fukunyuku1234
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 243
- 494
Reference ya uhakikaEeh! Yaani Mange ndo reference yako!! Nshakupuuza
Kumbe samia anaogopa wambea pamoja na kuwa ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote na ulinzi na usalama kwi kwi kwi mibongo bwana akili kisoda halafu ikikaa nyuma ya keyboard inajifanya mijuajiWenye akili timamu hawawezi kutumia uzushi wa wambea kama reference
Hawalali watu wako zao Seoul wanakula bata!Reference ya uhakika
Mbona mmemfungia page yake kama wewe na serikali ya mamako samia hamumuogopi?
She is a threat.....tehe the tehe hamnyi maji wala hamlali
Kabakiza kugawa Bagamoyo port, SGR na gas; mengine yote keshauza misitu, mabasi, migodi ilyokuwa reserved na bado anakopa.
Huku wanagawa cash cow assets, halafu huko bungeni wanawaza kodi kwa watu maskini.
Only in Tanzania
Sgr Alianza kuhangaika nayo Kikwete na alikubaliana na exim bank china,barabara za kusini zilianza kujengwa awamu ya pili,muwe na facts mnapoongea mambo,haya mbona mpaka anakufa hiyo bandari efficiency yake ni chini!?..bandari ya dar ni uchochoro tu,ndogo Sana,nchi inahitaji bandari kubwa ambapo bagamoyo Kuna wasaa huo
Hata Wakorea wanampa PhD nyingine. Safari hii ni kwa ajili ya kuimarisha usafiri wa anga (kwa ndege za mwamba). PhD ya tano hiyo ππππ
View attachment 3005306
Acha ushamba wewe na hizo nchi ulizotaja ni nchi za kushtua basiHawalali watu wako zao Seoul wanakula bata!
Wakitoka huko mapumziko Dubai. Halafu wasinywe maji kisa Mange!
We kweli Masikini
πππ hatari
Walishajua kuwa viongozi wetu wanashobokea sana Ph.D. za kupewa bure. Fuatilia safari zote za viongozi wengine uone iwapo nao wanagawiwa Ph.D hizo kama njugu.Hata Wakorea wanampa PhD nyingine. Safari hii ni kwa ajili ya kuimarisha usafiri wa anga (kwa ndege za mwamba). PhD ya tano hiyo ππππ
View attachment 3005306
Hii I'd ni ya organization!?..walau huko nyuma ilikua Ina mantiki,siku hizi ni uharo tu..bandari ya Dsm ingekuwa uchochoro Dp world wasingevutiwa nayo.
..maadamu Dp world na Adani wamepewa kazi hapo bandarini tunahitaji kuona matokeo chanya.
..tunatarajia Dsm ndio iwe bandari bora ktk Pwani ya Afrika Mashariki.
Mkuu ushauri wa KM mstaafu ndugu Zito Kabwe unakufaa!Hakuna kikwete kafanya kwenye sgr, mbona mnalazimusha king, nyie na kundi lenu la huyo mzee msiga ndio mlimuua JPM kwa wivu baada ya kuona anawafunika
Una bana pua hapa etu Kikwete ndio alianziasha sgr, hata mshipa wa aibu hamna?
Acha muhemko ndugu Mange anavua nguo nchi huko hatuna mipango hatuna wazee kina mkuchika wanafanya nn jmn π’π’ππΏSiri kivipi. Mkataba upo online. Ulipelekwa Bungeni na kujadiliwa.
Sasa usiri upo wapi?
Kama ni siri umejuaje kama kuna huo mkataba?