Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

This is very interesting, kwa kweli...

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....

Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU au NYUMBA kwa NYUMBA na hasahasa za kupitia mitandao ya kijamii (social media) zenyewe hazihitaji ruhusa ya mtu ama chombo chochote cha kisheria. Hizi zilishaanza muda mrefu tangu ama pengine labda kabla hata ya mwezi May, 2020...

Nimefanya utafiti wangu fast fast kwa kupitia baadhi mitandao ya kijamii maarufu zaidi kama JF, Instagram, Twitter, Facebook, Telegram, YouTube nk, mjadala unao - trend kwa sana ni uchaguzi mkuu Tanzania - 2020....

Mijadala hii inawahusisha wagombea wawili; Tundu Lissu (CHADEMA) na Magufuli Pombe ( CCM)....

Kwa uwazi kabisa, mtu aweza kusema kuwa ni timu mbili zinazotifuana na kupambana vilivyo....

Upande huu ipo TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA + vyama shindani vilivyo nje ya serikali...

Upande wa pili ipo TEAM POMBE MAGUFULI + serikali nzima + NEC + baadhi ya TISS waasi wa ethics za utumishi wao + baadhi ya maafisa wa polisi waasi wa ethics za Utumishi wao + mahakama ikihusisha baadhi ya Mahakimu/majaji waasi wa ethics zao za utumishi + Msajili wa vyama vya siasa + vyama washirika vilivyo nje ya serikali kama UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NCCR - Mageuzi ya Mbatia na vingine...

JWTZ sitawaingiza hapa kwa sababu, ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020, hawa wameshatoa clear statement kuwa, JESHI HALINA CHAMA CHA SIASA. Kwa hiyo tunawapa "benefit of doubt" ya kuwa wanamaanisha walichokisema....

Mijadala ni mikali sana ktk kila mtandao. Upepo unaonekana kuivumia vibaya TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wanaonekana kuzidiwa kwa hoja ktk kila idara na mpinzani wao TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Sasa waneona, the best option kwao ni kuanza kurusha matusi ya nguoni wakijifaragua na kudhani hiyo ndiyo njia ya ku - neutralize hoja za washindani wao. Huu ni utoto wa shule....!

Imefikia mahali wanatishia kuua mtu kwa RISASI za SMG ama AK47. Na pia wanatisha vyombo vya habari Redio na TV kutorusha lolote kuhusu Tundu Lissu. Magazeti yote neutral yalishauwawa na kuzikwa. Kwa kweli hali ya mgombea wao na CCM kwa ujumla haileti matumaini SI NZURI, ni MAHUTUTI inaweza "kufa" wakati wowote....!

Mtifuano wa timu hizi mbili wiki mbili zilizopita ulikuwa unaonesha kuwa PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ingeweza ushinda kwa goli la mkono huku TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA, wachezaji wake wakiwa wanyonge na wasio na ari ya mchezo kabisa kutokana na mashambulizi ya wapinzani wao....

Wapinzani wa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaani TEAM MAGUFULI - CCM ktk namna fulani ya ajabu, ilianza kupata "back up" kutoka TEAM MEMBE - ACT WAZALENDO....

Lakini baada ya ujio wa Tundu Lissu, hiyo "back up" haina kazi tena. Iko kila dalili kuwa, TIMU MEMBE itaungana na TIMU LISSU dhidi ya TIMU POMBE - CCM....

Mashambulizi ya TEAM PRAISE MAGUFULI - CCM yalilenga zaidi kukata stimu na ari ya TEAM TUNDU LISSU. Hoja zao zilikuwa hizi. Kwamba, TUNDU LISSU;

å Hawezi kurudi huyo toka Ubelgiji...

å Ni mkimbizi wa kisiasa huyo, harudi TZ ...

å Kanunuliwa na "mabeberu" huyo, harudi....

å Akija lazima tumuue huyo, na safari hii hatukosei target...

å Akija huyo, pingu zinamsubiri hapohapo uwanja wa ndege....

Eti hoja yao ikiwa ni "kwa kuichafua serikali na Rais wao" akiwa nje ya nchi....

Looh, hawa jamaa mazuzu kweli kweli. Na hawa eti ndiyo "think tank" ya "JIWE" naarufu kama LB7 FC..!!

å Akija, hana sifa ya "kimaadili" ya kugombea Ubunge ama Urais....!!

