Jumah JR
Senior Member
- Oct 25, 2023
- 129
- 188
Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo.
Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali.
Kutokana na idadi kubwa ya waombaji ikilinganishwa na nafasi zilizopo, ushindani unatarajiwa kuwa mkali. Hivyo, ni muhimu kwa waombaji kujipanga na kujiandaa vyema.
Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali.
Kutokana na idadi kubwa ya waombaji ikilinganishwa na nafasi zilizopo, ushindani unatarajiwa kuwa mkali. Hivyo, ni muhimu kwa waombaji kujipanga na kujiandaa vyema.