Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Bado na vijidudu vikichachamaa maana naskia Mabeberu wamesitisha misaada ya ARV sa itakuaje
Tutampa mchanganyiko wa konyagi,ugoro,mchaichai,mbolea ya minjingu itamsaidia,cd4 hakuna mpka kaumuka uso
 
Haupo CCM wala CHADEMA, ila unakatishwa tamaa na muongozo wa CHADEMA, ila at the same time huoni mwenendo wa nchi chini ya CCM ulivyo tokea uhuru mpaka leo. Au umeridhika nao?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Sijasema kwamba nimeridhika na mwenendo wa nchi chini ya CCM.

Kuna mambo ya kupigania kila siku sio mpaka siku/baada ya uchaguzi. Unajua kwamba tume ya uchaguzi sio huru, kwanini ulitegemea uchaguzi huru na wa haki?
 
MBOWE hana tofauti na OBAMA, huyu jamaa ni zaidi ya Presidential material, anaongea mpaka machpzi yanatoka, yaani HALIMA MDEE amepambaniwa na watu mpaka wameingia kaburini matumbo ya marehemu hayapasuka kishawasaliti?
Bulaya umesaliti maiti 5 zilizokuwa zinakupigania sasa umejiunga na watesi?
Hakika nawaambia Usaliti wa COVI -19 utawatafuna.
 
Sijasema kwamba nimeridhika na mwenendo wa nchi chini ya CCM.

Kuna mambo ya kupigania kila siku sio mpaka siku/baada ya uchaguzi. Unajua kwamba tume ya uchaguzi sio huru, kwanini ulitegemea uchaguzi huru na wa haki?
Unapokuwa na matatizo mengi, kuna yale unayoamua kuyapa kipaumbele. Ww kipaumbele chako ni nini?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Halima angekuwa na akili na ustaarabu asingeshawishi wenzie kuwa na tamaa ya viti maalum kwa maana wakati wa kura za maoni aliomba ridhaa ya kugombea jimbo sio viti maalumu it means wahusika wa viti maalumu wapo angewapigania hao na si kujipa yeye nafasi isiyomuhusu pamoja na viongozi wengine wa bawacha yeye aligombea kawe na si viti maalumu amefanya makosa makubwa si wa kumuamini
 
Kesho Jumapili ya kwanza ya Majilio,leo jumamosi ya mwisho ya mwezi sisi wakatoliki katika jimbo letu huwa tunakuwa na ibada ya kigango ikiwa ni mkusanyiko wa jumuia zote za kigango."Imani bila matendo ni kazi bure" Nachukua fursa hii kukipongeza chadema kwa kuwaondoa wote walioshiriki tendo ovu na kujawa na kiburi na dharau kisa umaarufu walionao.Ibada yangu ya leo imekuwa ya furaha na amani kwa kuwa chadema wameadhibu bila kuogopa vitisho toka serikalini, bunge na vyombo vyake vyote.Ibada ya toba ya majilio inaanza roho yangu ikiwa safi na ya kuheshimu kilichoamriwa.Chadema idumu kwa msimamo thabiti.Hongera kamati kuu.
 
Kwanza, napenda kumpongeza Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe kwa uamuzi madhubuti na sahihi kwa kuwafukuza uanachama kundi lote la Covid 19. Adhabu uliowapa inaonyesha wazi kuwa usaliti wao ni hatari kwa CHADEMA. Pili, niseme kuwa nadhani adhabu hiyo haitoshi kwa sababu upo uwezekano wa jinai ambayo inatokana na kughushiwa nyaraka zilizopelekwa TUME ya Uchaguzi na hatimaye Bunge. Kwa msingi huo basi ipo haja ya kufanya uchunguzi wa kina ili kujua nani hasa alighushi nyaraka husika na sheria ya JMT ichukue mkondo wake.
Mwisho napenda kuuliza inakuwaje sasa Ndugai, NEC, AG, na wengine wanawapenda na kuwalinda wapinzani wakati wao hao hao ndio walioabambika kila aina majina kipindi cha Uchaguzi? Ushauri wangu kwa Halima Mdee ni kwamba ngoma imefika mwisho. Kaa kimya anza maisha mengine. Kama unao ubavu wafichue waliokushindikiza ufanye uliyoyafanya, ila uwe tayari kupata madhara ya maamuzi yako. CCM haina tofauti na MAFIA ni kundi la watu wanaojali maslahi yao tuu, kama ukiwaingilia wanakuondoa na hawana huruma yoyote.
 
Inaonekana imekuuma sana eeh!!?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hongera sana chama hiki kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa sasa yule Mbunge Msukuma alosema halima wakifukuzwa atajua na kujifunza democracy iliyopo Chadema sasa nadhani ameiona na amejua kwa kutambua ushauri wangu kwake yeye kama kijana ajifunze kuwa chama chochote chenye watu wanaosimamia haki huwa hawaangalii maslahi kwanza wanaangalia nchi yao kwanza
 
Naam mkuu. Na ule wimbo wa Mbowe ndio kawapitisha ndio maana hajitokezi kuongea siusikii tena.
 
Siasa imekuja kuwa tamu nyakati hizi yani hutamani kucheki move za intelligence bali siasa ya bongo imetosha kabisa. Inakupa kuwaza kwa kina what next.
Ni tayari kina mdee wamesha vuliwa uwanachama je watakuwa tayari kungana na ccm au chama kingine cha upinzani. Naomba maoni ndugu yangu.
 
Hivi watu mmeamini kabisa tu kuwa Halima Mdee huyuhyu amefanya jambo kama lile kwa kukurupuka tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…