Kwahiyo timu ikiwa chini ya TFF haiwezi kutoka? Aho ESL si kwamba haikuwezekanaa kisheria ni nguvu tu za mashabiki ndiyo zimezuia.Mbona nimekujibu haiwezekani kama lengo lako ni timu zilizo chini ya tff kushiriki.
Na kila mtu kakupa jibu hilo hilo na mfano wa European Super League nikakupa.
Kamuulize perez na super league yake iliishia wapi na hajaambulia hata mia mamaeeeee.......na wadhamini wake chaliHabari wakuu.
Hapa namaanisha kampuni inataka kuwekeza kwenye mpira wa miguu. Inatafita viwanja vyake, kwa kukodi au kwa kujenga. Kisha inatafuta timu na kuanzisha ligi yake. Mapato ya mlangoni na haki za matangazo inachukua. Yaani kampuni inaendesha kila kitu, inakuwa haiko chini ya TF wala vyama vya mipira vilivyo chini ya TFF. Inawezekana au TFF wana hakimiliki ya masuala ya mpira TZ?
Boris akapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la perez 😀😀😀😀😀Nahisi utakua haujafuatilia ishu nzima.
Michuano ilitaka timu zinazoshiriki ligi kuu nchini mwao ndiyo zishiriki ESL.
Fifa ikaona ESL itaua mvuto wa CL na kutokana na wingi wa pesa timu zingefocus na ESL kuliko CL.
Hivyo likawekwa zuio kwa kila atakayeshiriki hatocheza WC. Perez akasema watatengeneza WC yao.
Pia wakasema timu shiriki za ESL zitashushwa daraja mpaka la 5.
Hayo yote yangetokea ESL ingekua nini?
Hakuna mchezaji hata mmoja alietaka iyo esl kwanzaWewe...yaani Hata kama wangesema wanazifuta FiFa hizo timu...
Inshort world cup Yao ingedorola,UCL Yao ingedorola Na Maligi Yao yote yangedorola...inshort FIFA ingekufa.
IMAGINE kina Messi,Ronaldo,Mbappe,Neymar,Pogba,Debruyne, Lewandowski,Neymar wanakiwasha ESL halafu kwenye UCL wapo kina Jacob Ramsey,Chris Wood,Adama Traore,Ante budimir
Unahisi watu watafuatilia Nini?
Tournament siyo league na ni mashindano ya TFF.Hivi Azam Federation haitambuliki FIFA?
Yaani timu shiriki mpaka leo bado zinaadhibiwaBoris akapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la perez 😀😀😀😀😀
Inabidi aongezeke mwingine wa kukuelewesha naona kabisa jamaa peke yake hatoweza ............Kwahiyo timu ikiwa chini ya TFF haiwezi kutoka? Aho ESL si kwamba haikuwezekanaa kisheria ni nguvu tu za mashabiki ndiyo zimezuia.
Haikuwa FIFA ila ni UEFA ndiyo waliokuwa against nalo FIFA walikuwa against na utaratibu tu wa namna ligi itakavyochezwa.Nahisi utakua haujafuatilia ishu nzima.
Michuano ilitaka timu zinazoshiriki ligi kuu nchini mwao ndiyo zishiriki ESL.
Fifa ikaona ESL itaua mvuto wa CL na kutokana na wingi wa pesa timu zingefocus na ESL kuliko CL.
Hivyo likawekwa zuio kwa kila atakayeshiriki hatocheza WC. Perez akasema watatengeneza WC yao.
Pia wakasema timu shiriki za ESL zitashushwa daraja mpaka la 5.
Hayo yote yangetokea ESL ingekua nini?
Mfano wa hivi karibuni ni sakata la ESL (Europian Super League) si umeona ilivyoshindikana? Na pesa iliyokua inatoka pale ni nyingi ya CL cha mtoto.
Yaani labda hiyo kampuni iamue kudhamini michuano ambayo ipo tayari mfano FA halafu ifanye iitwe kwa jina lao.
Nje ya hapo hilo litakua bonanza.
