Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sitachanjwa hata iweje,waache wachanjwe wenyewe, kama ni kusafiri sio lazima nisafiri kila kitu kipo hapa hapa Bongo. Bongo ni paradiso nisafiri niende wapi na nikafanye nini?Wanatengeneza kupata aibu ni watanzania wengi watapinga chanjo
Nyie wajinga wajinga badala ya kufuata Sayansi mnapiga doom.Usije kujikuta ww ndio mjinga wa mwisho
Kwani kama ipo hawa watoto wanaojaa darasa watoto 500 kungekuwa na hosptali ya kuwalaza? na hawavai barakoa.Ni nani alitangaza kuwa Tanzania haina Corona?
View attachment 1788567![]()
Coronavirus: John Magufuli declares Tanzania free of Covid-19
President John Magufuli says prayers have helped eliminate the deadly virus from the country.www.google.com
Ule ni uvumbuzi wa zama za mawe ndani ya Karne ya 21Sasa ile mashine ya nyungu pale MNH itakuwaje!?
Kwa hiyo huyu Mungu ni kigeugeu kwamba alizuia Corona kipindi kile na sasa hivi ameiruhusu tena ije?Kwani kama ipo hawa watoto wanaojaa darasa watoto 500 kungekuwa na hosptali ya kuwalaza? na hawavai barakoa.
ilikuwepo kweli tulifunga siku 3 Mungu akaiponya nchi ndo maana maisha yakaendelea shule zikafunguliwa.
Vipi unataka kumsaidia kusoma?Hivi samia haya mavitabu makubwa kweli anayasomaga? Au changa la macho?
Watanzania wa wapi???
Maprofesa wetu haya maisha ya kawaida hawayajui na hayawahusu wanashindwa kujua mama akikosea hapa italigharimu taifa na yeye itamgharimu maana ndo mtu pekee wananchi wanaweza kumhukumu 2025.ila akitenda kwa busara itakuwa heri kwake.Kwa nini tusiishi nao kimya kimya kama hayo magonjwa mengine, lakini tahadhari zichukuliwe na sio promo na matakwimu kila siku.....kama chanjo ikija anaetaka achome na isiwe lazima....Ukweli usemwe kipindi corona inaingia zile takwimu za kila siku zilileta hofu kubwa sana ya maisha....naamni mpaka leo hii tungekuwa ndani tumekwisha kwa njaaa na hofu...Hivi hivi tunaishi watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,leta hayo wanayoyataka hiyo tume uone maisha yatakavyo badilika.
Ayasome saa ngapi wakati muda mwingi yuko kwenye jakuz + kupima nguo mpya za kubadili kutwa * 3Hivi samia haya mavitabu makubwa kweli anayasomaga? Au changa la macho?
Corona ipo hupo nyumbani kwako? Maana mimi na wenzangu tulisha sahau kitambo?Kwa hiyo huyu Mungu ni kigeugeu kwamba alizuia Corona kipindi kile na sasa hivi ameiruhusu tena ije?
The issue is Dunia inafunguliwa sikwamba ugonjwa umeisha isipokuwa ni baada ya kupatikana Chanjo so ikiwa huchanji watu wako pia hawataruhusiwa kuingia kwenye Nchi za watu tatizo jiwe aliaminisha watu kuwa tz ni kisiwa inaweza kuishi yenyewe bila kuitegemea Dunia sikweli...na uzuri wa hiyo chanjo halazimishwi mtuMkuu Covid ipo toka 2019 imepiga waves zote kwa nguvu nchi ambayo kwa sasa covid inaitesa ni INDIA ,Tanzania tuliamua kuchukua uamuzi wa wachache yani No Lockdown kuvaa mask ni utashi wako na kutozuia mikusanyiko na Mungu alikuwa upande wetu kwa maana hatuna athari kubwa sana za covid mpk sasa
Dunia inakwenda kufunguliwa kwa maana nchi nying zimeshaachana na masharti yale makubwa kuhusu covid (Lockdown,Mask On , Social Dis nk)na maisha yanaendelea kurudi kawaida tu.. sasa nitashangaa sana huyu mama kuturudisha nyuma yani mtoto anatembea kisa hakupitia stage ya kutambaa unamwambia arudie step ya kutambaa by the way Covid Funds wazungu hawatoi siku hz... coz trend ya Ugonjwa inakwisha Kenya wamekula sana hii hela sisi tukasema watusamehe madeni hatukuchukua sasa sijui huyu anataka nini
Hakuna Sehemu ambayo Mtanzania amepigwa Burn kuwa tusiende kote tunaenda ni kupima tu covid test then unajichanganya .. Ngoja tuone kilichokuwa nyuma ya yale mabarakoa waliokuwa wanavaa
Hutaki kuchanjwa mfuate ndugu yako akhera ukamshitaki SamiaNdo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?
Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.
Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.
Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.
Aiseeh! Ila hapo tutatandikana marungu, hali ya kiuchumi sio poah, tukifungiana maisha haya tutatoboa kweli, na ajira kwa Sasa ni nguvu zako!Maadhimio ya kikanda na kimataifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]