Hivi Azam Federation haitambuliki FIFA?Yes anzishen tu ligi yenu ila haitatambulika na FIFA wala CAF so mnakua kama. Ndondo la kishua
Inatambuliwa na TFF----->FIFAHivi Azam Federation haitambuliki FIFA?
kombe ni la tff, azam ni mdhamini tu kama vpl, watu wamevurugwa aisee!Hivi Azam Federation haitambuliki FIFA?
Kwahyo kombe lisipotambuliwa Na FiFA hata mchezaji afunge mabao 700 hayatambuliki?kombe ni la tff, azam ni mdhamini tu kama vpl, watu wamevurugwa aisee!
FIFA hawawezi kutambua Taasisi binafsi kuendesha ligi?
Kwahyo kombe lisipotambuliwa Na FiFA hata mchezaji afunge mabao 700 hayatambuliki?
itakuwa ndondo za kishua kama zile zinaoendeshwa na madiwani na mnaomba kibali tff, na makato wanachukuaFIFA hawawezi kutambua Taasisi binafsi kuendesha ligi?
Azam Federation imeitwa Azam kwasababu ya udhamini wake ila ki uhalisia iko chini ya TFFHivi Azam Federation haitambuliki FIFA?
Kwahyo we unahisi super League ingefanikiwa kuanza ingekuwa bonanza?Mfano wa hivi karibuni ni sakata la ESL (Europian Super League) si umeona ilivyoshindikana? Na pesa iliyokua inatoka pale ni nyingi ya CL cha mtoto.
Yaani labda hiyo kampuni iamue kudhamini michuano ambayo ipo tayari mfano FA halafu ifanye iitwe kwa jina lao.
Nje ya hapo hilo litakua bonanza.
Nahisi utakua haujafuatilia ishu nzima.Kwahyo we unahisi super League ingefanikiwa kuanza ingekuwa bonanza?
Timu ikishiriki ligi ya Tz ikiwa ya kwanza au ya pili inaenda shiriki michuano ya CAF.Sio lazima...
Umiseta ..
Umishumta..zote haziko chini ya Tff..
Binafsi nawaza kuanzisha ligi ya Vyuo..
Mfano Fainali udsm na Udom..
Hii Tff haitahusika..
Wanahusika BMT Tu..
Hata TFf iko chini ya BMT