Eti hawanywi maji wala hawalali. Masikini unajifariji huku ukitamani waliopewa wanyang'anywe.Reference ya uhakika
Mbona mmemfungia page yake kama wewe na serikali ya mamako samia hamumuogopi?
She is a threat.....tehe the tehe hamnyi maji wala hamlali
Hujui kwa kina kinachoandikwa kwenye hiyo mikataba una uhakika upi kuna wizi unafanyika?. Story tu za kijinga za wakosaji.Hakuna anayechukia wawekezaji, tatizo ni hiyo mikataba yote ni wizi mtupu na haina faida yeyote zaidi ya 10% za wapigaji, pitia mikataba ya ndege mpaka dhahabu ni uchafu mtupu na hasara kubwa kwa Taifa
Hujui kwa kina kinachoandikwa kwenye hiyo mikataba unajuaje kwamba kuna upigaji?. Akili za wivu zinatusumbua siku zote.Hakuna anayechukia wawekezaji, tatizo ni hiyo mikataba yote ni wizi mtupu na haina faida yeyote zaidi ya 10% za wapigaji, pitia mikataba ya ndege mpaka dhahabu ni uchafu mtupu na hasara kubwa kwa Taifa
Mwenyeji wa Ngara Kagera, sizipendi hizi hulka za kudanganya watanzania kisa serikali imeingia mikataba ya kibiashara pale bandarini.sio mtanzania ww
Huu ni ujinga tu wa mitandao, mikataba iliyosainiwa kuhusu uwekezaji wa DP World haihitaji udaku kama huu eti ndio uonekane wa maana, this is stupid thinking I'm sorry to say openly.Mngehangaika kumtuma abdul akaongee na Mange?????
Upumbavu mtupu na limkataba lenu la DP
View attachment 3006165
Siyo kweli mkuu, ninachokueleza ni fact, tena wanachama hai, karibu ujiunge fika tawini utaonyesha kitambulisho, utapigwa picha utapewa namba maalumu.Mkuu ya kweli hayo! nasikia kutokana na kula kwa useful wa kamba zao kwa Waheshimiwa, walalahoi wengi wamejiondoa na hivyo kubaki 6M.
Either umeamua kujitoa akili uwe chawa au huna akili tuu, kingine labda una maslahi which I highly doubt, Kama experience na matokeo ya mikataba ya CCM haijakufundisha kitu please go educate yourself labda utaelewa kidogoHujui kwa kina kinachoandikwa kwenye hiyo mikataba unajuaje kwamba kuna upigaji?. Akili za wivu zinatusumbua siku zote.
Hao DP world walipewa 24 hours in US kufunga virago vyao, wanajulikana kwa mikataba yao ya kitapeliHuu ni ujinga tu wa mitandao, mikataba iliyosainiwa kuhusu uwekezaji wa DP World haihitaji udaku kama huu eti ndio uonekane wa maana, this is stupid thinking I'm sorry to say openly.
Tena wewe wa Ngara una mfano mzuri na hawa wezi wa CCM na Kabanga Nickel, miaka mingapi sasa nini kinaendelea pale Kabanga? ni utapeli mtupu huku billions of proven nickel tons na hakuna kodi wala employment kwa watu wa Ngara, Bandari tumepigwa amini hivyoMwenyeji wa Ngara Kagera, sizipendi hizi hulka za kudanganya watanzania kisa serikali imeingia mikataba ya kibiashara pale bandarini.
Hakuna mkataba pale acheni kutetea ujingaHuu ni ujinga tu wa mitandao, mikataba iliyosainiwa kuhusu uwekezaji wa DP World haihitaji udaku kama huu eti ndio uonekane wa maana, this is stupid thinking I'm sorry to say openly.
Unajua kwamba wale ni waarabu na kuna masuala ya dini yao kutopendwa na mamlaka za magharibi?.Hao DP world walipewa 24 hours in US kufunga virago vyao, wanajulikana kwa mikataba yao ya kitapeli
Tafuta maarifa ya masuala ya mikataba ya kimataifa ili unapoleta hoja angalau iwe na mantiki ndani yake.Hakuna mkataba pale acheni kutetea ujinga
Tatizo lenu hamuangalii mbele mnajua kabisa likija kuleta shida mbelemi mtakuwa mko kaburini kwa hiyo haiwahusu hapo ndio ujinga wenu ulipo
Kabanga Nickel ni tofauti kabisa na uwekezaji pale TPA bandari, hizi zako ni akili zile zile za kiafrika zenye kudhani kila biashara tunaibiwa sisi tu.Tena wewe wa Ngara una mfano mzuri na hawa wezi wa CCM na Kabanga Nickel, miaka mingapi sasa nini kinaendelea pale Kabanga? ni utapeli mtupu huku billions of proven nickel tons na hakuna kodi wala employment kwa watu wa Ngara, Bandari tumepigwa amini hivyo
Duh, yaani unavyohangaika humu kutetea ujinga, uongo na wizi...inashangaza, inasikitisha na inakasirisha. Kwanza hayo majina unayojiita moja kwa moja yanakuumbua, eti Steven Joel Ntamusano! Huna tofauti na mbuni...kichwa ndani mchangani, maslahi nje nje!Kabanga Nickel ni tofauti kabisa na uwekezaji pale TPA bandari, hizi zako ni akili zile zile za kiafrika zenye kudhani kila biashara tunaibiwa sisi tu.
Mkataba wa TICTS si uliisha?? Kwa hiyo huu ni mkataba mpya. Je tulikuwa tuna uhitaji WA baadhi yetu walikuwa Wana uhitajiAdani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.
Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.
====
The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority
Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.
The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.
Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.
“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.
According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.
“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.
According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.
EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.
Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.
“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.
APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.
Related Threads:
Bilionea kutoka India, 𝗔dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek
Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
Usichokijua sawa na usiku wa kiza, Tafuta elimu mpya inayobadilika kila siku usiunyime ubongo wako nafasi ya kukua.Duh, yaani unavyohangaika humu kutetea ujinga, uongo na wizi...inashangaza, inasikitisha na inakasirisha. Kwanza hayo majina unayojiita moja kwa moja yanakuumbua, eti Steven Joel Ntamusano! Huna tofauti na mbuni...kichwa ndani mchangani, maslahi nje nje!
Hakuna aliyeiuona huo mkataba.Kumbe safari hii hakukua na waraka wala matamko?
😀 😀
Ukiwaondoa hawa na unaowaleta mbadala nao unakuta wako hivyo hivyoSuluhisho la kukosekana kwa usimamizi/management thabiti ya sekta mbalimbali za nchi sio kuuza tu bali kuwaondoa hao wanaoshindwa kusimamia vyema.