Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Ficha ujinga wako.

Nyau wewee

waulize cuf na nccr wakupe majibu, ni sekunde chache tu ccm wakiamua kukiangamiza chadema katika vipande vipande! na hakuna namna mnaweza ishinda ccm hata muungane vyama vyote tanzania nzima
 
Asante1 Inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani,upeo duni na mpumbavu kupindukia. Unafikiri mtu kuwa rais ndo ana akili kuliko wooote au? Na je,kabla hajawa rais ulikuwa unamchukulia kama mpumbavu mwenzio au?

so wewe una akili kushinda raisi
 
Wanandungai covid 19 wataenda kuwa wabunge wa mahakamaccm ili kuinusuru chadema isifariki kama chauma UDP DP TLP NCCR na CUF ya Lipumba

mwaka huu ndo mwisho wa cdm unasubiria nn tena apo ufipa
 
waulize cuf na nccr wakupe majibu, ni sekunde chache tu ccm wakiamua kukiangamiza chadema katika vipande vipande! na hakuna namna mnaweza ishinda ccm hata muungane vyama vyote tanzania nzima
Hide your stupidity

Nyau youu
 
CHADEMA kwa mara ya kwanza toka dunia iumbwe wamefanya uamuzi wa kiume
 
Waliofukuzwa chadema plus waliounga juhudi wakakosa ubunge waungane waunde chama chao itapendeza.
.
.Covid 19
. Lijuakali
.Nassari
.Kalanga
.Kubenea
.Komu
. Selasini
Nk
Column inatimia
.
 
Kumbe Tanzania bado inao wazalendo...well done Chadema!
Mmeonesha ukomavu mkubwa...and you have regained my support!
Haya kweli ni maamuzi ya kishujaa...and truly you have shown the way!
Hongereni sana kwa kumkoma nyani geledi bila kumtazama uso...big up!

When the going gets tough, only the tough will continue to plow on.
 
Viongozi wao wanasoma sana mitandao badala ya kufanyia SWOT analysis maamuzi yao.

Tatizo la CDM kwa sasa ni Lissu
Yours is the most stupid comment this far. Wangekuwa wanasoma mitandao tu wasingekuwa na ujasiri wa kuwatimua hao wasaliti kwani mada nyingi zilizoanzishwa na watu kama ninyi zilikuwa zikiwataka wasichukue hatua walizochukua. Sorry to disappoint you mboga mboga.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe atazungumza na Umma wa Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari, leo Novemba 27, 2020, kuanzia saa 3.00 (usiku huu), kuhusu maamuzi ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama

Vyombo vya habari vya Kitaifa na Kimataifa vimealikwa.

Stay Tuned for Updates

======================
Waandishi wanaanza kuwasili ukumbini wanaoingia wanatakiwa kuwa vitambulisho.
Muda wowote kuanzia Viongozi wa Chadema wataingia ukumbini kuongea na waandishi wa habari.
22:08
Bado Viongozi wa Chadema hawajafika ukumbini
Mkutano huo utakuwa live kupitia
Tayari Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe ameshafika ukumbini
Tunawashukuru Watanzania wengi ambao wanafuatilia kikao maalum cha ajenda moja ya kujadili, kushauriana na kutafakari juu ya wanachama wetu 19 waliokwenda kuapa kuwa wabunge wa viti maalum- Freeman Mbowe
"Sisi kama kamati kuu ya chama kikuu cha upinzani, tumeona na kuridhishwa kuna ukiukwaji mkubwa umekiukwa katika mchakato mzima wa uchaguzi na huu wa viti maalum. Tumejiridhisha ndani ya chama kuhusu mapungufu kadhaa yaliyofanyika-; Mbowe
“Chama chetu hakijateuwa Wabunge wa Viti Maalum lakini tunaona wapo Bungeni wanaapishwa”Mbowe
Tangu nchi hii ipate uhuru hatujawai kuona Mbunge/Wabunge wakiapishwa garage, mambo ya kihuni kabisa haya..." Mbowe
“Hiki chama kinaongozwa na principles bila kujali maumivu makubwa tuliyopitia chama chetu kitafuata utaratibu siku zote, kwahiyo kamati kuu imewavua nafasi zao za uongozi viongozi wote waliokua na nafasi katika mabaraza ya chama.”
@freemanmbowetz

“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka” -MBOWE

"Ili kanuni ambayo Spika ametumia iweze kufanya kazi kuapisha wabunge wetu. Kwanza wangestahili kubadilisha Katiba iruhusu wabunge kuapishwa nje ya utaratibu ambao ni ndani ya Bunge" -


Nusrate Hanje Katibu wa Bavicha amefungwa jela siku 133 kwa makosa yenye dhamana, hawa Watesi wetu wanakwenda kumtoa saa moja usiku akaape.”


”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaaapishwa”-

"Sisi kama chama cha siasa, hii 'process' yote hatuijui, tunaona tu wabunge wetu wanaapishwa. Chama chetu hakijateua wabunge wa viti maalum" -

"Wabunge hawa 19, mama zangu na dada zangu wameapishwa kiapo batili kwani Katiba inasema waapishwe mbele ya Bunge. Sasa kanuni zimebadilishwa ili kumruhusu Spika kumwapisha popote hata eneo la gereji-

“Tangu Nchi yetu imeanza hatujawahi kuona Wabunge wanaapishwa Gereji, lakini Dada zetu na Mama zetu hawa wameapishwa nje ya Bunge, wakati Katiba inataka waapishwe ndani ya Bunge, kwahiyo wamekula kiapo batili”
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema Kamati Kuu ya Chama hicho iliyoketi leo Nov 27,2020 imeazimia kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum “wamekinajisi Chama na wamekataa kuja kwenye Kamati Kuu”

”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaapishwa”

“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka”
"Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama wake wote 19 wakiongozwa na Halima Mdee , walioapa kule Dodoma.-Mbowe
Kama kitendo kimewaudhi mbona hawawavui uanachama? Siasa ni uongo wa hali ya juu. Jicho liko kwenye ruzukub njaa hizi!
 
Back
Top Bottom