Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Amesema kina Halima wanaweza kuomba radhi au kukata rufaa.

Rufaa itasikilizwa na nani?
 
Buhahaha hahahaa hahaahaa
 
Kuna sehemu ya Risala yako ndefu umenikumbusha Rugemalira na Seth, if you no war aimiin.
 
Hahaha COVID-19 ni gonjwa la dunia linapigwa vita kila kona, ningeshangaa kama Chadema wangeona ni sawa kuishi na COVID-19.
 
Umebwabwaja weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, umetosheka!
 
kiingereza bado sana
 
Where I live that’s my everyday language mate don’t be fooled and I am one of the eloquent from the banch. That’s to say the issue is in your limitations of English language.

It usually ends with a ban, when I get into this, trust me.
bado, sana
 
Duh! Yaani hapa nimejaa MaswAli,mingimingi
1.Kwa hiyo yataendelea kuwa Wabunge au?
2.Kama sio Wabunge wanaenda wapi?n.k
 
Nachukua nafasi hii kuutangazia umma kwamba nimechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa bawacha, nawashukuru sana wajumbe na watanzania , na Nina waahidi nitashiriki na kuanzisha mchakato wa kupeleka majina kamati kuu ya wabunge halali wa viti maalum,huku Jina la kwanza likiwa la kwangu Mh. Mwenyekiti mteule
 

🤣 🤣 🤣 🤣
 
sijasema mimi ni mahiri wa kiingereza, nasema wewe bado!
Kwani unadhani mimi matusi siyajui. Usinitishe na matusi, nitakujibu vema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…