Duuh aiseeenadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha
ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote
Msimpe tu hyo tenda s.lgm πvifaa vya ulinzi na usalama vitafungwa bila mbambamba yoyote gentleman,
cost nini kwenye kulinda uhai na maisha ya mTanzania?
Kilaza ni mke wako anaejilaza na kukutagashia watoto. Unasikia ww mzee.Gharama ya Internet ni ya kila siku haiwezu kuwepo kwenye gharama za kufunga na hata iweje haiwezi kufanya gharama iwe Milioni 514.
Gharama ya maintenance haiwezi kamwe kuwepo kwenye gharama za kufunga.
Unaonekana wewe ni kilaza sana na nadhani wanaokulip ukitetee chama chako humu wanakulipa posho za bure tu.
Alafu ipo ndani ya Jiji kubwa Tanzania na Jiji maarufu la kibiashara hali ipoje huko Nkantaramba Sumbawanga?Inasikitisha sana. Alafu Kimara tu kuna wananchi hawana maji ya Bomba.
ndo nani huyoMsimpe tu hyo tenda s.lgm π
Ova
Yes,Duuh aiseee
Ni kweli cctv ni muhimu sana kwa ajili ya usalamaMitaa mingi ya uhindi,kisutu, Libya Street nk wDosi wamefunga wenyewe
Ova
Mkuu salam kwako.Tunaposema ni lazima Serikali ya CCM iondolewe madarakani kwa njia zozote zile zinazowezekana tunamaanisha.
Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo CCM iondolewe na wachukuliwe hatua.
Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.
Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240879View attachment 3240880
Mambo ya kiserikali procurements sjui nini si unajua tena πNi kweli cctv ni muhimu sana kwa ajili ya usalama
Ila hizi 40 kwa hela zote hizo ni kweli?
Au ni Ai zinatabiri yajayo mkuu
UMMA ni Serikali au Wenye Nchi (Wananchi) ? And if that the case kusema upuuzi wowote kama una athari ya Kodi ya Mwananchi huoni hapo mtumishi huyu atakuwa anafanya his / her civic duty ?Inasikitisha mno.
Mtumishi wa uma unapokesha mitandaoni kuisema serikali.
Labda hilo ni fungu la pamoja kuanzia camera ukarabati, wasimamizi, wa kuzima kwenye dharuraMambo ya kiserikali procurements sjui nini si unajua tena π
Kikubwa wazifunge huko
Ova
Mpuuzi wewe, unajua hizo kamera ni za viwango gani?. Milioni 514 unaona ni pesa nyingi sana?. Punguza malalamiko ya kitoto.Tunaposema ni lazima Serikali ya CCM iondolewe madarakani kwa njia zozote zile zinazowezekana tunamaanisha.
Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo CCM iondolewe na wachukuliwe hatua.
Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.
Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240879View attachment 3240880