Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi huu zimetufundisha mengi kuhusu CCM, hata wakishinda uchaguzi kwa hila siku zao madarakani si nyingi

Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi huu zimetufundisha mengi kuhusu CCM, hata wakishinda uchaguzi kwa hila siku zao madarakani si nyingi

Haki kwao imekuwa kitu adimu sana. Wanatulazimisha kuwa tunawapenda.

Uchaguzi ulio huru wa haki wala wenye kuaminika haupo.

1. Tutajihimu vituoni.
2. Hakuna kura hadi tujiridhishe kuwa mawakala wetu wapo kamili gado.
3. Tutapiga kura.
4. Tukimaliza kupiga kura hatuondoki.
5. Matokeo mtatutangazia vituoni.

Walizoea kupiga? Sawa. Karibuni. JKNIA mlipenda twende?

Basi JKNIA kwa hili ilikuwa cha mtoto.

My kaka, uchaguzi ni mchezo wa namba. Kuna kitu kimoja ambacho wafuasi wa Chadema wanapata shida sana kukielewa. Hakuna mtu ambaye ana kura ya veto. Kura yako ni moja na ina nguvu sawa na ile ya nyanya yangu asiyejua kusoma wala kuandika. Kwa hiyo, unaposema kitu fulani ni afadhali ujisemee wewe nafsi yako, kwa sababu mimi hapa, kwa mfano sijalazimishwa kumpenda mtu au chama fulani, kama unavyojaribu kuwaaminisha watu! Unaposema mnalazimishwa sijui unajisemea wewe na nani mwingine.

Hata ukiwa na mapenzi na mihemko kiasi gani na mgombea wa chama chako, mwisho wa siku, sauti ya walio wengi ndiyo inayompa mtu ushindi. Wengi tunaposhinda kwenye social media tusidhani kwamba sisi pekee yetu ndio wenye kauli ya mwisho ya nani awe nani.

There’s no way the noisiest and most vocal minority will overcome the will of the silent majority!
 
CCM hawawezi siasa za ushindani, Wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia.

Kampeni za CCM zilizohudhuriwa na wanafunzi na wafanya kazi wa serikali kwa lazima. Pia kutumia wasanii kujaza nyomi viwanjani. Mjitafakari.

Ni wazi kuwa CCM itatumia hila nyingi kupita uchaguzi huu. Hata mkirudi madarakani tena, mtatumia nguvu kubwa kuwatuliza wananchi wenye hasira, wasio na woga tena. Wananchi wanaweza kuamua chochote saa yeyote ile.

Hivi ni kwanini tulazimishane!



Kwa kadri muda wa uchaguzi unavyozidi kukaribia ndio baadhi ya watu wanvyozidi kuchanganyikiwa,


sijui nani aliwatuma washangilie kujidanganya ili hali ndani ya nafsi zao wakijua kabisa wanajidanganya??
 

Baada ya miaka mitano ya udikteta we are stronger than before 💪🏾💪🏾💪🏾
 
Ni ZWAZWA tu ambaye hajui umuhimu wa HAKI katika jamii yoyote ile hapa duniani. Haki kwake ni jambo linalomuhusu yeye tu lakini si mwingine. Ubinafsi ni ni hatari sana katika dunia ya leo.
Kwa kadri muda wa uchaguzi unavyozidi kukaribia ndio baadhi ya watu wanvyozidi kuchanganyikiwa,


sijui nani aliwatuma washangilie kujidanganya ili hali ndani ya nafsi zao wakijua kabisa wanajidanganya??
 