HOJA hizi ziliinyong'onyeza kuvunja ari ya mpambano kabisa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Tangazo la kurudi nyumbani tarehe 27/7/2020 la Tundu Lissu, lilianza kuamusha ari ya vita ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Matumaini ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaliyokuwa ya mashaka, yaligeuka kuwa ya KWELI, HALISI na HAKIKA tarehe 27/7/2020 saa 7.30mchana pale Tundu Lissu alipoikanyaga ardhi ya Tanzania baada ya miaka mitatu kuwa nje kwa matibabu...

Hii iligeuza kabisa sura ya mpambano. Unyonge, kunyong'onyea na kukata tamaa na kukosa ari ukawa upande wa TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wakawa "paralyzed" ghafla wasijue nini cha kufanya. Ndipo walipogundua kuwa assumptions zao zote zile hapo juu kwa wafuasi wao ilikuwa ni UONGO na KUWALISHA upepo tu....!

Mgeuko huu hasi na wa ghafla dhidi ya PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ukanikumbusha fainali ya mwaka 2004/2005 ya UEFA Champion League kati ya AC MILAN FC (Italy) vs LIVERPOOL FC (England)...

Hii ilikuwa moja ya historical UEFA Champion League finals kuwahi kushuhudiwa na wapenzi wa soka duniani...

Mpaka kipindi cha kwanza kinaisha, AC MILAN FC walikuwa mbele kwa goli 3 huku LIVERPOOL FC wakiwa hawana goli (0)...

Second period ilipoanza, wapenzi wa AC MILAN na wachezaji wao, hawakuamini kilichotokea uwanjani. Liverpool FC, walirudisha goli zote hadi dakika 45 za kipindi cha pili zinamalizika....

Dakika 30 zikaongezwa bila mshindi kupatikana. Wakaingia kwenye matuta (penalties). Liverpool FC wakiubuka kidedea kwa ushindi wa penalties 4 - 2 na kutawazwa mabingwa wa Ulaya msimu wa 2004/2005....!!

Huu mpambano wa TUNDU LISSU vs POMBE MAGUFULI naufananisha pia na fainali hii. Tundu Lissu - CHADEMA (Liverpool FC) na Pombe Magufuli - CCM (AC Milan FC)....

Mpaka mwezi Jana (July), Team Pombe Magufuli - CCM walikuwa mbele kwa goli 3 bila. Wiki mbili tu zimepita, Team Tundu Lissu - CHADEMA wamesharudisha goli zote. Tupo kwenye penalty shoot out na mpaka sasa LIVERPOOL FC TEAM TUNDU LISSU wanaongoza kwa goal penalty 3 dhidi ya 1 PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM....

Mashabiki wa TEAM POMBE MAFUGULI CCM hawaamini kinachotokea. Vichwa vimeinama chini. Wenye roho ndogo wanarusha chupa za maji uwanjani. Wengine wanarusha matusi kwa wapinzani wao na wachezaji na kocha wao wakiwatuhumu kwa uzembe..

Kwa kifupi hali si shwari kabisa kwa TEAM POMBE - CCM. Ishara na dalili zote zinaonesha kuwa wanapoteza pambano hili ambalo walilitawala sana kipindi cha kwanza....!!

Heko TEAM TUNDU A.M LISSU - CHADEMA....
Aksante kwa "entertaining article". Mpambano bado sana. Fainali ni siku ya kupiga na kuhesabu kura. Siku hiyo "Team CCM" itafurukuta kugeuza kwa nguvu matokeo ili watangazwe washindi. Kwa hiyo "Team Lissu" inapaswa iweke "Control mechanism" ya maana siku hiyo kuzuia hujuma hizo. Vinginevyo "Team CCM" kwa mshangao itaibuka kidedea.
 
Mkuu, you have nailed it! Kama kungekuwa na uwezo wa kutoa "like" zaidi ya moja, ungezipata nyingi kutoka kwangu. Kongole nyingi zikufikie.

Hata kule upande wa Zanzibar, kwa mapokezi ya leo ya ACT Wazalendo, CCM mwaka huu wanalo. Kama kwa kupitia mbinu za medani za kivita, wameshakuwa "manoeuvred" ktk uwanja wa mapambano. Ni Hayati Benjamin William Mkapa pekee ndiye jemedari ambaye angaliweza kuikoa CCM ktk hii hali ya jahazi kutaka kuzama.
atamkumbuka BWM
 
Mkuu,,! Tangu technology hii ya simu za smart iingie nchini utaona tangu 2015 chadema ni washindi wa mitandaoni!

