Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Attachments

  • magu.jpeg
    magu.jpeg
    128.6 KB · Views: 2
Mambo serikali ya Ccm ina fanya ni ya kukemea kwa nguvu zote.
Baada ya kusikia Lissu yuko Arusha leo serikali imeweka wasanii mita chache kutikea ukipo mkutano. Naambiwa mgeni rasmi ni mkuu wa mkoa. Haya, uwanja wa Sheikh Ameir kuna mpira wa Simba na AFC kiingilio ni bure.. Je siku JPM akija Arusha haya mambo yataruhusiwa?
Nimeuliza tuu maana hadi sasa uwanjani kwenye mpira mahudhurio ni zero, tamasha la wasanii wana jichora wenyewe hamna watu.
Rais wa roho za watu hajafika lakini uwanja umesha tapika.. Ccm acheni upuuzi. Mna jidhalilisha
Aibu yao
 
Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.

Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi

Wewe bwana usituchanganye mimi mwenyewe nipo ofisini na nilitoka kidogo kwenye ofisi nyingine ya Serikali na shughuli zinaendelea kama kawaida. Nilikuwa mjini kati mpaka saa Saba hakukuwa na shamrashamra zozote, kidogo kuanzia saa nane hivi ndio watu wameanza kujitokeza kwenda eneo la tukio. Ndio nasema nina wasiwasi na uraia wako.
 
Hebu leta picha ilipigwa kwa juu tuone nyomi? Mwaka huu mbona picha hamtaki kupiga tokea juu kama 2015 wakati wa Lowassa tuone nyomiii???!

Kwani kuna mtu anataka uone watu? We kaa na mambo yako
 
Wewe bwana usituchanganye mimi mwenyewe nipo ofisini na nilitoka kidogo kwenye ofisi nyingine ya Serikali na shughuli zinaendelea kama kawaida. Nilikuwa mjini kati mpaka saa Saba hakukuwa na shamrashamra zozote, kidogo kuanzia saa nane hivi ndio watu wameanza kujitokeza kwenda eneo la tukio. Ndio nasema nina wasiwasi na uraia wako.
Tunakushukuru kwa kuchungulia kidogo mkutano wa Rais Mtarajiwa
 
Back
Top Bottom