Leo nimesikia mawakala wao wamepewa maelekezo kuwa wakiona Ccm wamezidiwa kura waanzishe fujo vituoni alafu polisi wataingilia kati kwa kuwatoa watu na hapo ndo Ccm wataingiza kura zao zilizochakachuliwa. Chadema tujiandae na kuchukua tahadhari
Ndugu yangu nenda taratibu utakuja kufa mapema bure na pressure kwa hizi habari za uongo. Sijui unazipata kwenye kijiwe gani. Za kuambiwa ongeza na zako
 
My kaka, uchaguzi ni mchezo wa namba. Kuna kitu kimoja ambacho wafuasi wa Chadema wanapata shida sana kukielewa. Hakuna mtu ambaye ana kura ya veto. Kura yako ni moja na ina nguvu sawa na ile ya nyanya yangu asiyejua kusoma wala kuandika. Kwa hiyo, unaposema kitu fulani ni afadhali ujisemee wewe nafsi yako, kwa sababu mimi hapa, kwa mfano sijalazimishwa kumpenda mtu au chama fulani, kama unavyojaribu kuwaaminisha watu! Unaposema mnalazimishwa sijui unajisemea wewe na nani mwingine.

Hata ukiwa na mapenzi na mihemko kiasi gani na mgombea wa chama chako, mwisho wa siku, sauti ya walio wengi ndiyo inayompa mtu ushindi. Wengi tunaposhinda kwenye social media tusidhani kwamba sisi pekee yetu ndio wenye kauli ya mwisho ya nani awe nani.

There’s no way the noisiest and most vocal minority will overcome the will of the silent majority!

Kuna mijamaa mijinga kuliko maelezo kama wewe.

Nikikuambia ninajisemea mimi na mke wangu na michepuko yangu na washirika wangu tuliokubaliana kwenye hilo utasema je? Au wewe unadhani watu wote ni lb7 kama wewe na bia yetu?

Ninawasemea sisi, wewe na wapuuzi wenzio hammo na wala hatuwahitaji unasema je hapo?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wajumbe tunaendelea kuwakataa wote Waliopita kimazaBe.
Nalog off
 
CCM hawawezi siasa za ushindani, Wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia.

Kampeni za CCM zilizohudhuriwa na wanafunzi na wafanya kazi wa serikali kwa lazima. Pia kutumia wasanii kujaza nyomi viwanjani. Mjitafakari.

Ni wazi kuwa CCM itatumia hila nyingi kupita uchaguzi huu. Hata mkirudi madarakani tena, mtatumia nguvu kubwa kuwatuliza wananchi wenye hasira, wasio na woga tena. Wananchi wanaweza kuamua chochote saa yeyote ile.

Hivi ni kwanini tulazimishane!
Mimi nimefurahi tu hata Yale mawazo kua akishinda, 2025 watabadili katiba na kumuongezea muda yatakua yamekufa kabisa , kwani wakifanya hivyo panaweza pasitoshe naona picha wameshaiona
 
Kuna mijamaa mijinga kuliko maelezo kama wewe.

Nikikuambia ninajisemea mimi na mke wangu na michepuko yangu na washirika wangu tuliokubaliana kwenye hilo utasema je? Au wewe unadhani watu wote ni lb7 kama wewe na bia yetu?

Ninawasemea sisi, wewe na wapuuzi wenzio hammo na wala hatuwahitaji unasema je hapo?

Certainly, matusi, lugha isiyo ya staha na vurugu ndio mtaji pekee wa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema)!

Unfortunately, my standard for decency is very high and I cannot afford to lower it to match yours. May the Lord have mercy on you!
 
Ni ZWAZWA tu ambaye hajui umuhimu wa HAKI katika jamii yoyote ile hapa duniani. Haki kwake ni jambo linalomuhusu yeye tu lakini si mwingine. Ubinafsi ni ni hatari sana katika dunia ya leo.

Hebu tuambie ni haki gani unayoizungumzia wewe leo hii?

Haki ya kumfukuza Zitto Kabwe kwenye chama kwa majina yote mabaya na huyo mgombea wenu akiwa magari wa mbele kwenye kuhakikisha hilo??lakini leo hii Zitto kwenu anafaa sababu tu anatimiza matakwa yenu,hivi ni nani mbinafsi hapo??