Mashabiki?Kwahiyo timu ikiwa chini ya TFF haiwezi kutoka? Aho ESL si kwamba haikuwezekanaa kisheria ni nguvu tu za mashabiki ndiyo zimezuia.
Hahahahahaha ed akaamua kukimbia kiti mwenyewe......Yaani timu shiriki mpaka leo bado zinaadhibiwa
Sahihi. UefaHaikuwa FIFA ila ni UEFA ndiyo waliokuwa against nalo FIFA walikuwa against na utaratibu tu wa namna ligi itakavyochezwa.
Kuna kipindi kuna sekeseke la kuundwa kwa football federation nyingine duniani kwajili ya kucompete na FIFA lakini sijui liliishia wapi. Walitaka Football iwe kama boxing kuwe na mashirikisho mengi lakini hiyo move ilikufa.
Hao ni FIFA walikuwa wanalinda ugali wao nafikiri. Lakini kuna sheria inayokataza timu kujitoa kwenye mashindano ya FIFA au UEFA na kwenda kuingia kwenye mashindano mengine? Au tuseme nchi hazitaki world cup inayosimamiwa na FIFA. Hivi Football wakati wa Olympic, inakuwa chini ya FIFA?Mashabiki?
Mbona tamko la kwamba mchezaji atakayeshiriki ESL anakua amejitoa kushiriki world cup, copa america na euro halikutoka kwa mashabiki?
Tamko la kuzishusha timu shiriki kwenda daraja la tano halikutoka kwa mashabiki.
Adhabu za fedha zilizotolewa hazijatolewa na mashabiki.
Ndiyo mimi nauliza kitu hichi hasa. Mashirikisho ya mpira kama UEFA, TFF, au vyama vya mikoa. Vinaweza kuwa zaidi ya kimoja. Yaani uunde TFF yako na ushawishi timu zishiriki huko na kwenye ligi utayoanzisha.Haikuwa FIFA ila ni UEFA ndiyo waliokuwa against nalo FIFA walikuwa against na utaratibu tu wa namna ligi itakavyochezwa.
Kuna kipindi kuna sekeseke la kuundwa kwa football federation nyingine duniani kwajili ya kucompete na FIFA lakini sijui liliishia wapi. Walitaka Football iwe kama boxing kuwe na mashirikisho mengi lakini hiyo move ilikufa.
Ni ngumu sanaNdiyo mimi nauliza kitu hichi hasa. Mashirikisho ya mpira kama UEFA, TFF, au vyama vya mikoa. Vinaweza kuwa zaidi ya kimoja. Yaani uunde TFF yako na ushawishi timu zishiriki huko na kwenye ligi utayoanzisha.
Hivi FIFA wana mamlaka yoyote kwenye Mchezo wa soka unaopigwa wakati wa Olympics?
ila timu zilitaka....kwani mkuu, ManU wakijiunga ESL, Rashford atahamia Burnley?Hakuna mchezaji hata mmoja alietaka iyo esl kwanza
Nutakuunga mkono boss. Hizi ligi zipo sana na sijawahi ona mkono wa TFF, ni mwendo wa kuongea na serikali za wanafunzi kwanza fedha za uendeshaji hutolewa na vyuo. Wewe unatoa zawadi tuSio lazima...
Umiseta ..
Umishumta..zote haziko chini ya Tff..
Binafsi nawaza kuanzisha ligi ya Vyuo..
Mfano Fainali udsm na Udom..
Hii Tff haitahusika..
Wanahusika BMT Tu..
Hata TFf iko chini ya BMT
Yes , FIFA wanayo Mamlaka kwenye Olimpiki. Ndiyo maana Olimpiki wanashiriki Vijana wa Chini ya miaka 23 na wakubwa watatu tuu na nia ni kutoifanya Olimpiki iwe World Cup.Ndiyo mimi nauliza kitu hichi hasa. Mashirikisho ya mpira kama UEFA, TFF, au vyama vya mikoa. Vinaweza kuwa zaidi ya kimoja. Yaani uunde TFF yako na ushawishi timu zishiriki huko na kwenye ligi utayoanzisha.
Hivi FIFA wana mamlaka yoyote kwenye Mchezo wa soka unaopigwa wakati wa Olympics?