Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Si kweli Kama wamevuliwa uanachama bali Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama. Hivyo hilo ni bado azimio, halijapitishwa. Kiswahili lugha yetu tuielewe. Kwa maana hiyo ya Kamati Kuu, Halima Mdee navwenzake bado wanachama wa Chadema, bado wabunge mpaka hapo azimio la kuwavua uanachama litakapopitishwa! Maneno yana maana, tutambue maana, tusitafsiri hisia zetu.
 
yaani umeandika utumbo kwakweli ulofa ni mzigo
 
Umesoma na kuelewa kuhusu kiapo kilikuwa kinaongelewa ?
"Nusrat Hanje, amekaa gerezani siku 133 kwa makosa yenye dhamana. Wamekwenda kumtoa jela usiku saa 1 kwa sababu Jamhuri haina nia ya kuendelea na mashtaka, mimi nimekaa jela, huwezi kutolewa saa 1 usiku watu wamekwisha lala ila walimtoa Nusrat na kumwapisha" Freeman Mbowe.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜†πŸ˜†Wape moyo
 
"Kamati Kuu ya ChademaTz imewavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum kwa kosa la utovu wa nidhamu na usali" Mhe. Freeman Mbowe
Lakini mjengoni wataendelea kuwa wabunge wa CDM na hamna kitu mtu atawafanya.

Huwezi kushindana na dola.
 
Hata yuda kwenye biblia alisamehewa sema dhambi ya kujiua ndo ilimpeleka kwa shetan...
 
demokrasia iliyopevuka iliwasipate visingizio apo unahisi wanatokaje
 


Wabunge 19 wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokula kiapo kuwa wabunge wa viti maalum hivi karibuni akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama hicho, Halima Mdee wamevuliwa uanachama wa chama hicho na nafasi zao za uongozi kwa maamuzi ya kikao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama hicho kilichoketi Leo jijini Dar es Salaam.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa CHADEMA FREEMAN MBOWE amesema wanachama waliovuliwa Uanachama wao Leo na Kamati Kuu ya Chama hicho bado, wanayo nafasi ya kuomba radhi au kukata rufaa iwapo hawajaridhishwa na maamuzi yaliyotolewa dhidi yao.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜†πŸ˜†Wape moyo
Kuwa karibu na daktari, maana ukipata ufahamu unaweza ukapigwa na cardiac attack!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…