Haki ya kumchafua na kumtukana Lowasa kwa miaka kibao then ghafla bin vuu kwa tamaa zenu za madaraka mkataka, awe Rais kupitia chama chenu,na wale wote waliopingana na nyinyi kwenye hilo wanageuka kuwa wabaya wengi akiwemo Dk slaa
 
Ni kweli kabisa, Tushawachoka kitu pekee wanachotegemea ni ubabe tu kwa kutumia jeshi
 
Certainly, matusi na lugha isiyo ya staha ndio mtaji pekee wa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema)!

Unfortunately, my standard for decency is very high and I cannot afford to lower it to match yours. May the Lord have mercy on you!

Glad you know I equally have no time for the hypocrites like you.

May the Almighty pay you and your mentor accordingly for each soul you unjustifiably continue to harm.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wacha ujinga wewe kwani Zitto ndiye aliyekuwa wa kwanza kufukuzwa kwenye chama Nchini? Maccm yamewafukuza wangapi kama wanachama au hilo hulioni?

Lowassa ni fisadi na ilikuwa ni makosa makubwa sana kumkaribisha fisadi Chadema. Huyo anayejiita anapambana na ufisadi halafu ndani ya maccm kaendelea kuwakumbatia majizi makubwa kwa kauli za Chakubanga na yule wa jalalani mwingine bashiru. Toa ujinga wako!


Hebu tuambie ni haki gani unayoizungumzia wewe leo hii?

Haki ya kumfukuza Zitto Kabwe kwenye chama kwa majina yote mabaya na huyo mgombea wenu akiwa magari wa mbele kwenye kuhakikisha hilo??lakini leo hii Zitto kwenu anafaa sababu tu anatimiza matakwa yenu,hivi ni nani mbinafsi hapo??

Haki ya kumchafua na kumtukana Lowasa kwa miaka kibao then ghafla bin vuu kwa tamaa zenu za madaraka mkataka, awe Rais kupitia chama chenu,na wale wote waliopingana na nyinyi kwenye hilo wanageuka kuwa wabaya wengi akiwemo Dk slaa
 
Ni ZWAZWA tu ambaye hajui umuhimu wa HAKI katika jamii yoyote ile hapa duniani. Haki kwake ni jambo linalomuhusu yeye tu lakini si mwingine. Ubinafsi ni ni hatari sana katika dunia ya leo.

Hivi ni HAKI gani ambayo unaizungumzia hapa??

HAKI ya kumfurusha Zitto Kabwe kwa majina yote mabaya tena huyo huyo mgombea wenu akisimamia utekelezaji wa hilo kwa nguvu zake zote,lakini leo hii Zitto huyo huyo anaonekana wa maana kisa tu anafanya sawa na matakwa/matamanio yenu ,Sasa hapo nani mbinafsi??

Huyo huyo Zitto alipoamua kutumia HAKI yake ya kikatiba kuanzisha chama chake,mgombea wenu wa urais akajitokeza kumdhihaki na kukibehi chama chake cha ACT ,

Halafu leo hii anajifanya kutaka kuizungumzia HAKi?

Hivi mnajua hata maana ya neno HAKI au mmekariri tu?

Unaongelea HAKI ya kumchafua na kumtukana Lowasa kwa miaka kibao kwamba ni fisadi papa ,huyo huyo mtu wenu akijitapa kuwa yeye ndiye mwandishi wa LIST OF SHAME then ghafla bin vuu mkaanza kutulazimisha tukubaliane na mpango wenu kumfanya Lowasa kuwa Rais kupitia chama chenu na yeyote aliyegoma kukubaliana na nyinyi akawa adui wenu akiwemo Dk slaa na Lipumba,

Halafu leo hii mnajifanya kuongelea HAKI bila aibu wala soni? wanatokea watu kama wewe mnaunga tela tu HAKI HAKI...

