MAJINA SIYANAONEKANA ?KAMA KIMECHAKAA MPAKA MAJINA HAYAONEKANI HAPO LAZIMA WATAKUZINGUANa kama cheti chako ni og kila kitu ila kimechakaa(form 4) wanaruhusu uingie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAJINA SIYANAONEKANA ?KAMA KIMECHAKAA MPAKA MAJINA HAYAONEKANI HAPO LAZIMA WATAKUZINGUANa kama cheti chako ni og kila kitu ila kimechakaa(form 4) wanaruhusu uingie?
WW JINA LAKO LIMETOFAUTIANA HERUFINYA KATI LOTEDaah ngoj tubahatishe mkuu
Kila kitu kinaonekana....ni uchakavu tuMAJINA SIYANAONEKANA ?KAMA KIMECHAKAA MPAKA MAJINA HAYAONEKANI HAPO LAZIMA WATAKUZINGUA
Hata walio serikalini Halmashauri tumeapplyKuna kundi kubwa la watu walio na ajira sehemu nyingine wanataka kuingia TRA, marafiki zangu wote walio apply hizi nafasi, wameajiriwa sehemu nyingine kwenye makampuni binafsi, ila wanataka kuingia TRA. Sio kweli hyo idadi ni ya watu wasio na ajira kabisa ila haimaanishi kwamba Tanzania hakuna tatizo la ajira.
Cheki number mshahara ni laki 7 hata ungekuwa wewe ungeacha kuomba kazi ya 3m kisa una cheki no? Ni kupambana tuu kwanza nyie mliotoka chuo mna advantage ya kufaulu written interviewHao ndo wanaozingua mkuu walishapata cheq no. bado hawaridhiki 😥😥
Mm huwa naangalia watoto wa kike tu wanavyokuwa wamejiremba 🤣🤣🤣
Pisi za maana
Watawaachia huko watakapoondoka.Hao ndo wamekuja kubeba nafasi za majob seeker
Kwa hiyo wabaki kwenye ajira za malaki wawaachie madogo ajira za mamlioni?Katika hao waombaji 135,027 wengi wao wapo kwenye ajira zingine ila wanatamaa hawaridhiki na sehemu walipo wanaona bora wakawazibie wenzao ambao hawana ajira yoyote
kama majina ynaonekana haina shida hila ungepiga lamination ingekuwa poa kingenyooka sanaKila kitu kinaonekana....ni uchakavu tu
CHa kuzaliwa kina Juma Hamis Jumamuda huu ndio mkague vyeti vyenu majina kama yanatofautiana kwenye cheti cha kuzaliwa na vyeti vya shule ukatafute deed pole mapemaaa lasivyo utachoma nauli yako buree cheti cha kuzaliwa umaendikwa MIRIAM cha shule MARRY unaishia mlangoni
Tangu 2023 mkuu bado mambo hayajakubali kwa uwezo wa mungu hii itakuwa ndio interview yako ya mwishoNikikumbuka ile written interview ya TRA mwaka 2023 pale CIVE UDOM nikafanyiwa figisu. Safari hii kubabake kitaeleweka tu. Ngoja nizidishe dua na maombi hasa mwezi huu mtukufu.
Majina yameshatoka?Tangu 2023 mkuu bado mambo hayajakubali kwa uwezo wa mungu hii itakuwa ndio interview yako ya mwisho