waende ACT
Yaani hili takataka!!Sura utafikiria kapatwa na tatizo la kupumua,huyu elimu yke haina tofauti na DK manyaunyauView attachment 1636348
Lakini mjengoni wataendelea kuwa wabunge wa CDM na hamna kitu mtu atawafanya."Kamati Kuu ya ChademaTz imewavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum kwa kosa la utovu wa nidhamu na usali" Mhe. Freeman Mbowe
demokrasia iliyopevuka iliwasipate visingizio apo unahisi wanatokaje1.Wamevuliwa uanachama wa Chadema kwa sababu hawajatokea kuhojiwa na kamati kuu na siyo sababu ya ubunge wa viti maalum.
2. Wameambiwa wanaweza kuandika barua ya kuomba radhi ili warejeshewe uanachama wao.
3. Ndani ya siku 30 wanaweza kukata rufaa kwa kupinga hukumu ya kamati kuu kwenye baraza kuu la chadema.
4. Chadema iliwaandikia barua mara mbili kuwabembeleza wafike kuhojiwa na kamati kuu pia kamati kuu ililazimika kubadili eneo la kuwahoji kutoka makao makuu ya chadema hadi kwenye hoteli ya kitalii ili kulinda usalama wao.!
Mtu ambaye ni msaliti unaweza kumbembeleza kwa kumwandikia barua mbili na hadi kuingia gharama za kukodi hoteli ili kumuhoji?
Ni vipi msaliti aruhusiwe kuandika barua ya kuomba radhi tu na atarudishiwa uanachama wake?
Si kweli Kama wamevuliwa uanachama bali Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama. Hivyo hilo ni bado azimio, halijapitishwa. Kiswahili lugha yetu tuielewe. Kwa maana hiyo ya Kamati Kuu, Halima Mdee navwenzake bado wanachama wa Chadema, bado wabunge mpaka hapo azimio la kuwavua uanachama litakapopitishwa! Maneno yana maana, tutambue maana, tusitafsiri hisia zetu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi niko hapa kwa John nimekuja kurekebisha yale ma-AC yamegoma hayapeleki upepo!
Kuwa karibu na daktari, maana ukipata ufahamu unaweza ukapigwa na cardiac attack!πππππππππ€£π€£π€£ππWape moyo
Wahi leba usije ukazaa njitiMtajuana wenyewe huko huko ufipa.
Yaweza kuwa "... mali ya mjinga..., au kiendacho kwa mganga..."sasa atarudishaje mil 600 alizowekewa benki ?
Hapana Mkuu ni 500m si 600msasa atarudishaje mil 600 alizowekewa benki ?
Umeandika nini?