Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Wewe...yaani Hata kama wangesema wanazifuta FiFa hizo timu...Nahisi utakua haujafuatilia ishu nzima.
Michuano ilitaka timu zinazoshiriki ligi kuu nchini mwao ndiyo zishiriki ESL.
Fifa ikaona ESL itaua mvuto wa CL na kutokana na wingi wa pesa timu zingefocus na ESL kuliko CL.
Hivyo likawekwa zuio kwa kila atakayeshiriki hatocheza WC. Perez akasema watatengeneza WC yao.
Pia wakasema timu shiriki za ESL zitashushwa daraja mpaka la 5.
Hayo yote yangetokea ESL ingekua nini?
Inshort world cup Yao ingedorola,UCL Yao ingedorola Na Maligi Yao yote yangedorola...inshort FIFA ingekufa.
IMAGINE kina Messi,Ronaldo,Mbappe,Neymar,Pogba,Debruyne, Lewandowski,Neymar wanakiwasha ESL halafu kwenye UCL wapo kina Jacob Ramsey,Chris Wood,Adama Traore,Ante budimir
Unahisi watu watafuatilia Nini?