Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

Hii nzuri maana ile ndoto ya kwenda zenji kwa baiskeli itaenda kutimia😂😂😂
 
Hizi ndo hoja muhimu kwa nchi.

Tumezoeshana hoja za nani anataka urais, mara huyu kachepuka, mara fulani pisi kali......

Turudi hapa tujadili maendeleo ya nchi yetu.

Daraja lijengwe nitaomba nifanye jogging ya kwenda zenji na kurudi
 
Kwanza waanze kijiunganisha wenyewe Unguja na Pemba.

Baada ya kupata katiba mpya ndiyo tuanze kufikiria kuunganisha Zanzibar na Tanganyika kwa daraja kwa sababu mpaka sasa hakuna muafaka wa muungano huu tulionao!
 
Hilo daraja likijengwa meli kutoka nje itabidi zitume njia ndefu kupita nyuma ya kisiwa cha Unguja.na boti za Bakhres zitaishia kusini ya Unguja maeneo ya Kizimkazi.
 
Hilo daraja likijengwa meli kutoka nje itabidi zitume njia ndefu kupita nyuma ya kisiwa cha Unguja.na boti za Bakhres zitaishia kusini ya Unguja maeneo ya Kizimkazi.
kisiwa cha Uingereza kimeunganishwa kwa daraja la chini kwa chinj, meli hazitaingiliwa njia zake, wanaweza fika hapo wakaweka hata daraja refu zaidi km myo Themes huko London


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hii Nchi Ina matatizo sana ya Vipaombele,mambo yasiyo na msingi ndio Wanasiasa wanapenda Ili wapige
 
Samahani, Meli kubwa zitwekewewa vipande maalum kwa ajiki ya kupenya sio? Au ndio itabidi ziizunguke Zanzibar? Nani atalipia gharama hiyo?
 
Hizi ndo hoja muhimu kwa nchi.

Tumezoeshana hoja za nani anataka urais, mara huyu kachepuka, mara fulani pisi kali......

Turudi hapa tujadili maendeleo ya nchi yetu.

Daraja lijengwe nitaomba nifanye jogging ya kwenda zenji na kurud
Waliowahi kwenda .Jee huko kwao wameshajenga daraja la kupita mkondo mkali kama wa magogoni au Nungwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…