Ccm si watu wa makelele, kuna vigogo wako huko ccm wanajua nini cha kufanya ili kupata ushindi! Wanajua ushindi hauko kwenye kelele za mitandaoni kama chadema wafanyavyo!

Kingine, mashabiki wa Lisu hawana tofauti na wale wa Bob Wine yule wa uganda!
Ni mashabiki mihemuko, hutawaona kwenye foreni ya kupiga kura! Mfano kuna mmoja humu ni mshabiki wa Lisu na anajipinda kweli kushambulia hapa jf, lakini juzi nlishangaa anaulizia kitambulisho cha kupigia kura atakipataje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Hao ndio mashabiki wa chadema.

Kwangu mimi 2015 ilinipa somo kubwa sana na inafanya nisiwe na wasiwasi juu ya ushindi wa ccm hapo oktoba.
Kete ya CCM iliyobaki ni kuchezea kura za raia siku ya uchaguzi. Nina uzoefu wa miaka mingi. Masanduku kujazwa kura badia kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza kwa kuwa mawakala wa wagombea hucheleweshwa kwa makusudi kuingia ndani ya vituo. Pili; kugeuza kura wakati wa kuhesabu kwa kutumia udhaifu wa mawakala. Tatu; kumtangaza aliyeshindwa kuwa ni mshindi kutokana na mawakala kutopewa nakala ya matokeo katika kituo.
 
Kipi atakachokifanya Tundu Antipasi Lissu akishapewa dhamana ya kuongoza nchi??
[/QUOTE/]

Wewe bila shaka ndiyo wale wagombea wanaomba kura kwa kusema;

"....mkinichagua Mimi, nitawaletea maendeleo haya na haya....'

Haijuilikani hayo maendeleo atayaleta sijui kutoka nchi ama sayari gani tu na kwa kutumia usafiri gani sijui...!

Kuongoza maana yake ni kushirikiana na wale unaowaongoza kukaa na kupanga pamoja na kisha kufanya na kutenda kwa pamoja mnayotaka yafanyike...

Kuongoza siyo wewe kufanya kwa ajili watu..

Kwa hiyo atafanya yaleyale unayoyafikiria wewe kuwa kuwa yatafanyika....!
 
Sema Sasa mfuasi wa Tundu Lissu Nini atafanya tukimpa ridhaa ya kuongoza nchi??
 
This is very interesting, kwa kweli...

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....

Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU au NYUMBA kwa NYUMBA na hasahasa za kupitia mitandao ya kijamii (social media) zenyewe hazihitaji ruhusa ya mtu ama chombo chochote cha kisheria. Hizi zilishaanza muda mrefu tangu ama pengine labda kabla hata ya mwezi May, 2020...

Nimefanya utafiti wangu fast fast kwa kupitia baadhi mitandao ya kijamii maarufu zaidi kama JF, Instagram, Twitter, Facebook, Telegram, YouTube nk, mjadala unao - trend kwa sana ni uchaguzi mkuu Tanzania - 2020....

Mijadala hii inawahusisha wagombea wawili; Tundu Lissu (CHADEMA) na Magufuli Pombe ( CCM)....

Kwa uwazi kabisa, mtu aweza kusema kuwa ni timu mbili zinazotifuana na kupambana vilivyo....

Upande huu ipo TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA + vyama shindani vilivyo nje ya serikali...

Upande wa pili ipo TEAM POMBE MAGUFULI + serikali nzima + NEC + baadhi ya TISS waasi wa ethics za utumishi wao + baadhi ya maafisa wa polisi waasi wa ethics za Utumishi wao + mahakama ikihusisha baadhi ya Mahakimu/majaji waasi wa ethics zao za utumishi + Msajili wa vyama vya siasa + vyama washirika vilivyo nje ya serikali kama UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NCCR - Mageuzi ya Mbatia na vingine...

JWTZ sitawaingiza hapa kwa sababu, ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020, hawa wameshatoa clear statement kuwa, JESHI HALINA CHAMA CHA SIASA. Kwa hiyo tunawapa "benefit of doubt" ya kuwa wanamaanisha walichokisema....

