Kamati ya Haki za Binadamu ya (IPU) yazitaka mamlaka nchini Tanzania kumuhakikishia Tundu Lissu usalama wake pindi atakaporejea nchini

Kamati ya Haki za Binadamu ya (IPU) yazitaka mamlaka nchini Tanzania kumuhakikishia Tundu Lissu usalama wake pindi atakaporejea nchini

Mwala, asante kuni tag,
Hawa Wazungu buana... Tanzania tuna freedom of expression na freedom of assembly hatuna haja ya kufunzwa na Wazungu hawa!.

Uchunguzi ulishindikana kufuatia tukio hilo kushuhudiwa na mashuhuda wawili tuu, Lissu na dereva wake, hivyo anasubiriwa ndipo uchunguzi uanze.

Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

P
Pascal Mayalla tusitaniane mkuu . me nahisi huenda haya majibu yako sio wewe katika uhalisia wako.
INTELEJINSIA ya tz inaouwezo wa kujua na inajua nani ndio muhisika wa mpango wa mauaji waliyopanga. pia kwa kusaidia tu kidogo. waanze na CCTV camea zilizong'olewa na pia wahoji walinzi wa eneo husika kwanini siku ya tukio hawakuwepo kazini na 3 BASHITE alifata nini DODOMA wakati mkuu wake alikuwa na kikao muhimu IKULU mkoani mwake?
umeshajaibu kuiuliza maswali haya?
 
Back
Top Bottom