rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Kuna lipi hata moja ambalo umewahi kulishabikia humu mtandaoni kuhusu Tz na likafanikiwa?Endelea kujipa moyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani umeangalia mjadala live??? Au polepole hajakupa hela ya bundle leo???
Ni bunge au kamati ya bunge? Shida yako itakuwa umeishia la 4C ndo maana unapuyanga tu na hujui chochote!Bunge la Ulaya hivi punde limejadili hali ya kisiasa nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi, na kuzishauri nchi washirika kupunguza zaidi misaada inayotolewa kwa Tanzania.
Wachangiaji wengi wamependekeza kusitishwa au kupunguzwa kwa misaada inayotolewa na nchi washirika wa EU. Wanahoji nini maana ya misaada yao kama lengo lao la utawala bora halitekelezwi na watawala.
Msaada wa kibajeti uliokuwa unatolewa na EU umesitishwa hadi mwafaka wa kisiasa ufikiwe.
“No budget support until EU Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!” - H. Stausboll.
“We must consider ECONOMIC SANCTIONS TO TANZANIA because of the elections and the TERRORIST ATTACKS in the South of Tanzania and North of Mozambique” -PauloRangel_pt EPP.
“We have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment “ - @HStausboll.
“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid?” - Gahler Michael, @Europarl_EN.
Wameshauri kuliko kuipatia serikali ambayo inaweza kuitumia vibaya kufifisha haki za binadamu ni bora kuvipatia moja kwa moja vikundi vinavyojihusisha na kutetea haki za binadamu.
Wamehoji EU kuipatia serikali ya Tanzania Euro 27m kwa ajili ya Korona ambayo serikali inasema Tanzania haina Korona.
Mkataba wetu na EU.
View attachment 1629980
Kwenye maisha yako, muheshimu na Kumwogopa Mungu tu, kamwe usimsujudie mwanadamu,Yaaani Biden Ndo atakuja kupiga msumali wa mwisho. Hiyo inaitwa Golden goal
Mazuzu mpo wengi shule hamjaenda na hamuelewi chochote zaidi ya kushabikia kama wendawazimuLazima niogope tumekula pesa zao €27m tukiwadanganya za korona wakati serikali imesema hatuna korona tutazilipaje.
KUMBE MABEBERU mnawatamani....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]eti Britain anaweza toa Mara kumi ya HIZO.....mrusi,mchina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] MABEBERU hoyeeeee .....umbwaaaahNdio nyie muitwao watu pumbavu,malofa,wapuuzi,
mtu km wewe unafurahia nini sasa hapo ukute unamiliki banda la kuku wa kienyeji,kanyumbaa hakijamalizika na watoto kibao na maybe laptop au desktop au unashinda cafe.
Bil 75 kwa nchi yetu hiyo ni pesa ya chai,
Brittain wapo hawana abari hiyo wanaweza toa mara 10,yupo mchina,yupo mrusi,na huyo aliytoa hiyo kauli atapewa onyo na wenzie kwa taarifa yako.
endelea kuwanga
Mchina atatufilisi kabisa na mikataba yake ya kitapeli.Tunajua kukosa mkopo ni taabu ila wasitulazimishe kuwa watumwa wao. Walijipanga kuiongoza Tanzania kupitia vibaraka wao sasa wameukosa urais ishakua nongwa
Hawataki tuwaache wakae na pesa zao. Sisi tukitaka mikopo tutaenda kwa marafiki wa utotoni China hata Korea.....tutaokoteza okoteza lakini hatutakufa!
Na baada ya hapo wasitujue sisi wala mali zetu
Wazalendo wanaokula pesa ya CORONA....[emoji16][emoji23][emoji16][emoji16]KWELI WE ZUZU..Kwa hizi comments humu ni wazi tuna mazuzu wengi sana nchi hii, halafu wengine ni watu wazima na familia kabisa, hayaelewi kitu ni ushabiki maandazi tu,
Niseme tu Nchi hii itabaki mikononi mwa wazalendo hadi pele haya mazuzu yatapevuka kiakili.
Harakati za hivi vijamaa visivyojua hata vinataka nini kwenye Maisha zinafaa sasa kupigwa spana mazima.Huna mamlaka ya kutoa ushauri wewe kibaraka...stupid guy...ushauri endelea kumpa Amsterdam...this country will remain the same...and more actions are coming against you...we will prosper without you...nyie endeleeni kulala na wazungu..hatutageuka nyuma...
na lengo kuu la kuendesha uchaguzi kwa fedha za ndani ni ili aubake huo uchaguzi, na alifanikiwa!."Tumeendesha uchaguzi kwa fedha zetu za ndani".. mwisho wa kunukuu kauli ya mobutu miaka ile...
Yani yuko radhi watu zaidi ya Milioni 50 wapate ugumu zaidi wa maisha ili atimize tamaa yake ya madaraka ya nchi na kushinda vita yake binafsi dhidi ya utawala. Halafu eti aje tena 2025 apewe Uraisi. Ni kama ana uchizi flani hivi.Yani huyu kwa uroho wa madaraka inafikia hatua anatamani siku moja aamke akute tanzania imezama haipo tena.
Alivyo mjinga na mpumbavu anashindwa kutafakari je tanzania ikizama yeye atakuwa wapi?
Tamaa ya madaraka imemtoa ufahamu kabisa mbwa huyu.
Huyo jamaa anajiita mchsmbuzi anaonekana umri umepiga hatua ila ni kichwani amejaza Upumbavu tupuMchambuzi wa karanga.
na lengo kuu la kuendesha uchaguzi kwa fedha za ndani ni ili aubake huo uchaguzi, na alifanikiwa!.
masharti ya kupokea fedha za nje ni LAZIMA waangalizi wa kimataifa waje nchini kushuhudia uchaguzi huo, jambo ambalo SIRIkali yetu haikutaka maana tayari walishakuwa na nia ovu toka mwanzo...rejea namna uchaguzi serikali za mitaa ulivyoendeshwa!.
Hakika mama D umenena.