Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

tatizo imani za kishirikina .utopolo hana sabbu nyingine ya kumzuia simba.wameshaona wametega majini yao kwa hyo simba atakwenda kutegua
 
Mpira unaongozwa na kanuni sio mazoea. Watu wamekosa hoja wamebaki kusema Simba ana ugeni gani na uwanja wa mkapa. Ni kanuni zinafuatwa boss
Soma basi kanuni rejea screenshot iliopostiwa hivi punde. Kamishna wa michezo hakuwathibitishia sababu ya kutofanya mazoezi jana ? au unaongea mpk usiyoyafahamu
 
Kuna vitu vinatia hasira. acha kabisa
Hizi ni siasa za ccm bila shaka leo raisi atahutubia arusha na chadema watahutubia ile .... NO REFORMS NO ELECTION... hilo limekuja ili watu wasijaadili ya chadema. Wajadili ya simba
 
Manara alikuwa mbele ya muda kwamba Yanga wenye akili wawili tu
 
Mkuu weka culture pembeni,tunataka kanuni.
 
Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Public sympathy haitawasaidia,
Ulozi hautawasaidia,
Pelekeni timu mkashonwe kwa mara nyingine,
 
Mkuu hivi tukiweka ushabiki pembeni, simba ana ugeni gan hapo kwa mkapa?

Ni mgeni wa uwanja au mgeni wa mchezo? Kiuhalisia

Je ni sawa kutopeleka timu uwanjani kisa kunyimwa nafasi ya kufanya mazoezi? Ndo kanuni zinasema hivi
Simba inayufundisha tuache kufanya mambo kwa mazoea tuwe professional haya ndio mambo wameyazoea huku kimataifa. Sio huu ujanja ujanja wa huku uswahilIni.
 
Simba inayufundisha tuache kufanya mambo kwa mazoea tuwe professional haya ndio mambo wameyazoea huku kimataifa. Sio huu ujanja ujanja wa huku uswahilIni.
Asante, japo hujajibu maswali yangu
 
Mimi sioni kama sababu ni kubwa sana kiasi cha simba kushindwa kucheza mechi. Wacheze tu mechi halafu wapeleke malalamiko kwenye mamlaka husika ili wahusika wachukuliwe hatua ikibainika walikosea.

Kama tukisema kila timu iwe inatafuta loopholes za kisheria ili isuse kucheza tunaweza kushuhudia msimu mmoja ukachezwa kwa miaka miwili mpaka mitatu.
 
View attachment 3263445
Hizo kanuni zimeanza kutumika na kuzijua jana?
Kwa mujibu wa kiambata ulichoambatanisha,unakiri kuwa kanuni inatambua kile ambacho Simba walihitaji kukifanya.

Nasema hivi kama Yanga walinyimwa haki ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi basi siyo kigezo kwa Simba kufanyiwa hivyo.

#UBAYA UBWELA.
 
Simba inayufundisha tuache kufanya mambo kwa mazoea tuwe professional haya ndio mambo wameyazoea huku kimataifa. Sio huu ujanja ujanja wa huku uswahilIni.
Ukisema professional unaelewa unachokiongea ?.
professional means fuata protocol kwenye kufanya maamuzi au kushughurikia jambo.

Kama nikweli Yanga kamzuia simba kufanya mazoezi basi walikiuka taratibu.

So what professional action simba had to be done if their opponent deviated from rules?
Pengine leo nijue kama kususia mchezo ni professional action km mpinzani akikiuka utaratibu
 
Imetambua kuanzia jana? Ila walipokuwa wao wenyeji hawa kuzitambua hizo kanuni? Au zilitungwa jana.......?
 
Jana simba alienda kwa mkapa gari alienda nalo halikuwa na wachezaji ni watu wakamati tu sijui wengine siwafahamu, inshort waache uoga uwanja wa mkapa unatafuta uzoefu gani timu km simba ?
Maneno ya kwenye kahawa hayo
 
Imetambua kuanzia jana? Ila walipokuwa wao wenyeji hawa kuzitambua hizo kanuni? Au zilitungwa jana.......?
Read between the lines brother.
Makosa ya Yanga kukubali kuwa kondoo kwa kunyimwa haki ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi siyo kigezo cha Simba kukubali hilo.
 
Read between the lines brother.
Makosa ya Yanga kukubali kuwa kondoo kwa kunyimwa haki ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi siyo kigezo cha Simba kukubali hilo.
Mngekuwa mnaread between the line basi Yanga mngempa haki yake ya kufanya mazoezi kabla ya mechi kwani hizo kanuni,hazikutungwa jana?

Halafu mnajitoa nyie si ndiye mliye mnyima au Yanga ........? Au inakuwa ni haki inapo kuminya wewe ila unapo waminya wenzio sio haki?
 
Soma press ya bodi ya ligi utaelewa akili za watu wanaoongoza mpira wetu! Meneja wa uwanja hakupewa taarifa ya ujio wa Simba na bodi ya ligi wamekiri hilo mze😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…