Mijadala ni mikali sana ktk kila mtandao. Upepo unaonekana kuivumia vibaya TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wanaonekana kuzidiwa kwa hoja ktk kila idara na mpinzani wao TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Sasa waneona, the best option kwao ni kuanza kurusha matusi ya nguoni wakijifaragua na kudhani hiyo ndiyo njia ya ku - neutralize hoja za washindani wao. Huu ni utoto wa shule....!

Imefikia mahali wanatishia kuua mtu kwa RISASI za SMG ama AK47. Na pia wanatisha vyombo vya habari Redio na TV kutorusha lolote kuhusu Tundu Lissu. Magazeti yote neutral yalishauwawa na kuzikwa. Kwa kweli hali ya mgombea wao na CCM kwa ujumla haileti matumaini SI NZURI, ni MAHUTUTI inaweza "kufa" wakati wowote....!

Mtifuano wa timu hizi mbili wiki mbili zilizopita ulikuwa unaonesha kuwa PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ingeweza ushinda kwa goli la mkono huku TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA, wachezaji wake wakiwa wanyonge na wasio na ari ya mchezo kabisa kutokana na mashambulizi ya wapinzani wao....

Wapinzani wa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaani TEAM MAGUFULI - CCM ktk namna fulani ya ajabu, ilianza kupata "back up" kutoka TEAM MEMBE - ACT WAZALENDO....

Lakini baada ya ujio wa Tundu Lissu, hiyo "back up" haina kazi tena. Iko kila dalili kuwa, TIMU MEMBE itaungana na TIMU LISSU dhidi ya TIMU POMBE - CCM....

Mashambulizi ya TEAM PRAISE MAGUFULI - CCM yalilenga zaidi kukata stimu na ari ya TEAM TUNDU LISSU. Hoja zao zilikuwa hizi. Kwamba, TUNDU LISSU;

å Hawezi kurudi huyo toka Ubelgiji...

å Ni mkimbizi wa kisiasa huyo, harudi TZ ...

å Kanunuliwa na "mabeberu" huyo, harudi....

å Akija lazima tumuue huyo, na safari hii hatukosei target...

å Akija huyo, pingu zinamsubiri hapohapo uwanja wa ndege....

Eti hoja yao ikiwa ni "kwa kuichafua serikali na Rais wao" akiwa nje ya nchi....

Looh, hawa jamaa mazuzu kweli kweli. Na hawa eti ndiyo "think tank" ya "JIWE" naarufu kama LB7 FC..!!

å Akija, hana sifa ya "kimaadili" ya kugombea Ubunge ama Urais....!!

HOJA hizi ziliinyong'onyeza kuvunja ari ya mpambano kabisa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Tangazo la kurudi nyumbani tarehe 27/7/2020 la Tundu Lissu, lilianza kuamusha ari ya vita ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Matumaini ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaliyokuwa ya mashaka, yaligeuka kuwa ya KWELI, HALISI na HAKIKA tarehe 27/7/2020 saa 7.30mchana pale Tundu Lissu alipoikanyaga ardhi ya Tanzania baada ya miaka mitatu kuwa nje kwa matibabu...

Hii iligeuza kabisa sura ya mpambano. Unyonge, kunyong'onyea na kukata tamaa na kukosa ari ukawa upande wa TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wakawa "paralyzed" ghafla wasijue nini cha kufanya. Ndipo walipogundua kuwa assumptions zao zote zile hapo juu kwa wafuasi wao ilikuwa ni UONGO na KUWALISHA upepo tu....!

Mgeuko huu hasi na wa ghafla dhidi ya PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ukanikumbusha fainali ya mwaka 2004/2005 ya UEFA Champion League kati ya AC MILAN FC (Italy) vs LIVERPOOL FC (England)...

Hii ilikuwa moja ya historical UEFA Champion League finals kuwahi kushuhudiwa na wapenzi wa soka duniani...

Mpaka kipindi cha kwanza kinaisha, AC MILAN FC walikuwa mbele kwa goli 3 huku LIVERPOOL FC wakiwa hawana goli (0)...

Second period ilipoanza, wapenzi wa AC MILAN na wachezaji wao, hawakuamini kilichotokea uwanjani. Liverpool FC, walirudisha goli zote hadi dakika 45 za kipindi cha pili zinamalizika....

Dakika 30 zikaongezwa bila mshindi kupatikana. Wakaingia kwenye matuta (penalties). Liverpool FC wakiubuka kidedea kwa ushindi wa penalties 4 - 2 na kutawazwa mabingwa wa Ulaya msimu wa 2004/2005....!!

