Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U mean 135,000 peopleWengi wa walioomba tayari wanakazi zao wanatafuta malisho mazuri zaidi
Ni watu 80+ kiongoziNi huzuni mkuu hapo kwa kila kada haraka harak nafasi 1 inagombaniwa na zaidi ya watu 10+
Hao ndio wanaziba riziki za wavuja jashoHao ndo wamekuja kubeba nafasi za majob seeker
Mm huwa naangalia watoto wa kike tu wanavyokuwa wamejiremba 🤣🤣🤣Daah sipati picha nyomi lake siku ya usaili
AmongU mean 135,000 people
Hao kwenye nguzo ni matapeli, mganga naye kaapply kazi😀Tembea barabaran kagua nguzo za umeme uwezi kosa namba ya mganga 😄
Bac na waveta waende degree.Mwengine anasema wenye degree waende veta kujifunza ufundi 🤣🤣🤣🤣
Alooo wananchi tunaonwa kama takataka
Mganga nae anapiga msuli.😃Hao kwenye nguzo ni matapeli, mganga naye kaapply kazi😀
mwaka jn waliwapangia post moja wapo kati ya ulizoombaHivi ukiomba Post zaidi ya Moja hawawez kukukata kweny shortlist??
nafasi moja inagombaniwa na watu 85Ni huzuni mkuu hapo kwa kila kada haraka harak nafasi 1 inagombaniwa na zaidi ya watu 10+