Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Uwepo wa Doto kule Hazina ndiyo chanzo cha pesa za Umma kuchukuliwa kienyeji enyeji kimya kimya pasipo kushirikisha Bunge, kwa sasa Maliyamungu Bashite huchukua pesa Hazina mda wowote anaotaka, wanajizolea pesa kiulaini kwa visingizio mbalimbali hususani vya kudhoofisha upinzani nchini.
 
jpm anafaamiana sana tuu na mayanga na wanakamtandao kao kasirisiri cha matajiri wa mwanza ila sio wale top (lyke wanatengeneza matajiri wapya)

na cement wanachukulia kwa mdogo ake magufuli kwa tenda zote za chatle
 
jpm anafaamiana sana tuu na mayanga na wanakamtandao kao kasirisiri cha matajiri wa mwanza ila sio wale top (lyke wanatengeneza matajiri wapya)

na cement wanachukulia kwa mdogo ake magufuli kwa tenda zote za chatle
Ahsante! Na baada ya kufanya cross-referecing nimekuta wote wamemaliza Lake Secondary School mwaka 1978!!
 
Mda si mrefu Maliyamungu Bashite atajenga kolomije Airport kijijini kwao le mutuz yupo mbioni kumshawishi.
KOROMIJE International Airport (KOIA)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: SDG
Ni kampuni yao Maliyamungu Bashite na Mtukufu huyo mtu mwingine ni bosheni tu
Na kwavile nisha-confirm kwamba ni classmates basi kuna kila dalili ni ushikaji fulani hivi!!! Darasa walilosoma moja, wakati yupo Ujenzi akamtupa ujumbe TEMESA na kwahiyo sishangai ikiwa hata kwenye hili nalo ikiwa ni zaidi ya ordinary bidding!!!!
 
Tukiwa tunapokezana kijiti cha kuongoza tanzania baada ya miaka milioni 10 kila kijiji tanzania kitakuwa na taa za kuongoza magari,TRA na uwanja mkubwa wa ndege.
Hongera wasukuma kwa kutufumbua macho.
 
acheni kumezeshwa.Ni kweli bajeti ipo..ilikuwa ni Bilion 90..Last bajet..bunge limepitisha
 
MAYANGA=MAgu+YAnga+kitwaNGA.
MD Yanga wameoa na Magu mji mmoja, yaani mdogo wa mkewe mkulu. Kazi zote za ujenzi za serikali Chato zinafanywa na kampuni hii pekee!!!!
Mkuu acha uongo bwana, naogopa kuandika ukweli kuhusu jambo hili ila basi acha ngoja nikafungue mradi wa kilimo cha maua hapo Chato maana naona fursa tu hayo makandokando tuwaachie wanaofahamu kuangalia mapungufu tu!
 
Mtakapokumbuka shuka asubuhi nimeongea and kumekucha.Huo kwanza wa bodega sidhani kama una any impact kwenye Tanzania economy au ni yale yale ya utawala wetu wa KUJENGA kwetu.

Water alisema Mbuzi kwenye kama ndefu ndiyo bila Majani lea wingi
Msaada kwa aliyeelewa tafadhali
 
Ukisha jua
 
Kwani kapewa bure pesa au anafanya Kazi hata kama wanajuana
 
Ataa tender ilikuwa inaelekeza maalumu mjenzi atoke kanda ya ziwa .Yote hii ilikuwa makusudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…