DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Wameponzwa na kelele za watu sasa wanakula Mvua 20kelele zenu ndio zilizowaponza, kikawaida wangelala ndani siku moja yapili wakatoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameponzwa na kelele za watu sasa wanakula Mvua 20kelele zenu ndio zilizowaponza, kikawaida wangelala ndani siku moja yapili wakatoka.
Kama umemuelewa ACP..KWA USHHIDI WA VIDEO:
Wiki iliyopita Watu 12 walikamatwa na polisi Zanzibar kwa kula hadharani mchana Zanzibar
View attachment 2951882
Leo hii waliokamatwa wakila wamepewa kesi ya kukutwa wakivuta bangi hadharani
View attachment 2951884
Kiuhalisia ni uonevu raia wako sawa kupaza sauti juu huo uonevu ila sisi tunaona kelele zimewaponza ni sawa wapewe kesi ya kuvuta bangi!Wameponzwa na kelele za watu sasa wanakula Mvua 20
Usichopenda kujua ni kwamba hao ji wavaa cobaz wenzako. Sisi tunawatetea tu kama binadamu wenzetu na dini yetu inatufundisha kupenda kila mtu bila kujali imani yakeWameponzwa na kelele za watu sasa wanakula Mvua 20
Lakini kubambika kesi mwezi mtukufu si ni dhambi ya kushuhudia uongo?😅🤣🤣🤣🤣
Wataeleweka Tu Zanzibar sio ya Wakristo..
Hahaha Sasa wamegeuziwa case...
Kwamba wote wanaokula mchana watakuwa wanapewa kesi ya bangi🤣🤣😅
Unajua niliwahi kuwaambia watu kuwa Kuna watu wakishika Mpini wewe ukishika makali chutama tu!Kiuhalisia ni uonevu raia wako sawa kupaza sauti juu huo uonevu ila sisi tunaona kelele zimewaponza ni sawa wapewe kesi ya kuvuta bangi!
Mimi sina Dini Mkuu na wala sina utambulisho wa dini Yeyote..Usichopenda kujua ni kwamba hao ji wavaa cobaz wenzako. Sisi tunawatetea tu kama binadamu wenzetu na dini yetu inatufundisha kupenda kila mtu bila kujali imani yake
100%Lakini kubambika kesi mwezi mtukufu si ni dhambi ya kushuhudia uongo?
😃😀😅😁😁Nchi Hii Mpaka Unashangaa Hivi Hao Police Mashekhe Wanachuma DhambiSiku ya tukio wamekula chakula na kunywa hadharani mwezi mtukufu....inamaana leo ndo wamegundua kile hakikuwa chakula wala maji ilikuwa bangi dah!
Shida ilikuja walipoanza kubishana na DPP na kumtukana kaona ageuze kesi kwa hasiara😅😅😃😀😅😁😁Nchi Hii Mpaka Unashangaa Hivi Hao Police Mashekhe Wanachuma Dhambi
Hii dini ni unafiki tupuMtu anasema uongo halafu amefunga
Naunga mkono hojaKiukweli niseme tu, waislam wa huko zanzibar huwezi kutofautisha kati ya professor na aliyeishia la nne, wote akili zao ni level moja. Sijui wana shida gani hawa binadamu! Unaweza kudhani wanaugua utaahira, kumbe ndivyo walivyo..
Wanatumia dini vibayaHii dini ni unafiki tupu
Hapo sasa ndipo atakapotukanwa kwel kweli. Na kibarua chake kinaweza ishia hapo.Shida ilikuja walipoanza kubishana na DPP na kumtukana kaona ageuze kesi kwa hasiara[emoji28][emoji28]