Huu mpambano wa TUNDU LISSU vs POMBE MAGUFULI naufananisha pia na fainali hii. Tundu Lissu - CHADEMA (Liverpool FC) na Pombe Magufuli - CCM (AC Milan FC)....

Mpaka mwezi Jana (July), Team Pombe Magufuli - CCM walikuwa mbele kwa goli 3 bila. Wiki mbili tu zimepita, Team Tundu Lissu - CHADEMA wamesharudisha goli zote. Tupo kwenye penalty shoot out na mpaka sasa LIVERPOOL FC TEAM TUNDU LISSU wanaongoza kwa goal penalty 3 dhidi ya 1 PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM....

Mashabiki wa TEAM POMBE MAFUGULI CCM hawaamini kinachotokea. Vichwa vimeinama chini. Wenye roho ndogo wanarusha chupa za maji uwanjani. Wengine wanarusha matusi kwa wapinzani wao na wachezaji na kocha wao wakiwatuhumu kwa uzembe..

Kwa kifupi hali si shwari kabisa kwa TEAM POMBE - CCM. Ishara na dalili zote zinaonesha kuwa wanapoteza pambano hili ambalo walilitawala sana kipindi cha kwanza....!!

Heko TEAM TUNDU A.M LISSU - CHADEMA....


 
Nina mambo mawili kushea nawe;

1. Uchaguzi wowote ni siasa halisi. Uchaguzi unahusu kumpamba kwa uzuri mgombea wako huku upande wa pili wa wapinzani wako wakitafuta udhaifu wako personally na wakati mwingine SERA na MIPANGO yako na kukubomoa....

Kwa hiyo hili la Tundu Lissu kupambwa lisikukere bali fahamu kuwa, mambo ndivyo yalivyo. Na hata wewe unayo nafasi wa kumpamba utakavyo mgombea unayedhani anakufaa hata kama ni Prof. Ibrahimu Lipumba....

2. Kuhusu baadae kushangaa Tundu Lissu kupata kura kidogo pengine hata kuzidiwa na mgombea wa SAU aliyeingia ofisi za NEC akiwa pekupeku....

Sijui umetumia vigezo vipi kuja na wazo hili. Hii inaonesha kuwa, wewe hata kusikia tu huwezi kusikia; ama hata kuona huoni na wala hujisumbui kujifunza historia...

Naomba nikurejeshe kwenye historia ya CHADEMA kwa kigezo cha ushiriki wa chaguzi za huko nyuma....

Tuanze na uchaguzi mkuu wa 2005 ambapo CHADEMA kikiwa chama kichanga sana (siyo kiumri bali kimtandao) kilimsimamisha Ndg Freeman Mbowe kugombea Urais dhidi ya Jakaya Kikwete (CCM) na Prof. Ibrahimu Lipumba (CUF)...

Matokeo yalikuwa mazuri sana. Freeman Mbowe alipata kura karibu 800,000 na wabunge zaidi ya 10 na kuongoza halmshauri kadhaa akifuatiwa na Lipumba aliyekuwa na kura 1,000,000+ na mshindi akawa JK

Mwaka 2010, CHADEMA wakamsimamisha Dr Willbroad Slaa. Graph ikapaa sana kwa kupata kura 2,600,000+ na viti vya ubunge wa majimbo vya kutosha zaidi ya 30 + halmshauri kadhaa....

Mwaka 2015, CHADEMA wakamsimamisha Ndg Edward Lowassa. Pamoja na kuibiwa kura nyingi na kupewa huyu Rais magumashi wa sasa, CHADEMA alipata kura zaidi 6,000,000+ na wabunge wa majimbo zaidi ya 60 + halmashauri zaidi ya 6....

Katika chaguzi za mwaka 1995 na 2000, CHADEMA hawakusimamisha mgombea URAIS...

Kwa takwimu hizi, unaweza kuona kuwa, graph ya CHADEMA iko very stable, haijawahi kushuka wala kutetereka...

Na kwa taarifa yako, hakuna uchaguzi rahisi kati ya chaguzi zote zilizopita kama huu wa mwaka huu 2020. Ni kwa sababu, katika marais wote wa CCM waliotawala nchi, hakuna Rais mbovu na wa hovyo kama ndugu John Pombe Magufuli....!!

