Watu wamelewa mirungi na mbege wataweza wapi kuangalia soka wacha wakasikeie malele ya tundu
Ndio maana wachezaji wa kichaga ni wa kuhesabu soka sio sehemu yao!
Wengine wote ni fakeLissu is a hero
We ni kidagaa tu hapo chadema!Ni kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kuandika ujinga kama huu lakini asijiulize huyo anayejiita KICHAA kama kafanya mengi kwanini ANAHOFIA tume huru? Kwanini ANAHOFIA kura kuhesabiwa hadharani? Za kuambiwa......
Kama kundi lile la watu, wewe umeona ni wachache, basi ni vema ukawaomba nduguzo wakuwahishe Milembe hospital ili ujiridhishe kama upo sawasawa.Utopolo tupu. Watu wachache kweli
Zipo studio zinaeditiwa kwanza.CHADEMA VIPI HAKUNA SMALL VIDEO CLIP
Mara hii umehamia Chadema hahahaa karibu kamanda vua hiyo bukta ya CCM iliyopakwa VaselineWe ni kidagaa tu hapo chadema!
Ngoja tukuoneshe wenye chadema yao sasa walioondoka baada ya chama kuuzwaView attachment 1554669View attachment 1554670View attachment 1554671View attachment 1554672View attachment 1554673
naomba aerial photo mkuuKwa mgombea uraisi mkutano kuhudhuriwa na watu wasiofika hata 5,000 bado mna kazi kubwa tena ni kwenye mji mkubwa na ambao ni ngome yenu.
Kwamba wananchi hawana 5,000 ila haohao wananchi inasemekana wana smart phone na wanahela ya kununua bando na kufuatilia mikutano ya kampeni online.Umefunga kazi kwa leo! Nimependa statement yako! nadhani Lisu aiseme siku moja, uone watu watakavyolipuka kwa shangwe ya majonzi kukosa elfu tano!
Huko kaskazini unakowakubali mlijiuza madiwani na wabunge wangapi? Usiseme vitu bila kuwa na takwimu we nyumbu.Mara nyingi nawakubali sana wanakaskazini wanajitambua na hawanunuliki kijinga, kuna maeneo bia wanaisikiaga kwenye radio na ndio wanaongozaga kuichagua mbogamboga kwa ofa ya vibia viwili vitatu halafu wanateseka miaka 5 na wakirudi tena wanawapa tena, huku huduma muhimu za kijamii wanazisikiaga zikiimbwa tbccm, watoto wao wanakaa chini shuleni, what a madness???
Sindano yenye kichwa cha dusra[emoji41]Bmkubwa unahangaika sana, tuliza wenge basi japo kwa dk kadhaa sindano ipenye tunduni!
Hapa nini Cha kujifunza,hivi leo Kuna na hali ya kukata tamaaa kwa yote yanayofanywa na wazalendo wasio halisi,ni swala la muda.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Slaa akionaa hivi anawadharau sanaaaa
Hiyo ni 2010,!
Sasa sijui utalinganisha vipi na hako ka tone alikokusanya Lisu leo. View attachment 1554664View attachment 1554665View attachment 1554666View attachment 1554667View attachment 1554668
Saaizi wanahangaika na mivikao ya ccm huko ikuku kupanga mbinu za kuiba kuraIts very easy to read his psychology. Big man is very frustrated!
Wewe hauoni kama hiyo ni lift ndo mana unaona fuso lipo moja tu kuna mwamba kakutana na makamanda wanaenda kwenye mikutano akawachkuaSikuhizi mikutano yenu mnafanyia vichochoroni, viwanja vikubwa vinanini? View attachment 1554495