Mda si mrefu RC atajenga kolomije Airport kijijini kwao le mutuz yupo mbioni kumshawishi.Kwetu kwao na kwao kwao kwanini?
jpm anafaamiana sana tuu na mayanga na wanakamtandao kao kasirisiri cha matajiri wa mwanza ila sio wale top (lyke wanatengeneza matajiri wapya)Kuna kila dalili kwamba huu ni mchongo! And look, JPM anapenda sana kufungua miradi hata ile yenye hadhi ya RC lakini ufunguzi wa Uwanja wa Chato amekacha!!!
Ingawaje watu wanaamini amekacha kwa kuona aibu kwa ubadhirifu mkubwa kama huu lakini pia naamini sababu nyingine ni kutaka asitengeneze dots zozote zitakazomuunganisha na mmiliki wa Mayanga Contractors. JPM sio mtu wa kuacha mradi wa Bilioni 41 asifungue wakati anafungua miradi yenye thamani chini ya bilioni moja!!
Ahsante! Na baada ya kufanya cross-referecing nimekuta wote wamemaliza Lake Secondary School mwaka 1978!!jpm anafaamiana sana tuu na mayanga na wanakamtandao kao kasirisiri cha matajiri wa mwanza ila sio wale top (lyke wanatengeneza matajiri wapya)
na cement wanachukulia kwa mdogo ake magufuli kwa tenda zote za chatle
KOROMIJE International Airport (KOIA)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mda si mrefu Maliyamungu Bashite atajenga kolomije Airport kijijini kwao le mutuz yupo mbioni kumshawishi.
Na kwavile nisha-confirm kwamba ni classmates basi kuna kila dalili ni ushikaji fulani hivi!!! Darasa walilosoma moja, wakati yupo Ujenzi akamtupa ujumbe TEMESA na kwahiyo sishangai ikiwa hata kwenye hili nalo ikiwa ni zaidi ya ordinary bidding!!!!Ni kampuni yao Maliyamungu Bashite na Mtukufu huyo mtu mwingine ni bosheni tu
acheni kumezeshwa.Ni kweli bajeti ipo..ilikuwa ni Bilion 90..Last bajet..bunge limepitishaHakuna cha Bajeti pesa unazolewa kihuni kule Hazina yupo Doto ni mtoto wake wa nje ya ndoa, pesa ya kujenga chato haikuwa kwenye Bajeti ya Bunge wala nini ni ubabe tu ni kama wanavyochukua pesa huko huko na kumpatia Lipumba aue CUF na kuhujumu chadema.
Mkuu acha uongo bwana, naogopa kuandika ukweli kuhusu jambo hili ila basi acha ngoja nikafungue mradi wa kilimo cha maua hapo Chato maana naona fursa tu hayo makandokando tuwaachie wanaofahamu kuangalia mapungufu tu!MAYANGA=MAgu+YAnga+kitwaNGA.
MD Yanga wameoa na Magu mji mmoja, yaani mdogo wa mkewe mkulu. Kazi zote za ujenzi za serikali Chato zinafanywa na kampuni hii pekee!!!!
Msaada kwa aliyeelewa tafadhaliMtakapokumbuka shuka asubuhi nimeongea and kumekucha.Huo kwanza wa bodega sidhani kama una any impact kwenye Tanzania economy au ni yale yale ya utawala wetu wa KUJENGA kwetu.
Water alisema Mbuzi kwenye kama ndefu ndiyo bila Majani lea wingi
Ukisha juaWadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.
Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.
Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.
Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.
Ni hayo tu.
Kwani kapewa bure pesa au anafanya Kazi hata kama wanajuanaSina uhakika!
Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Makigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.
UPDATE:
CV ya Stephen Makigo:
View attachment 625369
Ni mshikaji flan hivi; kitambo sana... ndo maana wakati nipo ujenzi nikamtupa kwenye ujumbe TAMESA na hivi sasa kala shavu la kandarasi nene!!!
Hata kama ingekuwa hivyo, haihojiwi? Soma bajeti ya July kuna pesa imetengwa kwa akili ya ujenzi wa kiwanja hiki na vingine vinne
Kama ya 2015 imepita kimya kimya,ya PPRA nayo imepotezewaHizo ripoff za CAG zinakuja na hazifanyiwi chochote
Kuna mahali niliposema amepewa bure?!Kwani kapewa bure pesa au anafanya Kazi hata kama wanajuana
Ataa tender ililenga maalumu mjenzi awe wa kanda ya ziwa .
Ataa tender ilikuwa inaelekeza maalumu mjenzi atoke kanda ya ziwa .Yote hii ilikuwa makusudiKuna kila dalili kwamba huu ni mchongo! And look, JPM anapenda sana kufungua miradi hata ile yenye hadhi ya RC lakini ufunguzi wa Uwanja wa Chato amekacha!!!
Ingawaje watu wanaamini amekacha kwa kuona aibu kwa ubadhirifu mkubwa kama huu lakini pia naamini sababu nyingine ni kutaka asitengeneze dots zozote zitakazomuunganisha na mmiliki wa Mayanga Contractors. JPM sio mtu wa kuacha mradi wa Bilioni 41 asifungue wakati anafungua miradi yenye thamani chini ya bilioni moja!!