And on the other hand, hakuna ktk chaguzi zote zilizopita za 2005, 2010, na 2015 ambapo CHADEMA wameweka mgombea bora wa Urais na mwenye nguvu ya ushawishi kama Tundu A.M Lissu huku chama kikiwa kimeimarika kimtandao na kirasrimali watu na fedha kama ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020....!!

Nakuambia jambo moja muhimu kuwa, nyie watu msioamini juu ya nguvu ya MAJIRA na NYAKATI kuwa, CCM, Magufuli na ninyi wafuasi wake ndiyo ambao mtashangazwa na matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu....!

Nikukumbushe hili pia kuwa, JOHN MAGUFULI mwaka 2015 alipata ushindi hafifu wa 56% ya kura zote...

Na historia inaonesha kuwa, hakuna mgombea Urais wa CCM anayerudia muhula wake wa pili aliyewahi kuongeza % ya kura anapogombea ktk muhula wa pili bali wote hushuka....!!!

Sasa huyu Magufuli ambaye ktk miaka yake mitano kaharibu nchi hii kwa viwango vya kutisha na 2015 akishinda ushindi dhaifu wa 56%, unadhani mwaka huu ata drop kwa % ngapi?....

Jibu ni hili: 56% - 20 = 36%....!!

jiandae kujinyonga huu mwaka!

wananchi si hawa hapa ya nn kuandika sana
 
Wapiga kura waliojiandikisha ni takribani milioni 29 wametapakaa vijiji elfu 12 na miji yote wakinufaika na mambo aliyoyafanya JPM
. Walioko mitandaoni ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura.

JPM ana mtaji wa kutosha wa mamilioni ya wapiga kura vijijini na mijini wanaonufaika na huduma za afya katika zahanati na vituo vya afya kila kijiji na kata, hospitali za wilaya na mikoa zilizojengwa, kukarabatiwa na kupewa madaktari bingwa na madaktari wapya kuajiriwa; elimu bure kuanzia chekechea hadi form IV, huduma za maji safi sehemu nyingi na zile anbazo bado miradi ya maji inajengwa na iko mbioni kukamilika; barabara za lami zimekamilika na zingine zinaendelea kujengwa; madaraja yanayounganisha wilaya na wilaya yamejengwa na mengine yanaendelea kujengwa; meli mpya katika maziwa makuu, bandari katika maziwa makuu zinajengwa na kupanuliwa; relu ya kisasa ya SGR, umeme wa Stigler gorge na wa vyanzo vya gesi Kinyerezi II na kwingineko; stand za mabasi na masoko ya mazao ya wakulima yamejengwa. Hayo ni baadhi tu ya mambo yatakayombeba asubuhi kweupe anashinda tena kwa kishindo.
Magufuli ana wananchi wa vijijini kuongezea na akina mama kwa ujumla hawachezi mbali ya CCM.
Lakini ikibidi ana wasukuma na wanyamwezi ni theruthi ya wapiga kura nchi nzima wakiamua block vote.
Hata katika CCM wale ambao hawakubaliani na Magufuli wanataka aongezewe miaka 5 ili akamilishe ngwe ya miaka 10 kama watangulizi wake.

Lakini kwa Lissu,Kuna kizazi kipya che kuelewa mambo kipo nyuma yake,wanaotaka mabadiliko ya utawala,wengi wao hawana ajira na wananyemelewa na ukata hawana jambo la kupoteza kumchagua Lissu .
Idadi ya vijana sampuli hiyo ni changamoto kwa CCM.
Tatizo Magufuli bado ni Raisi anaetetea kiti chake,kwa hali ya siasa za Tanzania sio kazi rahisi kumshinda mwenye dola.
 
Nakuonea huruma unastress za maisha Hadi Basi😆😆 duh ningekujua ningekusaidia wallah maana umechoka akili na roho,tupo tusiosubiri wanasiasa watujengee maisha ...
Unaitwa na yesu wa chattle 🤣 🤣
 
Magufuli ana wananchi wa vijijini kuongezea na akina mama kwa ujumla hawachezi mbali ya CCM.
Lakini ikibidi ana wasukuma na wanyamwezi ni theruthi ya wapiga kura nchi nzima wakiamua block vote.
Hata katika CCM wale ambao hawakubaliani na Magufuli wanataka aongezewe miaka 5 ili akamilishe ngwe ya miaka 10 kama watangulizi wake.