Sasa hapo nani ZWAZWA baina yetu?
 

Mwingine aliyemchafua fisadi lowassa huyu hapa
Sasa nani ni ZWAZWA?
Hivi ni HAKI gani ambayo unaizungumzia hapa??


HAKI ya kumfurusha Zitto Kabwe kwa majina yote mabaya tena huyo huyo mgombea wenu akisimamia utekelezaji wa hilo kwa nguvu zake zote,lakini leo hii Zitto huyo huyo anaonekana wa maana kisa tu anafanya sawa na matakwa/matamanio yenu ,Sasa hapo nani mbinafsi??

Huyo huyo Zitto alipoamua kutumia HAKI yake ya kikatiba kuanzisha chama chake,mgombea wenu wa urais akajitokeza kumdhihaki na kukibehi chama chake cha ACT ,

Halafu leo hii anajifanya kutaka kuizungumzia HAKi?

Hivi mnajua hata maana ya neno HAKI au mmekariri tu?

Unaongelea HAKI ya kumchafua na kumtukana Lowasa kwa miaka kibao kwamba ni fisadi papa ,huyo huyo mtu wenu akijitapa kuwa yeye ndiye mwandishi wa LIST OF SHAME then ghafla bin vuu mkaanza kutulazimisha tukubaliane na mpango wenu kumfanya Lowasa kuwa Rais kupitia chama chenu na yeyote aliyegoma kukubaliana na nyinyi akawa adui wenu akiwemo Dk slaa na Lipumba,

Halafu leo hii mnajifanya kuongelea HAKI bila aibu wala soni? wanatokea watu kama wewe mnaunga tela tu HAKI HAKI...

Sasa hapo nani ZWAZWA baina yetu?
 
Wewe unaingia vitani alafu unamchagulia adui yako silaha za vita, eti ccm inatumia wasanii kujaza watu ktk mikutano yao , Chadema kimewashinda nn kutumia hao wasanii
 
Wacha ujinga wewe kwani Zitto ndiye aliyekuwa wa kwanza kufukuzwa kwenye chama Nchini? Maccm yamewafukuza wangapi kama wanachama au hilo hulioni?

Lowassa ni fisadi na ilikuwa ni makosa makubwa sana kumkaribisha fisadi Chadema. Huyo anayejiita anapambana na ufisadi halafu ndani ya maccm kaendelea kuwakumbatia majizi makubwa kwa kauli za Chakubanga na yule wa jalalani mwingine bashiru. Toa ujinga wako!



Sasa wewe hapa unaongea nini?

hivi unajijua kuwa wewe ni bendera fuata upepo?

ni dhambi kubwa kwa mwanaume kukosa misimamo,

yaani we unapelekwa pelekwa tu hao matapeli wako.

Zitto sio wa kwanza kufukuzwa,Sawa!!

je mlizingatia HAKI zake kipindi kile mnamfukuza?

Leo mnapojifanya kushirikiana na chama chake huyo huyo mliyemwita MSALITI kipindi cha nyuma mnataka watu tuwaelewe vp?

Kwamba Zitto hakuwa na makosa
Yoyote kipindi kile?

Sasa lini mlijitokeza hadharani kukiri makosa yenu kwake??

So mlimnyima HAKI yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti kwenye chama chenu bila sababu yoyote?

lini huyo mgombea wenu amejitokeza kumuomba Zitto radhi/samahani?

Unafahamu kwamba unapokiri kuwa chama kilifanya makosa kumchukua Lowasa,indirectly unasema Dk slaa na Lipumba walikuwa sahihi kwa misimamo yao kipindi kile?

Sasa kama kweli nyinyi ni waungwana na mnaijua HAKI kwa matendo ,lini mmejitokeza hadharani kuwaomba radhi hao watu??

Halafu leo hii mnajifanya kuimba ONE LOVE, mara sijui HAKI HAKI..
 
Back
Top Bottom