Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Wamefanya makosa,wanaitwa hawaendi kwa dharau!Watu wa hivyo ni kheri kuwafukuza maana wakishajiona wana mapembe kuliko chama ni hatari!
 
Wanafukuzwa chadema,wanaoumia ni CCM,kaaaz kweli kweli mataga.
Unanijua mimi? Watu wa aina yako wanakimbilia kuegeneralize wasiliopenda au wanalopenda kusikia tu ni mbugila kweli kweli. Kila CHADEMA inapufukuza au inapokimbiwa na wanachama hudai yenyewe iko iko imara wakati namba zinaonyesha wazi kuwa inaelekewa kwenye oblivion. Mimi nilikuwa mwana CHADEMA thabiti sana kati ya 2007 hadi 2015; niliondoka mwaka 2016 ingawa bado nina kadi.
 
NEC taasisi nyeti imefikia hatua ya kugushi? Kwani shida nini, tuliaaambia hivo viti wawape polisi
Tume imeundwa na timu ya welevu na wasomi tatizo ni hao vilaza wa CDM,,, huu ni mpasuko mkubwa ndani ya CDM na tulisema kuwa mwisho wa upinzani umewasili,,, wanadai waliibiwa kura bila kupeleka vidhibiti hata kwa Armterdam wao ni kama Trump tuuu, Polisi na jesho walihusika kuangalia uchaguzi unapita kwa amani baada ya vilaza kuwaambia wavuta bangi wao ati walinde kura mita 200 hiyo ndiyo sababu ya polisi na jeshi kutumika,,, hamsemi vilaza.
CDM,, marehemu kwani wadada wana mengi sana na mjue pussy power and no man continues to argue in front of a naked woman!!!!!
 
1.Wakienda magakamani kwa ajili ya judicial review wanashinda asubuhi na mapema

2.Ukisoma vizuri theory ya aud alteram partem suala la kupewa muda wa kutosha wa kuandaa utetezi pale unapofikishwa kwenye judicial au quasi judicial ndio msingi wa hiyo rule....hivyo kitendo cha mabinti hao kuimba haki hiyo ya msingi tena kwa mwaandishi na wao wakaamua ku mute bila hata ya kuwajibu sababu za kufanyika hiyo haki ambayo kimsingi hawakupaswa hata kuimba bali wangepewa...lakini kinyume chake wakajisikilizisha na kuandaa hukumu in absentia ambayo kimsingi kuna baadhi ya mojito ilichatoa majibu kwenye mitandao hayo maamuzi yatafyekelewa mbali na mahakama asubuhi na mapema
 
Viongozi wao wanasoma sana mitandao badala ya kufanyia SWOT analysis maamuzi yao.

Tatizo la CDM kwa sasa ni Lissu
Ile ya kusindikizwa na mabalozi watatu ni jambo la kibabe sana.Mlishindwaje kumzuia?.Ona sasa.Hahahahaaaa
 
Eti NEC waghushi, wajumbe wa kamati kuu waarifiwe, waende Dodoma, wakubali kuapishwa kuwa wabunge!! Inaingia akilini kabisaaa! ????? Kweli nyumbu ni nyumbu tu!
Hayo ni mawazo ya vilaza wa CDM hawioni NEC ivyojaa wasomi wabobezi siyo vilaza na msubiri tu hapo kuna vitu vitatoka kwa hao warembo subirini watamwaga radhi
 
Chama cha siasa kina autonomy ya kuendesha mambo kwa katiba ya chama.

Hapo cha kuangaliwa ni katiba ya chama.

Kwa mfano tu, katiba ya chama ikisema Mwenyekiti anaweza kumfukuza mwanachama yeyote bila mjadala, na wanachama wakakubali hilo na kujiunga na chama, siku mwenyekiti akimfukuza mtu uanachama, bila mjadala, mwanachama hatakiwi kulalamika mahakamani.

Maana aliikubali katiba ya chama.

Sasa katiba ya chama inasemaje?
 
Kukua kwa CHADEMA hakuhitaji mikakati kihivyooooo.Kinakua automatically kulingana na watu kutoridhishwa na mwenendo wa serikali iliyopo madarakani.Hivyo kukua kwa CHADEMA ni kugusa tu.
 
Duh! tumeshayakosa ma-trilioni.Mbowe ana balaaa.Labda wazime mtandao tena.Kwa vyovyote vile hizi habari zitawafikia wahisani tu.
 
Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction kwenye masuala ya judicial review pale ambapo mtu anakwenda kwake kudai haki msingi baada ya kuvunjwa na judicial au administrative body yoyote iliyokuwa inafanya quasi judicial function na ina aibu sana na haitaki kuwekewa kikwazo chochote cha derivative au oyster claws kama hili suala unalolisema la party autonomy
 
Mahakama kuingilia mambo ya chama sehemu ambapo chama kishajiwekea utaratibu wa kichama unaokubalika ni illogical, invasive and undemocratic.

Pia, hapo kuna hatari ya mahakqma kutumiwa kisiasa, hususan na chama tawala, kuvuruga vyama vya siasa, hususan vyama vya upinzani.

Hapo ndipo unaweza kupata mwanachama mamluki anafukuzwa uanachama na vikao halali vya chama, halafu analazimisha uanachama mahakamani na kushinda.

Ni kama Papa wa Wakatoliki ana mu excommunucate muumini, na kusema huyu kwa mujibu wa Canon Law kafanya makosa haya na haya, si Mkatoliki kuanzia leo, halafu huyo muumini akimbilie mahakamani kudai abaki kuwa Mkatoliki. Na mahakama imoe ushindi muumini abaki kuwa Mkatoliki. Litakuwa jambo la ajabu sana.

Kuhusu unlimited jurisdiction, tuchukue mfano kuichunguza hii unayoisema unlimited jurisdiction.

Tuchukulie mfano Rais akimfukuza kazi Mkuu wa Mkoa summarily, Mkuu wa Mkoa anaweza kwenda mahakamani na kudai haki yake kwamba hajasikilizwa na Mahakama itengue uamuzi wa rais?

Mkatoliki akifukuzwa Ukatoliki anaweza kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya kanisa ili arudishwe Ukatolikini na mahakama?
 
Kukua kwa CHADEMA hakuhitaji mikakati kihivyooooo.Kinakua automatically kulingana na watu kutoridhishwa na mwenendo wa serikali iliyopo madarakani.Hivyo kukua kwa CHADEMA ni kugusa tu.
Inatakiwa chama kikue nakiwe bora na imara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…