Lakini kwa Lissu,Kuna kizazi kipya che kuelewa mambo kipo nyuma yake,wanaotaka mabadiliko ya utawala,wengi wao hawana ajira na wananyemelewa na ukata hawana jambo la kupoteza kumchagua Lissu .
Idadi ya vijana sampuli hiyo ni changamoto kwa CCM.
Tatizo Magufuli bado ni Raisi anaetetea kiti chake,kwa hali ya siasa za Tanzania sio kazi rahisi kumshinda mwenye dola.

Hujui usemalo wala ujualo wewe....

Mimi naandika haya nikiwa usukumani na unyamwezini. Kila kitu ni red right kwa Magufuli huku..m
 
Wapiga kura waliojiandikisha ni takribani milioni 29 wametapakaa vijiji elfu 12 na miji yote wakinufaika na mambo aliyoyafanya JPM
. Walioko mitandaoni ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura.

JPM ana mtaji wa kutosha wa mamilioni ya wapiga kura vijijini na mijini wanaonufaika na huduma za afya katika zahanati na vituo vya afya kila kijiji na kata, hospitali za wilaya na mikoa zilizojengwa, kukarabatiwa na kupewa madaktari bingwa na madaktari wapya kuajiriwa; elimu bure kuanzia chekechea hadi form IV, huduma za maji safi sehemu nyingi na zile anbazo bado miradi ya maji inajengwa na iko mbioni kukamilika; barabara za lami zimekamilika na zingine zinaendelea kujengwa; madaraja yanayounganisha wilaya na wilaya yamejengwa na mengine yanaendelea kujengwa; meli mpya katika maziwa makuu, bandari katika maziwa makuu zinajengwa na kupanuliwa; relu ya kisasa ya SGR, umeme wa Stigler gorge na wa vyanzo vya gesi Kinyerezi II na kwingineko; stand za mabasi na masoko ya mazao ya wakulima yamejengwa. Hayo ni baadhi tu ya mambo yatakayombeba asubuhi kweupe anashinda tena kwa kishindo.
Na haya watu wa vijijini na mjini wanayajua. Huyu akiefanya utafiti huo ajaribu kwenda hata,kariakoo anunue kitu then amuulize muuzaji kura yake atampa nani; atapata jibu kwa chadema hawana kitu October
 
Katika hali ya kawaida CCM itakuwa inajidanganya sana kudhania watanzania na ugumu wa maisha ya watu ulivyo hii awamu wanayo hamu hata kusikia hicho chama. Kila mtu amechoka mno tuvumiliane ifike tu October siyo mbali.

Kwa ugumu wa maisha sasa hivi hata angekuwa amejenga flyover mikoa yote na kukamilisha kabisa ujenzi wa SGR asingeweza kupata kura watu wameumizwa sana na ugumu wa maisha.

Jana kuna doctor mmoja alisema kuna mgonjwa aliletwa hospitalini mme akawa amebeba kuku kwamba atauza apate pesa ya matibabu alizunguka na kuku siku nzima bila kupata mnunuzi ikabidi amuombe doctor achukuwe huyo kuku na kumtibu mgonjwa wake. Maisha kama hayo ndo mwananchi atapigia kura CCM kweli tusuburi tuone.
Posta DSM watumishi wa umma wanshindia mihogo na MAJI ETI NDO LUNCH wengine wanapiga deshi hapo tija itoke wapi hadi wakosee tena kupiga kura wachague mateso yao tena
 
Mimi nimekuwa around kwa miaka zaidi ya 70. Ugumu wa maisha umekuwepo tangu nizaliwe, na jinsi siku zinavyopita kunakuwa na nafuu sehemu fulani na kluongezeka sehemu nyingine. Ugumu wa maisha unachangiwa na sababu nyingi. Pia tukumbuke huo ugumu wa maisha unaongelewa mara nyingi ni wa wapiga "deal" ambao hutegemea ufisadi kupata pesa. Mara nyingi ukisikia hao wanalia ugumu wa maisha, maana yake ni kuwa njia za ufisadi zimefungwa na pesa inapatikana tu kwa kufanya kazi.
we ni kula kulala uza hata mchicha uone uhalisia.wakulima wa korosho waliozulumiwa walipiaga sili gani,wahitimu,waliobomolewa nyumba zao hawa walipiga dili gani
 
Back
Top Bottom