SIO 10+ NI 80+ HILA HAPO KUNA WATU PIA WAMEOMBA POST ZAIDI YA MOJA MTU KILA ANAPOONA ANA FIT ANAOMBA UNAKUTA MTU ANATOKEA MARA TATU ,MUNGU AWASAIDIE MAANA HAPO KUITWA TU KWENYE HYO INTERVIEW NI BAHATI MAANA SIDHANI KM WATAITA WOTE WALIOOMBANi huzuni mkuu hapo kwa kila kada haraka harak nafasi 1 inagombaniwa na zaidi ya watu 10+
Hivi ukiomba Post zaidi ya Moja hawawez kukukata kweny shortlist??SIO 10+ NI 80+ HILA HAPO KUNA WATU PIA WAMEOMBA POST ZAIDI YA MOJA MTU KILA ANAPOONA ANA FIT ANAOMBA UNAKUTA MTU ANATOKEA MARA TATU ,MUNGU AWASAIDIE MAANA HAPO KUITWA TU KWENYE HYO INTERVIEW NI BAHATI MAANA SIDHANI KM WATAITA WOTE WALIOOMBA
Kabisa, no surrenderNi kujitoa muhanga hakuna namna
Watu 100 nafasi 1 sio 10Ni huzuni mkuu hapo kwa kila kada haraka harak nafasi 1 inagombaniwa na zaidi ya watu 10+
Sio 10+ mzee, ni 80+ kwa kila nafasi.Ni huzuni mkuu hapo kwa kila kada haraka harak nafasi 1 inagombaniwa na zaidi ya watu 10+