No gentleman,
Fanya utafiti kidogo tu kwenye makanisa hususan kanisa katoliki jimbo kuu la Dar Es Salamu,
hakuna parokia kubwa kubwa kwa mfano segerea au pale tabata limefungwa vifaa vya ulinzi vya chini ya 1bilion?
ni kwasababu waamini wao wanathamini zaidi zawadi ya uhai na maisha waliopewa na Mungu kuliko fedha, hata wanajichangisha ili kuhakikisha ulinzi na usalama wao kimwili bila mbamba ya waamini wasio thamini jambo hilo.
Hoja nilikuwa wapi kuomba au kuongezwa kwa gharama ili kuiba fedha za walipakodi?Ulikuwa wapi kuomba?
Hapo tumepigwaKatika kuhakikisha biashara zinafanyika saa
24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.
Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.
Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.
My take:
Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.
Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.
Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240972
Thibitisha kama gharama zimeongezwaHoja nilikuwa wapi kuomba au kuongezwa kwa gharama ili kuiba fedha za walipakodi?
Huna akili. Kakojoe ukalaleThibitisha kama gharama zimeongezwa
CCM wana vyanzo vingi sana vya pesa hizo milioni 514 ni ndogo kwa mfumo wenye ujanja wa kila aina wa kuiba.Kwanza ikiwa Taasisi ya Serikali ndo watu hawawezi kuweka cha juu ili kuiba? Hujui mwaka wa uchaguzi huu? Watu wanaiba kwa ajili ya kuchangia uchaguzi na wengine wanaiba wanadhani baada ya uchaguzi watakuja viongozi wengine hivyo wachukue chao mapema!
Ukibanwa kende lazima ukimbilie matusi.Huna akili. Kakojoe ukalale
Kwanini inaweza kufanywa kwa M60 na si M500?Kamera 40 kwa milioni 514?
Hiyo kazi inaweza fanywa kwa milioni 60 tu. Hapo inamaanisha zaidi ya Milioni 400 za walipakodi zinaibwa.
Breakdown gani unayotaka wakati umeshaambiwa gharama ya Camera hata ziwe na twknolojia gani haiwezi kufika hata Mil 50.Ukibanwa kende lazima ukimbilie matusi.
Weka hapa breakdown inayoonesha wizi wewe nyumbu
Kwa sababu kwa mujibu wa Page maarufu ya Alibaba gharama za Traffic CCTV camera 1 tu haifiki hata laki 7Kwanini inaweza kufanywa kwa M60 na si M500?
Camera 40 au 400..?Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa
24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.
Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.
Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.
My take:
Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.
Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.
Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240972
Hivi gharama za kuendesha Mkutano Mkuu wa Chadema zilikuwa sahihi? Unaweza ukatuthibitishia?Kulinda umoja na amani kwa kuliibia Taifa? Kweli mpo vizuri. Kamera 40 tu kwa Milioni 514?
Kweli CCM mpo vizuri kuliibia Taifa.
Upo sahihi, dunia ni kijiji, ila walakini upo kwako.Dunia sasaivi ni kijiji
Tuambie hapa ni Camera zipi zenye telnolojia ipi? Tunaweza hata ku Google hapa na kupata gharama yake.
Mkuu, upo sahihi, harufu ni kali sana ya upigaji, ila sasa hizi bado ni siasa maana serikali haifanyi manunuzi Alibaba, ina taratibu na yule anayeshinda ndo anapewa tenda.Kwa sababu kwa mujibu wa Page maarufu ya Alibaba gharama za Traffic CCTV camera 1 tu haifiki hata laki 7
Sasa ukiweka gharama kila kitu na ufundi kwa Camera 40 hardly hata Mil 50 ni nyingi sana.
View attachment 3240996